Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Miaka ya 2004 hadi 2006 nilikuwa nikipita mara kwa mara Zambia kuelekea South Africa. Nilikuwa nikibadilisha shilingi yetu kwa kwacha ya Zambia napata hela nyingi sana za Kizambia.
Infact enzi hizo ukiwa na TZS unakuwa don kwa maisha ya Zambia. Nimeshangaa leo hapa mitaa ya Posta nakuta exchange rate ya Kwacha ni TZS100 - TZS170.
Yaani Kwacha 1 inanunuliwa kwa TZS100 na kuuzwa kwa TZS 170. Nimebaki kujiuliza sana imekuwaje Kwacha ilikuwa weak hivyo lakini imeipita TZS zaidi ya asilimia 1000?
Tanzania tunakwama wapi jamani? Dar es salaam huwezi hata kuilinganisha na Lusaka. Jiji la Dar lipo juu sana ukililinganisha na Lusaka.
Miji Kama Mwanza, Arusha iko juu sana ukilinganisha na miji ya Zambia. How come currency ya Zambia ipo juu kuizidi TZS?
Wachumi naomba mtufafanulie.
By the way mimi pia ni mchumi japo sio certified hivyo basic principles za economics nazijua, ila kwa hili nimeshindwa kulielewa.
Karibu tujadili.
Infact enzi hizo ukiwa na TZS unakuwa don kwa maisha ya Zambia. Nimeshangaa leo hapa mitaa ya Posta nakuta exchange rate ya Kwacha ni TZS100 - TZS170.
Yaani Kwacha 1 inanunuliwa kwa TZS100 na kuuzwa kwa TZS 170. Nimebaki kujiuliza sana imekuwaje Kwacha ilikuwa weak hivyo lakini imeipita TZS zaidi ya asilimia 1000?
Tanzania tunakwama wapi jamani? Dar es salaam huwezi hata kuilinganisha na Lusaka. Jiji la Dar lipo juu sana ukililinganisha na Lusaka.
Miji Kama Mwanza, Arusha iko juu sana ukilinganisha na miji ya Zambia. How come currency ya Zambia ipo juu kuizidi TZS?
Wachumi naomba mtufafanulie.
By the way mimi pia ni mchumi japo sio certified hivyo basic principles za economics nazijua, ila kwa hili nimeshindwa kulielewa.
Karibu tujadili.
Pesa 8 zenye nguvu Afrika
Nguvu ya pesa hutambulika kwa vitu vingi ikiwemo upatikanaji na uzalishaji wake ( supply and demand ), nguvu za soko ndani ya nchi, mfumko wa bei na soko la ubadilishwaji pesa. Dola ya marekani huchukuliwa kuwa pesa yenye nguvu zaidi duniani hivyo katika upimaji wa pesa nyingine, tunaitumia...
www.jamiiforums.com