Kwacha ya Zambia ilikuwa dhaifu dhidi ya shilingi ya Tanzania. Imekuwaje kwa sasa Kwacha ipo juu sana zaidi ya shilingi yetu?

Mkuu unalijua somo linaitwa "business and corporate finance. Kuna topic inaitwa international finance"? Sasa haya makitu mimi nayajua in out. Nimeyasoma chuo pia nimeyasoma kwenye syllabus za NBAA yaani kwenye mitihani ya CPA. So, unachokiongea na huyu jamaa unayemuona ameongea point ni irrrevant. Kiufupi hamjui mnachokiongea kuhusu hii mada.
Inaonekana umeleta mada ukiwa na majibu yako kichwani. Basi, tueleze nini kimetokea pesa yetu imekuwa chini wakati ilikuwa juu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio kiazi kweli kweli, alichosema ndio ukweli wenyewe. Thamani iko pale pale walichofanya ni kupunguza mzigo wa zero.

Yaani walifanya hivi kwacha 50,000 ikawa 500, kwacha 5000 ikawa 50 nk. Kitu kilichouzwa 25,000 sasa kinauzwa 250 nk. Kwa hiyo purchsiing power iko palepale

Wakati hili zoezi lao hao jamaa linafanyika mimi nilikuwa huko Lusaka kwa hiyo ninachokwambia nilishuhudia
Huyu jamaa anajifanya fundi kujua, sijui kaleta hii mada ya nini hapa jukwaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini unakataa majibu ya wadau wenye uzoefu na biashara ya kubadilisha fedha na wanaoishi Zambia? Je una majibu yako kichwani? Ni yepi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hii issue hata mtoto mdogo anaweza kujua ipi ina nguvu kubwa kati ya kwacha na shilingi. Yaani utumie shilingi 170 kununua kwacha 1 halafu ushindwe kujua hela ipi yenye nguvu?
 
Ya nini kubishana wakati mr google yupo hapa hebu pitieni hapa.

Kwa mujibu wa mitandao hii kwacha ni ya 6 kwa pesa zenye purchasing power kubwa africa wakati Tsh hata Top 20 haipo iwe alipunguza sifuri au alifanyaje lakini ndio wameshatuacha


The 8 strongest African currencies in 2019



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba kueleweshwa hapa.
1USD =TZ sh 2300
1USD= Zambian K 13

Hii ina maana sh 2300= K 13?
Mtu anakujibu vizuri unamtolea kashfa ilihali umekuja jukwaani kuomba ufafanuzi. Hii sio sawa. Nikirudi kwenye swali lako ufafanuzi ni kwamba sio kweli kwamba pesa ya Zambia ina thamani kuliko Shilingi yetu.

Kama ambavyo wengi wamekujibu ni kwamba pesa ya Zambia imefanyiwa mabadiliko hasa katika uandishi wa tarakimu.

Walichokifanya wameondoa wingi wa sifuri ili kujaribu angalau kuifanya irudi kwenye thamani. Ukitaka uelewe ninachokimaanisha, nenda na pesa za thamani sawa sokoni, kisha fanya manunuzi ya aina moja kwa pesa zote mbili.

Mfano, chukua elfu 10 ya Tanzania, kanunue mbolea, kisha chukua Kwacha yenye thamani hiyo hiyo nunua mbolea. Ukikabidhiwa mzigo wako, utapata jibu kwamba purchasing power ya Shilingi ya Tanzania ni kubwa kuliko Kwacha ya Zambia..na hivyo ndivyo thamani ya pesa hupimwa.

Ukweli ni kwamba, Ile noti ya Kwacha 1000 ya sasa ina thamani ya Kwacha 100,000. Kilichobadilika ni kuondolewa kwa 000 za mwisho. Tunaokwenda huko kwao kununua bidhaa jamaa wakikuona una Shilingi ya Tanzania wanataka ununue bidhaa zao kwa hiyo pesa. Wao wenyewe hawaithamini kabisa pesa yao.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya nini kubishana wakati mr google yupo hapa hebu pitieni hapa.

Kwa mujibu wa mitandao hii kwacha ni ya 6 kwa pesa zenye purchasing power kubwa africa wakati Tsh hata Top 20 haipo iwe alipunguza sifuri au alifanyaje lakini ndio wameshatuacha


The 8 strongest African currencies in 2019



Sent using Jamii Forums mobile app
Umewahi kufika Zambia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya 2004 hadi 2006 nilikuwa nikipita mara kwa mara Zambia kuelekea South Africa. Nilikuwa nikibadilisha shilingi yetu kwa kwacha ya Zambia napata hela nyingi sana za Kizambia.

Infact enzi hizo ukiwa na TZS unakuwa don kwa maisha ya Zambia. Nimeshangaa leo hapa mitaa ya Posta nakuta exchange rate ya Kwacha ni TZS100 - TZS170.

Yaani Kwacha 1 inanunuliwa kwa TZS100 na kuuzwa kwa TZS 170. Nimebaki kujiuliza sana imekuwaje Kwacha ilikuwa weak hivyo lakini imeipita TZS zaidi ya asilimia 1000?

Tanzania tunakwama wapi jamani? Dar es salaam huwezi hata kuilinganisha na Lusaka. Jiji la Dar lipo juu sana ukililinganisha na Lusaka.

Miji Kama Mwanza, Arusha iko juu sana ukilinganisha na miji ya Zambia. How come currency ya Zambia ipo juu kuizidi TZS?

Wachumi naomba mtufafanulie.

By the way mimi pia ni mchumi japo sio certified hivyo basic principles za economics nazijua, ila kwa hili nimeshindwa kulielewa.

Karibu tujadili.
Wazambia walibadili thamani ya Pesa yao.
 
Miaka ya 2004 hadi 2006 nilikuwa nikipita mara kwa mara Zambia kuelekea South Africa. Nilikuwa nikibadilisha shilingi yetu kwa kwacha ya Zambia napata hela nyingi sana za Kizambia.

Infact enzi hizo ukiwa na TZS unakuwa don kwa maisha ya Zambia. Nimeshangaa leo hapa mitaa ya Posta nakuta exchange rate ya Kwacha ni TZS100 - TZS170.

Yaani Kwacha 1 inanunuliwa kwa TZS100 na kuuzwa kwa TZS 170. Nimebaki kujiuliza sana imekuwaje Kwacha ilikuwa weak hivyo lakini imeipita TZS zaidi ya asilimia 1000?

Tanzania tunakwama wapi jamani? Dar es salaam huwezi hata kuilinganisha na Lusaka. Jiji la Dar lipo juu sana ukililinganisha na Lusaka.

Miji Kama Mwanza, Arusha iko juu sana ukilinganisha na miji ya Zambia. How come currency ya Zambia ipo juu kuizidi TZS?

Wachumi naomba mtufafanulie.

By the way mimi pia ni mchumi japo sio certified hivyo basic principles za economics nazijua, ila kwa hili nimeshindwa kulielewa.

Karibu tujadili.
Wanaoiangusha shillings ya Tanzania ni wafanyabiasha wenye uchu wa utajiri bila kuwa na huruma juu ya uchumi wetu wa Tanzania.
Bora maduka ya kubadirishia fedha yamewekwa kwenye mfumo ulio rasmi ndani ya Mabenk yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitazama hivyo utapotezwa zaidi.. Binafsi nilikuwa natumia hii exchange rates kupata thamani lkn kuna ukweli ambao haueleweki vizuri hapo. Hebu chukua Kwacha elfu 10 kisha omba dollars za Kimarekani uone utapewa nini.. Halafu fanya hivyo kwa Shilingi elfu 10 halafu uje hapa jukwaani ulete matokeo.
Pesa ya Kwacha milioni moja ni kama Shilingi laki moja tu ya Tanzania.. huo ndio ukweli. Yaani walichokifanya Wazambia ni sawa na MTU ujifiche kwenye shamba la karanga...

Sent using Jamii Forums mobile app
.
Screenshot_20191221-190700.jpeg
Screenshot_20191221-190551.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau wameeleza vizuri tu kuwa Zambia walifanya mabadiliko kwenye denomination ya currency yao kwa kuondoa 3 zeroes ili kupunguza mzigo wa manoti. Lakini nguvu halisia ya Kwacha bado hsijabadilika.

Kwa mantiki ya hoja yako utasema pia Zambian Kwacha ina nguvu kuliko Japanese Yen:

1 Zambian Kwacha = 7.3 Japanese Yen


My 2 cents.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya 2004 hadi 2006 nilikuwa nikipita mara kwa mara Zambia kuelekea South Africa. Nilikuwa nikibadilisha shilingi yetu kwa kwacha ya Zambia napata hela nyingi sana za Kizambia.

Infact enzi hizo ukiwa na TZS unakuwa don kwa maisha ya Zambia. Nimeshangaa leo hapa mitaa ya Posta nakuta exchange rate ya Kwacha ni TZS100 - TZS170.

Yaani Kwacha 1 inanunuliwa kwa TZS100 na kuuzwa kwa TZS 170. Nimebaki kujiuliza sana imekuwaje Kwacha ilikuwa weak hivyo lakini imeipita TZS zaidi ya asilimia 1000?

Tanzania tunakwama wapi jamani? Dar es salaam huwezi hata kuilinganisha na Lusaka. Jiji la Dar lipo juu sana ukililinganisha na Lusaka.

Miji Kama Mwanza, Arusha iko juu sana ukilinganisha na miji ya Zambia. How come currency ya Zambia ipo juu kuizidi TZS?

Wachumi naomba mtufafanulie.

By the way mimi pia ni mchumi japo sio certified hivyo basic principles za economics nazijua, ila kwa hili nimeshindwa kulielewa.

Karibu tujadili.
Magufulification
 
Back
Top Bottom