chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,205
- 304
- Thread starter
- #41
Kisheria pale unapopewa barua ya kusimamishwa kazi inapaswa iandikwe na muda ambao unasimamishwa kazi of which it has to be reasonable kwa hiyo reasonable time itategemea na tuhuma yenyewe pamoja na muda wa uchunguzi kwa vigezo hivyo ndipo hesabu ya reasonable time hupatikana. Na iwapo muda ukipita unaweza kuwaandikia barua waajiri wako kujua hadhi ya ajira yako japo.Ukiwa na tuhuma fulani kazini, na ukasimamishwa kazi kupisha uchunguzi, je uchunguzi huo unachukua mda gani kisheria? Na je mda huo ukipata bila tume ya uchunguzi kufanya chochote wala kutoa maamuzi yoyote nini kifanyike au sheria inasemaje kuhusu hilo?