soskeneth
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 583
- 235
Mkataba wa mwaka mmoja?Kaz tulianza 2015 kat kat tukafanya hadi 2016 ,2017 hii tumepewa mkataba Jan unaisha 20 /2018
Mkataba wa mwaka mmoja?Kaz tulianza 2015 kat kat tukafanya hadi 2016 ,2017 hii tumepewa mkataba Jan unaisha 20 /2018
Hyo notification ya kwamba unaitwa KWENYE kikao cha kinidhamu ulipewa ndan ya muda gan? Je unatuhumiwa Kwa kosa gan? Na ulishaambiwa haki zako ndan ya kikao cha kindhamu?Mkuu nashukuru kwa majibu mazuri.Tatizo muda huu haupo tena maana kuna mfuko flani wa jamii hutoa huduma za bure za matibabu kwa wanachama wake.wanakupa form upeleke kwa muajiri wako kuna mahali anatakiwa ajaze Mara tatu za mwisho yeye kukuingizia michango.nikampa form akanizungusha zungusha kwa kuwa tangia mwaka ulopita hajaingiza mchango.nimemsitiza sana zikawa ni kalenda .juma lilopita arinirudisha nyumban,jumamosi akatuma mesej niende Jana nikamuone kufika akanipa barua ya kuhudhuria kesho kikao cha nidhamu.makosa ni kutofuata ratiba za kazi na n.k.nafahamu kwa kuwa unajua m najifahamu unataka kuniondoa.sikatai kuondoka je ntapataje kifuta jasho
Ni mwaka mmoja.mkuu mchana wa Leo ni siku ya hiyo kikao unanishaurije kuhusiana na tuhumu anazonituhumu nizikane au nizikubalMkataba wa mwaka mmoja?
Mkuu naweza kuja pmHyo notification ya kwamba unaitwa KWENYE kikao cha kinidhamu ulipewa ndan ya muda gan? Je unatuhumiwa Kwa kosa gan? Na ulishaambiwa haki zako ndan ya kikao cha kindhamu?
Nichek 0759323948 au 0713347432Ni mwaka mmoja.mkuu mchana wa Leo ni siku ya hiyo kikao unanishaurije kuhusiana na tuhumu anazonituhumu nizikane au nizikubal
Mkuu naweza kuja pm
Mkuu ndio naingia kwenye kikao ntakuchek nkitokaNichek 0759323948 au 0713347432
Mkuu kikao amekuja Dada mmoja n mwenyekit .wamechukuliwa wafanyakaz watatu mmoja amepewa ukatibu,mmoja mjumbe,mmoja anamwakilisha Bo's kama mlalamikaj je hapo n sawaNichek 0759323948 au 0713347432
Huyo Dada unamfahamu?Mkuu kikao amekuja Dada mmoja n mwenyekit .wamechukuliwa wafanyakaz watatu mmoja amepewa ukatibu,mmoja mjumbe,mmoja anamwakilisha Bo's kama mlalamikaj je hapo n sawa
kikao mkuu kimeniacha sielewi nifanyanye yule Dada simfahamu japo nilimuuliza je we n nan we n hr akajibu ye anaitwa fulan n mwenyekit bos amemchagua ye awe mwenyekit WA kikao na amemchagua huyo meneja jina ambaye mzungu amemchezea akil amemuambia ye n gm wakat kitambulisho chake cha Kazi kinaonyesha ye ni waiter hajawah kumpa hata barua ya kumthibitishi a ye n gm LEO amesimama kama mlalamikaji wakat mlalamikaj n bos.niliwakataa hao watu awali huyo Dada akanilazimisha tuendelee na kikaoNn hatima ya kikao hcho? Yan wameamua nn?
N vzr unitafut Kwa hy nambaK
kikao mkuu kimeniacha sielewi nifanyanye yule Dada simfahamu japo nilimuuliza je we n nan we n hr akajibu ye anaitwa fulan n mwenyekit bos amemchagua ye awe mwenyekit WA kikao na amemchagua huyo meneja jina ambaye mzungu amemchezea akil amemuambia ye n gm wakat kitambulisho chake cha Kazi kinaonyesha ye ni waiter hajawah kumpa hata barua ya kumthibitishi a ye n gm LEO amesimama kama mlalamikaji wakat mlalamikaj n bos.niliwakataa hao watu awali huyo Dada akanilazimisha tuendelee na kikao
Nitafute KWENYE namba zangu,,nikupe maelekezo kama kikao chako kilikuwa halali au batili,,Maan kuna maswar yapaswa nikuulizK
kikao mkuu kimeniacha sielewi nifanyanye yule Dada simfahamu japo nilimuuliza je we n nan we n hr akajibu ye anaitwa fulan n mwenyekit bos amemchagua ye awe mwenyekit WA kikao na amemchagua huyo meneja jina ambaye mzungu amemchezea akil amemuambia ye n gm wakat kitambulisho chake cha Kazi kinaonyesha ye ni waiter hajawah kumpa hata barua ya kumthibitishi a ye n gm LEO amesimama kama mlalamikaji wakat mlalamikaj n bos.niliwakataa hao watu awali huyo Dada akanilazimisha tuendelee na kikao
KWENYE mtandao IPO mbona ,,google tuu
Wanajamvini wenzangu kwa yeyote Mwenye shida na maswala ya sheria za kazi awe huru kuniuliza
Karibuni!
Mwana kwetu HAPA ,,inabd uweke maelezo ya kutosha ,kosa gan alipatikan nalo? Ndipo amelekezo yajeJe sheria inasemaje mwajili kumtuhumu mwajiriwa kwa kesi ua jinai na kumfukuza kazi pasipokumfikisha mahakamani?
The answer is yes!
!
Sheria ya kazi na mahusiano kazini inasemaje kuhusu mwajiri kumkata mwajiriwa sehemu ya mshahara wake kama adhabu?
Mkuu nashindwa kukushauri sababu theoretically kuna serekali kuu ila practically serekali kuu inaundwa na taasisi na idara mbalimbali ungesema moja kwa moja ni idara au taasisi ipi uliyoishinda na bado hawajakulipa sababu ki utendaji na kwa taratibu huwa zinatofautiana kwenye kutekeleza majukumu yake ikiwa ni pamoja na ulipaji wa madeniMfano mfanyakazi umeshinda kesi cma kwa kuachishwakazi pasipokufuata taratibu na hakuna sanabu za msingi serikari ikakata rufaa HC ukashinda tena,lakini serikali haikulipi na sheria zinakataza kukamata mali za serikali kuu,utafanyaje ili ikulipe kwa wakati?