Kwa wenye uhitaji wa viwanja na mashamba Dodoma

Kwa wenye uhitaji wa viwanja na mashamba Dodoma

Inaelekea Serikali inauza Viwanja Ihumwa kwa gharama kubwa kuliko wewe? Nimeona viwanja vinavyouzwa na Manispaa wanauza squaremeter 1700 kwa milion 8, wewe unauza 75 kwa 75 kwa milion 8?.

Yaani ushauri wangu tu, ni kwamba kwa mji wa dodoma, ni kheri upambane upate viwanja vilivhouzwa na Serikali vinginevyo inaweza kukuketea matatizo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, asante kwa ushauri
 
Inaelekea Serikali inauza Viwanja Ihumwa kwa gharama kubwa kuliko wewe? Nimeona viwanja vinavyouzwa na Manispaa wanauza squaremeter 1700 kwa milion 8, wewe unauza 75 kwa 75 kwa milion 8?.

Yaani ushauri wangu tu, ni kwamba kwa mji wa dodoma, ni kheri upambane upate viwanja vilivhouzwa na Serikali vinginevyo inaweza kukuketea matatizo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona wapi mkuu ebu tupe details za kutosha ili tusiingie mkenge...
 
Kiwanja chenye ukubwa wa 70×60 meters kinauzwa, kipo Dodoma maeneo ya Nala umbali wa kilometres 11 kutoka Dodoma mjini kipo barabara ya kwenda/kutoka Singida.
Kiwanja hakija pimwa ingawa umeme upo karibu kwa umbali wa mita 100, na kipo karibu sana na barabara.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni tatu na nusu (3,500,000)
Kwa mwenye uhitaji, karibu nikukutanishe na mmiliki wa kiwanja ili mfanye mazungumzo.
Karibu tuwasiliane kwa sim/whatsap namba 0758383624.
20190224_112501.jpg
20190224_112324.jpg
 
Kiwanja chenye ukubwa wa (heka mbili) 130×140 meters kinauzwa, kipo Dodoma maeneo ya Nala karibu na Nala Shule ya Msingi, na pana umbali wa kilometres 13 kutoka Dodoma mjini kipo barabara ya kwenda/kutoka Singida.
Kiwanja hakija pimwa ingawa umeme upo karibu kwa umbali wa mita 300.
Pia kiwanja kipo umbali wa mita 800-900 kutoka barabara kuu/lami ya kwenda/kutoka Singida.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni nne (4,000,000)
Kwa mwenye uhitaji, karibu nikukutanishe na mmiliki wa kiwanja ili mfanye mazungumzo.
Karibu tuwasiliane kwa sim/whatsap namba 0758383624.
 
Kiwanja chenye ukubwa wa (hekari moja) 75×75 meters kinauzwa, kipo Dodoma maeneo ya Nala karibu na Nala Shule ya Msingi, na pana umbali wa kilometres 13 kutoka Dodoma mjini kipo barabara ya kwenda/kutoka Singida.
Kiwanja hakija pimwa ingawa umeme upo karibu kwa umbali wa mita 300.
Pia kiwanja kipo umbali wa mita 800-900 kutoka barabara kuu/lami ya kwenda/kutoka Singida.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni mbili (2,000,000)
Kwa mwenye uhitaji, karibu nikukutanishe na mmiliki wa kiwanja ili mfanye mazungumzo.
Karibu tuwasiliane kwa sim/whatsap namba 0758383624.
 
Kiwanja chenye ukubwa wa 70×70 meters kinauzwa, kipo Dodoma maeneo ya Nala karibu na Nala centre, na pana umbali wa kilometres 13 kutoka Dodoma mjini kipo barabara ya kwenda/kutoka Singida.
Kiwanja hakija pimwa ingawa umeme upo karibu kwa umbali wa mita 100.
Pia kiwanja kipo umbali wa mita 250-300 kutoka barabara kuu/lami ya kwenda/kutoka Singida.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni tatu (3,000,000)
Kwa mwenye uhitaji, karibu nikukutanishe na mmiliki wa kiwanja ili mfanye mazungumzo.
Karibu tuwasiliane kwa sim/whatsap namba 0758383624.
 
Kiwanja chenye ukubwa wa 70×70 meters kinauzwa, kipo Dodoma maeneo ya Nala karibu na Nala centre, na pana umbali wa kilometres 13 kutoka Dodoma mjini kipo barabara ya kwenda/kutoka Singida.
Kiwanja hakija pimwa ingawa umeme upo karibu kwa umbali wa mita 100.
Pia kiwanja kipo umbali wa mita 250-300 kutoka barabara kuu/lami ya kwenda/kutoka Singida.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni mbili (3,000,000)
Kwa mwenye uhitaji, karibu nikukutanishe na mmiliki wa kiwanja ili mfanye mazungumzo.
Karibu tuwasiliane kwa sim/whatsap namba 0758383624.
Bei ya kiwanja Ni shilingi milioni mbili alafu kwenye mabano ukaweka 3,000,000 ipi bei elekezi hapo 2 au 3.
 
Bei ya kiwanja Ni shilingi milioni mbili alafu kwenye mabano ukaweka 3,000,000 ipi bei elekezi hapo 2 au 3.
Sorry mkuu, hapo kidogo niliteleza kwenye uandishi.
Tayari nimefanya marekebisho
 
Habari wakuu..!!
Hii ni habari njema kwa wale wote wageni na wenyeji wenye uhitaji wa viwanja na mashamba ndani ya jiji la Dodoma.
Kinacho fanyika ni, mimi ninakutafutia kiwanja ama shamba ndani ya mkoa wa Dodoma. Kisha nitakukutanisha na mmiliki wa eneo husika na mtafanya mazungumzo ninyi wawili kuhusiana na bei.
Baada ya makubaliano yenu, mimi malipo yangu itakua ni asilimia kumi (10%) ya malipo mtakayo kubaliana.
Kwa wenye uhitaji naomba tuwasiliane kwa 0758383624 sim ama whatsap.

Mkuu naomba kujua hii 10% inchangiwa na wote muuzaji na mnunuzi au inakuwaje. Asante kwa huu ubunifu.
Pia unahakikisha umiliki kujikinga na matapeli?,maana mwisho wa siku wewe ndio kiungo kati ya hawa wawili.
 
Mkuu naomba kujua hii 10% inchangiwa na wote muuzaji na mnunuzi au inakuwaje. Asante kwa huu ubunifu.
Pia unahakikisha umiliki kujikinga na matapeli?,maana mwisho wa siku wewe ndio kiungo kati ya hawa wawili.
Mkuu....
Kwanzaa pole kwa kuchelewa kukupa jibu kwa haraka, kidogo nilikua nimebanwa na majukumu mengine.
Naomba nikujibu kama ifuatavyo:-
1. Hiyo 10% nalipwa na mnunuaji, ingawa kuna wakati huwa ninapunguza pia kulingana na hali ama njaa ya siku husika.
2. Maranyingi mimi naenda kutafuta viwanja kwa wenyeji na wakazi wa maeneo husika, na kisha napitia kwa mwenyekiti wa kijiji/kata ili kujiridhisha kama kweli muhusika ndie hasa mmiliki wa eneo.
Baada ya kuyafanya hayo, hapo ndipo mimi naleta tangazo na kulibandika humu jamvini.
Mwisho naomba niseme nimeitika kwa pongezi za ubunifu huu wa ujasiriamali wa kipekee...
Karibu sana mkuu, viwanja bado vipo[emoji18]
 
Nikajua utashusha
Ohhhppppssss.....
Pole sana mkuu, lakini nikiku kutanisha na mwenye kiwanja yawezekana sana akakufanyia punguzo ikiwa utachangamsha lugha kidogo na akalainika...[emoji4][emoji4]
 
Ohhhppppssss.....
Pole sana mkuu, lakini nikiku kutanisha na mwenye kiwanja yawezekana sana akakufanyia punguzo ikiwa utachangamsha lugha kidogo na akalainika...[emoji4][emoji4]
Ushimen nimechukua Mawasiliano ntakutafuta
 
Kiwanja kinauzwa

MAHALI ;Kiko michese substation-iringa Road(Nyuma ya usalama wa Taifa).
UMBALI ; 7km toka city centre.
UKUBWA ; 4032 SQM

KUPIMWA ; Kimeshahakikiwa(reconnaissance),ila kinapakana na mtu ambaye alishapimiwa na kuna bicons za kushea upande mmoja(nimeambatanisha picha).

MAJI+UMEME ; Umeme tayari nguzo ipo kwenye kiwanja na maji yapo kiwanja cha jirani.

OTHER DETAILS
1.kina mapagale mawili ndani yake-moja lina vyumba 12 na jingine lina vyumba 02
2.Kuna kisima cha asili ndani yake
3.kuna mikorosho+mihogo+miembe ndani yake
4.Ni eneo zuri sana kwa makazi na unapata nafasi kubwa ya kufanya shughuli zako zingine kama vile ufugaji,n.k

BEI ; Milioni 18 Tu kwa malipo ya CASH
MALIPO YA AWAMU ;

A. Milioni 21 kwa miezi 3,kila mwezi milioni 7
B.Milioni 24 kwa miezi 6,kila mwezi milioni 4

Kwa mwenye uhitaji, karibu nikukutanishe na mmiliki wa kiwanja ili mfanye mazungumzo.
Wasiliana nami kwa sim/whatsap 0758383624.
IMG-20190425-WA0005.jpeg
IMG-20190425-WA0006.jpeg
IMG-20190425-WA0007.jpeg
IMG-20190425-WA0008.jpeg
IMG-20190425-WA0004.jpeg
IMG-20190425-WA0002.jpeg
IMG-20190425-WA0003.jpeg
IMG-20190425-WA0000.jpeg
 
FRAME 08 + ENEO LA BIASHARA LINAUZWA DODOMA.

MAHALI: Michese-Iringa road(Nyuma ya usalama wa taifa). -Eneo liko opposite na kibao cha shule ya msingi michese(utaona kwenye picha)

UMBALI: Kilomita 6 tu toka katikati ya jiji-Dodoma

UKUBWA: Square metres 1008

FRAME ZA BIASHARA: Kina frame 08 na bado eneo limebaki kubwa.

HUDUMA ZA KIJAMII: Maji,umeme viko jirani.

BARABARA: Ni eneo la kwanza toka barabara kuu inayokuja kuwekwa lami hivi karibuni iendayo michese ambayo tayari imeshapimwa.

KUPIMWA: Eneo tayari limekwishapimwa linasubiri hati tu (Tafadhali tazama mchoro kwenye picha).

FURSA ZILIZOPO:
Eneo lilipo ni kituo cha daladala za michese-panaitwa kibao cha shule. Daladala husimamama hapo kushusha/kupanda abiria!! Hiki ni kigezo muhimu na kikubwa sana hasa katika kutambulisha na kukuza biashara yako kwa haraka. Barabara inakuja kuwekwa lami siku si nyingi hivyo ni fursa kubwa sana kibiashara.
Biashara kama vile hotel, mavazi, pub/bar, hardware, mbao, tofauli zinaweza toka kwa urahisi zaidi kwani maeneo ya jirani(kinyambwa extesion, miganga, chidachi) yanakua kwa kasi sana. Utaona kwenye picha, Huduma kama vile kituo cha afya, duka la dawa, bar&lodge, migahawa ni chache sana.

MALIPO
Unaweza lipa cash au kwa awamu MALIPO YA CASH:
Bei ya eneo lote+frame zake ni Milioni kumi (10,000,000).
MALIPO YA AWAMU: Milioni kumu na mbili (12,000,000) ambayo italipwa ndani ya miezi mitatu, yaani milioni 04 kila mwezi.

Kwa mwenye uhitaji karibu tuwasiliane kwa sim/Whatsapp 0758383624, nikukutanishe na mmiliki wa kiwanja ili mfanye mazungumzo.
IMG-20190425-WA0016.jpeg
IMG-20190425-WA0018.jpeg
IMG-20190425-WA0017.jpeg
IMG-20190425-WA0019.jpeg
IMG-20190425-WA0020.jpeg
IMG-20190425-WA0021.jpeg
 

Attachments

  • IMG-20190425-WA0022.jpeg
    IMG-20190425-WA0022.jpeg
    28.4 KB · Views: 46
Karibuni sana wateja wangu, viwanja bado vinapatikana kwa bei nafuu hapa jijini Dodoma.....
 
Kwa wenye mahitaji ya vinja na mashamba jijini Dodoma.
Karibu tuwasiliane kwa call/WhatsApp namba 0758383624
 
Back
Top Bottom