Kwa wenye uhitaji wa viwanja na mashamba Dodoma

Kwa wenye uhitaji wa viwanja na mashamba Dodoma

Linauzwa shamba lenye ukubwa wa hekari kumi (10).
Shamba lipo maeneno ya Zuzu karibu na kwa Pinda Mizengo. Shamba lipo umbali wa kilometres 8 kutoka Dodoma mjini.
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni kumi na tano (15,000,000).
Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kwa sim/whatsap namba 0758383624 ili nikuunganishe na mmiliki/muuzaji wa shamba na mfanye mazungumzo.
Asante na karibuni Dodoma
 
Kinauzwa kiwanja chenye ukubwa wa 1900 mita za mraba.
Kiwanja kipo umbali wa mita 500 kabla ya kufika chuo cha mipango, kama unatokea Dodoma mjini.
Kiwanja kimepimwa na kina hati.
Kiwanja ni chatatu kutoka barabara ya kuu ya kwenda/kutoka Arusha.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni nane (8,000,000).
Umeme na maji vyote vipi karibu na huduma zote za jamii zinapatikana karibu.
Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kwa sim/whatsap namba 0758383624 ili nikuunganishe na mmiliki/muuzaji wa shamba na mfanye mazungumzo.
Asante na karibuni Dodoma
 
Habari wakuu..!!
Hii ni habari njema kwa wale wote wageni na wenyeji wenye uhitaji wa viwanja na mashamba ndani ya jiji la Dodoma.
Kinacho fanyika ni, mimi ninakutafutia kiwanja ama shamba ndani ya mkoa wa Dodoma. Kisha nitakukutanisha na mmiliki wa eneo husika na mtafanya mazungumzo ninyi wawili kuhusiana na bei.
Baada ya makubaliano yenu, mimi malipo yangu itakua ni asilimia kumi (10%) ya malipo mtakayo kubaliana.
Kwa wenye uhitaji naomba tuwasiliane kwa 0758383624 sim ama whatsap.
Mkuu siwezi kuapata kiwanja maeneo ya nzuguni kwa bei ya milioni mbili na nusu
 
Kinauzwa kiwanja chenye ukubwa wa 1900 mita za mraba.
Kiwanja kipo umbali wa mita 500 kabla ya kufika chuo cha mipango, kama unatokea Dodoma mjini.
Kiwanja kimepimwa na kina hati.
Kiwanja ni chatatu kutoka barabara ya kuu ya kwenda/kutoka Arusha.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni nane (8,000,000).
Umeme na maji vyote vipi karibu na huduma zote za jamii zinapatikana karibu.
Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kwa sim/whatsap namba 0758383624 ili nikuunganishe na mmiliki/muuzaji wa shamba na mfanye mazungumzo.
Asante na karibuni Dodoma
Msalimie Temba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wenye uhitaji wa viwanja (vilivyo pimwa na ambavyo havija pimwa), pamoja na mashamba ndani ya jiji la Dodoma.
Karibuni sana.
Kwa mawasiliano call/whatsap 0758383624
 
Back
Top Bottom