Kwa wenye uhitaji wa viwanja na mashamba Dodoma

Kwa wenye uhitaji wa viwanja na mashamba Dodoma

Linauzwa shamba lenye ukubwa wa hekari mbili (7200 square meters). Shamba lipo umbali wa meters 100 kutoka barabara kuu ya kuelekea/kutokea Zuzu.
Shamba lipo umbali wa kilometres 7 kutoka Dodoma mjini.
Shamba linauzwa kwa shilingi 3,000,000/=
Kwa mawasiliano WhatsApp / Call 0758383624, niku kukutanishe na mwenye eneo/shamba kwa mazungumzo.
 
Kiwanja/eneo (hakija pimwa) lenye ukubwa wa 4000 mita za mraba. Eneo linalouzwa, lipo Mtumba umbali wa kilometres 16 kutoka Dodoma mjini. Shamba lipo umbali wa meters 100 kutoka barabara kuu ya kutokea/kwenda Dar. Eneo linauzwa kwa shilingi milioni nne (4,000,000).
Karibu nikuunganishe na mmiliki/muuzaji wa eneo husika.
Wasiliana nami kwa simu/whatsap 0758383624
Mkuu Haya maeneo huwezi ingia chaka kweli kwa kuwa haya maeneo si yakipimwa lazima ikule kwako!
 
Mkuu Haya maeneo huwezi ingia chaka kweli kwa kuwa haya maeneo si yakipimwa lazima ikule kwako!
Mkuu, binafsi nina utaratibu wa kuhakiki kwa kumpeleka land surveyor ili nijiridhishe kama eneo sio la matumizi ya serikali/jamii.
Na baada ya hapo nimekua nikichukulia kwamba watu wote walio jenga nyumba ama kumiliki viwanja, hawakua wamesubiri hadi vipimwe ndipo wanunuwe.
Hivyo basi naomba usikariri kununua viwanja vilivyo pimwa, kumbuka pia huwa kuna viwanja ambavyo vinakutwa na upimaji na kisha urasimishaji hufanyika.
 
Kwanini bei ya viwanja Dodoma ni rahisi sana na ditance toka jijini ni karibu?


Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ni kwasababu ndio kwanza mji umeanza kukuwa, na watu wengi sasa tuna nunua maeneo kama mashamba ili kuepuka makosa yenye tumewahi kuyafanya huko siku za nyuma.
Na kwenye ununuzi wa mashamba, tunajitahidi sana kushusha bei za wauzaji ili kuanza kufidia maeneo kama barabara pindi upimaji utakapo fanyika.
 
sioni urahisi wowote kiwanja cha 600sqm Kisasa ni Tsh. 17milioni fixed price, wakati kigamboni dar kiwanja mpaka 10milioni kipo...
Dahhhhh.....[emoji45] [emoji45]
Mkuu, hiyo ni bei ya maeneo yapi ndani ya jiji la Dodoma...!!??
 
Dahhhhh.....[emoji45] [emoji45]
Mkuu, hiyo ni bei ya maeneo yapi ndani ya jiji la Dodoma...!!??
Chungulia viwanja vilivo pimwa Tena vya makazi afu angalia na metrics zake pamoja na bei, sijui ni kwa sababu ya hizi ofisi za real estate agent au ni bei zinakadiriwa tu. Ukakasi upo bado Kwenye mauziano ya ardhi
 
Chungulia viwanja vilivo pimwa Tena vya makazi afu angalia na metrics zake pamoja na bei, sijui ni kwa sababu ya hizi ofisi za real estate agent au ni bei zinakadiriwa tu. Ukakasi upo bado Kwenye mauziano ya ardhi
Mkuu.....
Kwa kiwanja chenye ukubwa wa 600 square metres ndani ya jiji la Dodoma kwa bei ya 17milioni....!!??[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sio kweli mkuu, hakuna bei kama hiyo bado aiseeeeee......
 
Mkuu.....
Kwa kiwanja chenye ukubwa wa 600 square metres ndani ya jiji la Dodoma kwa bei ya 17milioni....!!??[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sio kweli mkuu, hakuna bei kama hiyo bado aiseeeeee......
Kweli ndugu
Check bei za real estate agency
Kisasa 570sqm= 25M
600sqm= 27M.
Mlimwa ndo hizo million plus kwa 600sqm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wana exaggerate sana
Eti nyumba ya kupanga 1M au 2M
Nyumba haina u uniqueness yoyote!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, nilicho jifunza hapa Dodoma ni kwamba...... usipo kuwa makini lazima utapigwa tu, tena for the name called jiji.
Ndiomaana mimi niliweka wazi kwamba, aina yangu ya biashara ni kumkutanisha muuzaji na mnunuaji, na baada ya makubaliano yao wao basi mimi nilipwe 10% kama ujira wangu.
 
Ndio maana nika argue hapo Tena ukikuta ni 1000sqm ni hatari
Mkuu, ukiargue pia sio mbaya ili ikusaidie kupata ABC's ya machache usio na ufahamu nayo.
Lakini pengine niseme hivi..... hapa wapo nimefanya nao biashara nani mashuhuda watakao kuja kuhakiki haya niyasemayo.
 
Alafu hapo pia hapaja kaa sawa mtu anakutajia bei kubwa.
Mkuu, mimi nitakupeleka kwa mmiliki wa eneo na ninyi mtafanya mazungumzo na kisha mkikubaliana, ndipo hapo unaweza ukanidunga kifuta jasho..[emoji5] [emoji5]
 
Kiwanja kinauzwa kwa bei ya shilingi milioni nne (4,000,000).
Kiwanja kipo Ihumwa barabara ya kwenda Dar, kipo umbali wa kilomita 10 kutoka Dodoma mjini.
Kiwanja kina ukubwa wa square metres 3,600 na kipo umbali wa 300 meters kutoka barabara kuu.
Kiwanja kipo karibu kabisa na Kanisa la Roman Catholic linalo jengwa Ihumwa. Na umeme upo umbali wa karibu 300 meters kutoka kwenye kiwanja.
Kiwanja hicho tayari kimefanyiwa Land survey na kina namba tayari, hivyo kinasubiri urasimishaji kwaajili ya kupata hati.
Pia kiwanja kipo umbali wa 900 meters kutoka kwenye mradi wa bandari kavu ya standard gauges.
Kwa mwenye uhitaji karibu nikukutanishe na mmiliki wa kiwanja ili mfanye mazungumzo.
Karibu tuwasiliane kwa sim namba/whatsap 0758383624.
 
Back
Top Bottom