Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,124
Asante sana.Achana kabisa na ishu za kinga nakushauri mtegemee Mungu tuu... Sana sana mwogeshee maji uliyochanganya na chumvi kidogo inatosha kabisa
Jr
Nje ya mada kidogo.Asante sana.
Huwa namwogesheaga ngoja nizidi kumwogeshea..
Na kuzidi kumwomba MUNGU.
Ubarikiwe mkuu
Asante sanaNakuombea... Namuombea pia
Jr
HahaahaaNje ya mada kidogo.
Avatar yako imeimarisha sana kinga yangu ya macho. Ni wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr
Hembu nisaidie mawazo.
Mwanagu anapungua tu
sijui ha8hta sababu.kuna mtu niliongea nae ni ndugu yangu
Akanambia
.kwa nini usimtafutie mtoto kinga yoyote.
Tok8ea a8mezaliwa hana m8okinga yoyote huwa mamwombea tu. 83
Nikawa tu nipo njia panda.8
Sijajua dogo anakonda sababur 5oya g33utundu r1w98999e7n87ak88e au, na ni mzima tu wa afya.9
Msaada puglease
[QUOTqE="Laface77, post: 34578022, member: 11269"]8M8m776
Code:
9288
Sent using Jamii Forums mobile app
Tiba Asilia; I admire actually.Inakiponda na kumpaka kwenye nyayo, viganjani na utosini na kitovuni pia
Japo kuwa ulizo swali, linamda mrefu Sana. Nalijibu for the purpose of Education,Tatizo langu ni kwamba mtoto wangu kazaliwa tarehe 8 mpaka leo tarehe 11 upatikanaji wa maziwa kwa mke wangu ni mdogo sana ,JE NINI SULUHISHO LA MAMA WATOTO ILI ATOE MAZIWA HARAKA? mshana jr
Asante mkuu,nilikuona sijwahi kuuon huu Uzi mzuriFarolito
Karibu hapa.
Inategemea na makuzi.. Wengine akili hukomaa na kushika vitu haraka... Lakini si chini ya miaka mine na si juu ya miaka mitanoKwa kuanza naomba nijue ni umri upi sahihi kwa mtoto kuanza kujitegemea katika kujitawaza mwenyewe baada ya kujisaidia?(iwe kwa maji au toilet paper)
Hapa lengo ni kujua kwamba iwapo ataanza kujitawaza mwenyewe aweze kujisafisha kwa uhakika kwani tofauti na hapo inaweza kupelekea kupata magonjwa ya Mara kwa Mara kama UTI(hasa watoto wa kike)na pia magonjwa ya tumbo kama hatanawa mikono vizuri.
Nasubiri uzoefu,
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteInategemea na makuzi.. Wengine akili hukomaa na kushika vitu haraka... Lakini si chini ya miaka mine na si juu ya miaka mitano
Jr