Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Achana kabisa na ishu za kinga nakushauri mtegemee Mungu tuu... Sana sana mwogeshee maji uliyochanganya na chumvi kidogo inatosha kabisa

Jr
Asante sana.
Huwa namwogesheaga ngoja nizidi kumwogeshea..
Na kuzidi kumwomba MUNGU.
Ubarikiwe mkuu
 
still looking, nalea kwa mara ya kwanza na nipo so proud.

nacheka tu hapa katoto kana miezi tisa.. kananifanya bize adi nachoka na kulala hoi.
 
8M8m776
Code:
Mshana Jr
Hembu nisaidie mawazo.
Mwanagu anapungua tu
sijui ha8hta sababu.kuna mtu niliongea nae ni ndugu yangu
Akanambia
.kwa nini usimtafutie mtoto kinga yoyote.

Tok8ea a8mezaliwa hana m8okinga yoyote huwa mamwombea tu. 83
Nikawa tu nipo njia panda.8
Sijajua dogo anakonda sababur 5oya g33utundu r1w98999e7n8
7ak88e au, na ni mzima tu wa afya.9
Msaada puglease

9288

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUOTqE="Laface77, post: 34578022, member: 11269"]8M8m776
Code:


9288

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]





9
[QUOTb9E88n8="Melanny, post: 34207877, member: 541866"]Nalifanyia kazi.[/QUOTE]

88i8í88d5
IMG-20200306-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo langu ni kwamba mtoto wangu kazaliwa tarehe 8 mpaka leo tarehe 11 upatikanaji wa maziwa kwa mke wangu ni mdogo sana ,JE NINI SULUHISHO LA MAMA WATOTO ILI ATOE MAZIWA HARAKA? mshana jr
Japo kuwa ulizo swali, linamda mrefu Sana. Nalijibu for the purpose of Education,

Huku kwetu, tunatumia mbegu za maboga tunaziita 'tetere' Zinasagwa mama anakoroga uji anachanganya na huu unga wa tetere. Ni siku tatu tu, maziwa yanayotoka hutaamini.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuanza naomba nijue ni umri upi sahihi kwa mtoto kuanza kujitegemea katika kujitawaza mwenyewe baada ya kujisaidia?(iwe kwa maji au toilet paper)

Hapa lengo ni kujua kwamba iwapo ataanza kujitawaza mwenyewe aweze kujisafisha kwa uhakika kwani tofauti na hapo inaweza kupelekea kupata magonjwa ya Mara kwa Mara kama UTI(hasa watoto wa kike)na pia magonjwa ya tumbo kama hatanawa mikono vizuri.

Nasubiri uzoefu,

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuanza naomba nijue ni umri upi sahihi kwa mtoto kuanza kujitegemea katika kujitawaza mwenyewe baada ya kujisaidia?(iwe kwa maji au toilet paper)

Hapa lengo ni kujua kwamba iwapo ataanza kujitawaza mwenyewe aweze kujisafisha kwa uhakika kwani tofauti na hapo inaweza kupelekea kupata magonjwa ya Mara kwa Mara kama UTI(hasa watoto wa kike)na pia magonjwa ya tumbo kama hatanawa mikono vizuri.

Nasubiri uzoefu,

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na makuzi.. Wengine akili hukomaa na kushika vitu haraka... Lakini si chini ya miaka mine na si juu ya miaka mitano

Jr
 
Back
Top Bottom