Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,205
Ana miezi 5 ,,,Hahahaa ana umri gani
Jr
Ana miezi 5 ,,,Hahahaa ana umri gani
Jr
Yaani..lohDuu.. Aisee huyo anahitaji extra care
Jr
Nilipata Sana tabu na mwanangu nilipokuwa sijui position nzuri ya kumnyonyesha
Jitahidi kila unapoondoka uwe unamuaga kila siku na aridhike.hata kuwa analia tena .na kama anakaa na mtu sahihi ..atakuwa anakuaga freshNamna gani nzur kuagana na mtoto wakat wa kwenda kazini? Huwa Analia sana.
Maziwa ya mama yakiwa mepesi mtoto hawezi kushiba na kama hajashiba hataweza kulala vizuri.JAMANI MWANANGU MIMI ANA TATIZO LA KULALA KIDOGO NA KUAMKA...NA ANA MWEZI MMOJA TAYARI...
LAKINI ANALALA KIDOGO ANA AMKA ANALIA...YAANI HUWA HALALI MDA MREFU...
SASA WENGINE WAKASEMA LABDA HASHIBI...LAKINI JAMANI MAMA AKE ANA MAZIWA MENGI MPAKA YANAMWAGIKA...NA MTOTO ANANYONYA BALAAA...MPAKA ANAACHA MWENYEWE...
WENGINE WAKANAMBIA LABDA MAZIWA YA MAMA NI MEPESI...SASA HAPO NDIO NIKACHANGANYIKIWAAAA...
TUTAFANYAJE MAZIWA YA MAMA YAWE MAZITO...?
LAKINI PAMOJA NA YOTE...MWANANGU HAUMWI...ANAARISHA TU KILA AKIJISAIDIA...KAMA MTOTO NI KAWAIDA...NDO NIKAAMBIWA NA WATU KUWA MAZIWA YA MAMA MEPESI...
ILA MWANANGU ANA AFYA TU NZURI...
NAOMBENI UFAFANUZI KWA MWENYE UTAALAM JAMANI...
Ndugu Mshana Jr tafadhali...
Kuwa makiniMungu Wangu baby wangu anatumia pampas, isije ikampata.japo huwa namuomba anayebaki nae mchana amshindishe na kptula tu.ila sidhani.mimi kama mzazi nakerwa sana nikisikia mda wote alimvalisha pampers
Nalifanyia kazi.Kuwa makini
Kuna mwanamke mwanza alijifungua tofali la udongo...wakasema ni kwasababu ya kula Pemba sanasijakuelewa
Jr
Kuna viudongo ivi wanawake wenye mimba wanapenda kula sijui huko dar vinaitwaje...huku vinaitwa pembaYa kula pemba? Bado sijakuelewa
Jr
I agreed.Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.
Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii maalum ya watoto.
Kumlea mtoto tangu kutungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa na hatimaye kulelewa mpaka kuvuka kile kipindi cha hatari si jambo dogo.
Changamoto ni nyingi hasa na zingine hatujui jinsi ya kuzitatua lakini tukiwa na hii mada hapa jukwaani tutashirikishana na kujuzana mengi kwa haraka na uhakika zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji daktari au ufumbuzi wake ni kama huduma ya kwanza kabla hujapata usaidizi mwingine. HII NI TOFAUTI NA JF DOCTOR.
Kwa mfano, ufanyeje;
-Mtoto anapolialia
-Mtoto anapopata gesi tumboni
-Mtoto anapopaliwa kila akila chochote
-When the child is shocked at night and cries loudly etc. k
Risks of baby;
-Efficient
-The city
-Motorcycle
- Tv
-Similar, its waves
-Operations and various objects
-Obsides and cosmetics etc.
This is a broad topic with many aspects.
For example garlic is a remedy for baby crying and nightmares, Honey teaspoon is a cure for a baby who has a persistent cough (except for the chest and flu), Things like acne and armpits do not help the child
So many things ...
If it pleases them it will be a special issue for children.
Instruct the child in the right direction and he will not leave it!
Mtoto wangu ameanza kutembea mwezi mmoja uliopita ila naona ana utege sana.msaada tafadhali kuhusiana na njia ya kuzuia hii hali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana JrHahahaa ana umri gani
Jr
Mshana Jr
Hebu nisaidie mawazo.
Mwanagu anapungua tu
sijui hata sababu.kuna mtu niliongea nae ni ndugu yangu
Akanambia
.kwa nini usimtafutie mtoto kinga yoyote.
Tokea amezaliwa hana kinga yoyote huwa mamwombea tu.
Nikawa tu nipo njia panda.
Sijajua dogo anakonda sababu ya utundu wake au, na ni mzima tu wa afya.
Msaada please