Kwa watumiaji wa Whatsapp!!!

Kwa watumiaji wa Whatsapp!!!

Huo ni uongo hauna ukweli ndani yake ukitaka kujirdhisha tembelea website ya whatsapp
 
me pia nilitumiwa hiyo msg. sio mara ya kwanza kwa msg za hvy kwenye whatsapp. Sio kweli
 
naona wanachitchat mmenivamia maskani kwangu, huku mimi ndo na run show hehehehehhehe karibuni sana

wanachitchat nawakubali sana.. Yani mmoja wao akipost jukwaa lolote basi watamfuata huko

iwe kwenye dini, siasa au intelejensia.
 
Back
Top Bottom