Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,004
- 10,406
Wew nenda kwa fundi ,au bahili mkuu?Tatizo la hii simu yangu ni kwamba hata niki test kwenye audio recorder bado inazingua
Japo kuna muda inakubali lakini huwa haichukui muda mrefu inarudi tena kwenye hali ile ile
Hii sio hardware issueWew nenda kwa fundi ,au bahili mkuu?
Basi wasiliana na developer watairekebisha maan zko connected na googleHii sio hardware issue
Mkuu nimewasilisha malalamiko yangu na mpaka sasa sijapewa mrejeshoBasi wasiliana na developer watairekebisha maan zko connected na google
Kosa kubwa sana.Wakuu mimi nime rudi kwanza kwenye iphone maana ni kitambo tangu ikiwa ios 15 nilihamia pixel nimerudi huku ili nione utamu wa ios 16 nasubiria watoe 17 nione nayo ipoje Then narudi tena pixel.
Wenyewe wanasema AndroidOne ni smooth na simple tu kutumia. Ni kwa ajili ya wale watu ambao hawana mambo mengi, wao wanajali tu smoothness na simplicity. AndroidOne ina features chache kama tu MyUI ya Motorola, ColorOS ya Oppo, OxygenOS ya One Plus, RealmeUI ya Realme au Funtouch ya Vivohawa kinachowaponza na kitakachowakwamisha ni hiyo android one ambayo haina faida yoyote kuwa hivyo.
skin mbovu sijapata kuona,lakini pamoja na kuwa simple bado imeshindwa kuwa nyepesi kama ios japo simu ni ya google na simu ni yao pia.
bora wajiachie tu,likae simu fulani lenye camera kali na UI la kipekee kutoka google.
Tafuta duka la zahoro matelefonNaomba chimbo niichukue leo
Wenyewe wanasema AndroidOne ni smooth na simple tu kutumia. Ni kwa ajili ya wale watu ambao hawana mambo mengi, wao wanajali tu smoothness na simplicity. AndroidOne ina features chache kama tu MyUI ya Motorola, ColorOS ya Oppo, OxygenOS ya One Plus, RealmeUI ya Realme au Funtouch ya Vivo
Lakini mimi napenda software zenye na mambo kibao kama MIUI au One UI
Dah .....we jamaaKuwa na mambo machache haina maana ndio iwe mbaya.
Ebwana naomba ilo chimboUkienda chin plaza utauziwa 260,280 ila machimbo adimu 230k
Ni pm na Mimi nahitaji aiseeNime ku-pm