Kwa watumiaji wa Google Pixel

Kwa watumiaji wa Google Pixel

3a 4a sio IP rated kabisa. Yaani ata bafuni usiende nayo.

Ila 3 na 4 ni waterproof. Ip68 rated.

Kwahiyo una sacrifice kimoja una chukua kingine.

3a unapata headphones jack, battery kubwa, ila 3 unapata wireless charging battery dogo, camera mbili selfie, no headphones jack, premium material.
Sawa sawa mkuu ,na kuhusu charging pixel 3a kujaa kw mda mfupi haina madhara?
 
🤣🤣🤣

Mi nilianza 3 na 3a sahivi nipo 4, mwakani January napiga 5 December 6 Pro.

Sema Google kwenye hardware wanafail. 3 battery ilivimba, 3a sio waterproof iliingia maji yaan mvua kdg sana, 4 ipo poa sema battery dogo sana bora uende 4a.
Hizo 3 na 3a bado unazo mkuu?
 
Awap mkuu battery inakaa sana Tena Pixel3a labd ishachakachuliwa
Nilinunua pixel 2xl Ile simu ni kama paso aiseee!
Kila ukipiga picha Moja asilimia Moja inaondoka...
Nikauza nikanunua 3a kwenye chaji ikawa poa sana.niliuza nikachukua 3axl kwenye chaj ni super 3700 ila nikichaji saa 12 adi saa 3 usiku ndio nachaji Tena.
 
Nilinunua pixel 2xl Ile simu ni kama paso aiseee!
Kila ukipiga picha Moja asilimia Moja inaondoka...
Nikauza nikanunua 3a kwenye chaji ikawa poa sana.niliuza nikachukua 3axl kwenye chaj ni super 3700 ila nikichaji saa 12 adi saa 3 usiku ndio nachaji Tena.
At least 3a mkuu mm pia naek battery saver,inasaidia sana... 3axl big up Ina battery kubwa ila kiujumla ni simu nzuri sana zmetulia kinoma
 
Nilinunua pixel 2xl Ile simu ni kama paso aiseee!
Kila ukipiga picha Moja asilimia Moja inaondoka...
Nikauza nikanunua 3a kwenye chaji ikawa poa sana.niliuza nikachukua 3axl kwenye chaj ni super 3700 ila nikichaji saa 12 adi saa 3 usiku ndio nachaji Tena.
2xl hatar, ila 3a ukiwasha data inakaa chaji kinoma imekaaje hii ishu?
 
Moto wa pixel 4a uo
InShot_20221012_181301284.jpg
 
2xl hatar, ila 3a ukiwasha data inakaa chaji kinoma imekaaje hii ishu?
Hawa jamaa bana wanapishanisha vitu vichache sana kikubwa wanachopishanisha ni size inches ya simu na ukubwa wa betri Kwa upande wa camera wanapishanisha Kila wanapo toa toleo la mbele yake ya mfano 5&6 haziwezi kuwa sawa kwenye camera tatilia utajua
 
Back
Top Bottom