Kwa watumiaji wa Google Pixel

Kwa watumiaji wa Google Pixel

Oky hiy ni battery imechomoka ukiweza ifungua chomeka battery
Mkuu ishu ya simu kuweka alama ya kiulizo niliipeleka kwa fundi akairekebisha na akasema tatizo ni connector ya battery

Ila saizi inagoma kusoma line inaandika temporarily unavailable

Screenshot_20230402-225116.png



Na face unlock nayo imezingua
Screenshot_20230402-225529.png


Halafu na Camera nayo inaonesha portrait yani kitu cha mbali haiwezi kuona mpaka ukisogelee karibu usawa wa nusu mita ndio itaonesha full details

Tatizo la face unlock ndio lilioelekea line iache kusoma baada ya kyi reboot simu ili ku fix hiyo face unlock
 
Mkuu ishu ya simu kuweka alama ya kiulizo niliipeleka kwa fundi akairekebisha na akasema tatizo ni connector ya battery

Ila saizi inagoma kusoma line inaandika temporarily unavailable

View attachment 2574506


Na face unlock nayo imezinguaView attachment 2574508

Halafu na Camera nayo inaonesha portrait yani kitu cha mbali haiwezi kuona mpaka ukisogelee karibu usawa wa nusu mita ndio itaonesha full details

Tatizo la face unlock ndio lilioelekea line iache kusoma baada ya kyi reboot simu ili ku fix hiyo face unlock
Inawezekana hajaifunga fresh, ifungue uifunge tena
 
Mkuu ishu ya simu kuweka alama ya kiulizo niliipeleka kwa fundi akairekebisha na akasema tatizo ni connector ya battery

Ila saizi inagoma kusoma line inaandika temporarily unavailable

View attachment 2574506


Na face unlock nayo imezinguaView attachment 2574508

Halafu na Camera nayo inaonesha portrait yani kitu cha mbali haiwezi kuona mpaka ukisogelee karibu usawa wa nusu mita ndio itaonesha full details

Tatizo la face unlock ndio lilioelekea line iache kusoma baada ya kyi reboot simu ili ku fix hiyo face unlock

Mafundi simu wengi sio mafundi mimi nina miaka mitatu now ndio naanza kusomea ufundi simu online nikaona kweli mafundi sio
 
Na hiyo miaka yote sijakamilika bado mwaka huu mwishoni natarajia kwenye software niwe na vifaa vyote mwakani nikomae na hardware sasa
 
Na hapo inaweza kua hardware au software !??
Hilo tatizo limekaa katikati ila ni rahisi kuanza na software, ikikataa ndo unakuja kwenye hardware

Mafundi wote makini huwa wanaanza ku troubleshoot software
 
Back
Top Bottom