Kwa watu wa zamani tu!!

baba angu mdogo alikuwa na kadaftari kake kana makaratasi magumu magumu kama ya manila paper kanaitwa auobiography kamejaa miandiko ya kike na na vimichoro michoro vya maua maua alinitandika siku hiyo alipokuta nakasoma

hivi hivyo via auto bado vipo?
 
baba angu mdogo alikuwa na kadaftari kake kana makaratasi magumu magumu kama ya manila paper kanaitwa auobiography kamejaa miandiko ya kike na na vimichoro michoro vya maua maua alinitandika siku hiyo alipokuta nakasoma

hivi hivyo via auto bado vipo?
Hahaha unasoma Mambo yake
 
Back
Top Bottom