maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
Tukumbukeni misemo ya zaman tupia na yako mie naanza na:
Shingo feni
Lala mbele
Mambo kwa soksi
Shingo feni
Lala mbele
Mambo kwa soksi
Macho balbu!Tukumbukeni misemo ya zaman tupia na yako mie naanza na:
Shingo feni
Lala mbele
Mambo kwa soksi
YeahMacho balbu!
Alieteuliwa waziri "ameula"!
Yeah
tulikuwepo toka siku hizo wadangaji wanaitwa maagoti...
Francis Vp, Engine Two StrokeAlieteuliwa waziri "ameula"!😁😁😁
Walikuwa wanazururazurura pale maeneo ya jengo la extelecom!Yeah
tulikuwepo toka siku hizo wadangaji wanaitwa maagoti...
Telemka.....telemka.....chekeecha!Kamanyola bila jasho
No Sweat,
Hahaha unasoma Mambo yakebaba angu mdogo alikuwa na kadaftari kake kana makaratasi magumu magumu kama ya manila paper kanaitwa auobiography kamejaa miandiko ya kike na na vimichoro michoro vya maua maua alinitandika siku hiyo alipokuta nakasoma
hivi hivyo via auto bado vipo?
Tulikuwa tunaenda mida mibovu tunaita wale wa kuchina (kama samaki )mida hiyo hawana dita tunachukua kiubwete tu ukisikia mida ya wa kuchina basi ni karibu ya kukucha na manzi hana hata nauli ya kurudi skaniYule magoti Yule na Ohio
Ongeza kubonga pia ni kutongozaKitoe -ondoka
Noma
Kuzoza - kutongoza
Mtu fudenge
Msela nondo