toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Huu ndo ukweli, ukitaka kuamini lala ndani mchana kukiwa hujawasha feni au kiyoyozi au kukiwa hakuna umeme ndiyo utaamini maneno yangu
Hili jiji ni vile wengine wanajikuta wamo na kutafuta hera tu ila sio.mahara pa kuishi watu
Najiuliza miaka ya kale enzi hizo wazaramu kabla hata umeme kuja wenyeji walikua wakiishi vipi bila umeme feni au chochote mahana kuna joto kama kuzimu
Hili jiji ni vile wengine wanajikuta wamo na kutafuta hera tu ila sio.mahara pa kuishi watu
Najiuliza miaka ya kale enzi hizo wazaramu kabla hata umeme kuja wenyeji walikua wakiishi vipi bila umeme feni au chochote mahana kuna joto kama kuzimu