Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,857
- 157,053
Wa KorogweNi nani na nani mkuu? Ukiondoa Jokate
Wa KorogweNi nani na nani mkuu? Ukiondoa Jokate
Mnamuharibia huyu Mtu wenu mkidhani mnamtetea na Kumpamba wakati nasikia katika ama Uteuzi ujao wa DED au DAS na hata Ubunge Mama anaweza Kumpa ( Kumkumbuka ) pia.Haiwezekani kichwa kilichojaa nondo na busara kama Pascal Mayalla kiwe kwenye teuzi na kundi moja la wanasiasa kama hawa.
Ukiangalia majina yalivyotoka ni wazi kuwa majina anapelekewa mwenye mamlaka ya kuteua bila kuangalia nani anafaa na ananondo za nguvu kiasi gani.
Ushauri tu kwa kada wa Ccm ndugu Mayalla awe mshauri tu wa serikali maana kuteuliwa sio ishu. Kama wasio na nondo na wapiga kelele wanateuliwa kuna nini cha maana kupata teuzi?
Naunga mkono hojaHaiwezekani kichwa kilichojaa nondo na busara kama Pascal Mayalla kiwe kwenye teuzi na kundi moja la wanasiasa kama hawa.
Ukiangalia majina yalivyotoka ni wazi kuwa majina anapelekewa mwenye mamlaka ya kuteua bila kuangalia nani anafaa na ananondo za nguvu kiasi gani.
Ushauri tu kwa kada wa Ccm ndugu Mayalla awe mshauri tu wa serikali maana kuteuliwa sio ishu. Kama wasio na nondo na wapiga kelele wanateuliwa kuna nini cha maana kupata teuzi?
Haiwezekani kichwa kilichojaa nondo na busara kama Pascal Mayalla kiwe kwenye teuzi na kundi moja la wanasiasa kama hawa.
Ukiangalia majina yalivyotoka ni wazi kuwa majina anapelekewa mwenye mamlaka ya kuteua bila kuangalia nani anafaa na ananondo za nguvu kiasi gani.
Ushauri tu kwa kada wa Ccm ndugu Mayalla awe mshauri tu wa serikali maana kuteuliwa sio ishu. Kama wasio na nondo na wapiga kelele wanateuliwa kuna nini cha maana kupata teuzi?
Mtoto wa Kino Victoria, Basivyo. Ngoja tuongee kwa code.Ni nani na nani mkuu? Ukiondoa Jokate
Pisi kali za mjini zimepata..Watu mna majungu.
Bora asiteuliwe abakie kuwa mshauri tu kama hali ndio hii.Mnamuharibia huyu Mtu wenu mkidhani mnamtetea na Kumpamba wakati nasikia katika ama Uteuzi ujao wa DED au DAS na hata Ubunge Mama anaweza Kumpa ( Kumkumbuka ) pia.
Threads kama hizi ni za Kumuharibia tu.
Umeandika nini sasa?Kwani Pascal Mayalla amekuambia aliomba ukuu wa wilaya akanyimwa? Au wewe ndio ulitamani ateuliwe halafu hakuteuliwa?
Sio teuzi zote, wala kazi zote zinatangazwaga mkuu. Wapo wateule wenye majukumu makubwa ambao hawajawahi tangazwa....
Paskali katulizana anachapa kazi zake wala hana lawama
Yetu macho
Yeye mwenyewe anasemajeHaiwezekani kichwa kilichojaa nondo na busara kama Pascal Mayalla kiwe kwenye teuzi na kundi moja la wanasiasa kama hawa.
Ukiangalia majina yalivyotoka ni wazi kuwa majina anapelekewa mwenye mamlaka ya kuteua bila kuangalia nani anafaa na ananondo za nguvu kiasi gani.
Ushauri tu kwa kada wa Ccm ndugu Mayalla awe mshauri tu wa serikali maana kuteuliwa sio ishu. Kama wasio na nondo na wapiga kelele wanateuliwa kuna nini cha maana kupata teuzi?
Mlitaka ateue mataga FC, mlisha ambiwa huko hamna vichwa ndio maana tunachukua upinzaniSSH ameanza kupwaya sana sana.
Naona amewapa shavu wale waliofika bei na wasanii wasio na tija kabisa
Kwani alisema anataka teuzi !!??Shida ya Pascal Mayalla kajificha humu JF tu na haonekani kwenye MAINSTREAM MEDIA sa mama atamuonea wapi?? Hivi Mayala wa kumfananisha na G. Zakaria, au Nikki II au Nyangasa?? Hell No!!
Nahisi a little effort has to be done to promote him.
Hivi tukiamua kwa nguvu moja regardless ya tofauti zetu kum-publish Mayala mnadhani hatatoka???
Tujaribuni tuwe na mwakili wetu.
Hivi mnamuonaje Mhe. Mchopanga?Mimi ni mpinzani wa hoja kwa hoja lakini kwa hili Leo nakuunga mkono. Yaani GT akakae meza moja na Mchopanga?
Naunga mkono hoja,Shida ya Pascal Mayalla kajificha humu JF tu na haonekani kwenye MAINSTREAM MEDIA sa mama atamuonea wapi?? Hivi Mayala wa kumfananisha na G. Zakaria, au Nikki II au Nyangasa?? Hell No!!
Nahisi a little effort has to be done to promote him.
Hivi tukiamua kwa nguvu moja regardless ya tofauti zetu kum-publish Mayala mnadhani hatatoka???
Tujaribuni tuwe na mwakili wetu.