Kwa wataalam wa Hesabu au kufumbua mafumbo

Manyovu

Member
May 20, 2011
78
71
Yuko rafiki yangu amenitumia swali hili hapa chini; nimeliangalia naona kama halijakaa vizuri kulingana na uelewa wangu wa hesabu. Wewe unasemaje?

Any answers to this question: ( You saw a shirt for £97. You didn't have enough cash so you borrowed £50 from your mum and £50 from your dad =£100. You bought the shirt and had £3 change. You gave your mum £1 and your dad £1 and kept the other £1 for yourself. Now you owe your mum £49 and your dad £49. 49 + 49 = 98 + your £1 = 99. Where's the missing £1?)
 
Yuko rafiki yangu amenitumia swali hili hapa chini; nimeliangalia naona kama halijakaa vizuri kulingana na uelewa wangu wa hesabu. Wewe unasemaje?

Any answers to this question: ( You saw a shirt for £97. You didn't have enough cash so you borrowed £50 from your mum and £50 from your dad =£100. You bought the shirt and had £3 change. You gave your mum £1 and your dad £1 and kept the other £1 for yourself. Now you owe your mum £49 and your dad £49. 49 + 49 = 98 + your £1 = 99. Where's the missing £1?)

Mhh nadhani nusu ya 97 = 48.50

Kwahiyo pesa iliyotumika ya wazazi kununa vazi ni 48.50 a sio 49. Kwa kuwapa 49 maana yake umejipunja senti 50 zako kwa kila mzazi ndio maana unaona kama £ 1 ina miss.

So hesabu nzima iko kwenye kugawa 97 nusu kwa nusu sababu kila mzadi alikuwa kiwango sawa.
 
"uhai wangu uligana na umbo langu na uhai wangu wenyewe utegemea umbo la mtu mwingine"
 
Yuko rafiki yangu amenitumia swali hili hapa chini; nimeliangalia naona kama halijakaa vizuri kulingana na uelewa wangu wa hesabu. Wewe unasemaje?

Any answers to this question: ( You saw a shirt for £97. You didn't have enough cash so you borrowed £50 from your mum and £50 from your dad =£100. You bought the shirt and had £3 change. You gave your mum £1 and your dad £1 and kept the other £1 for yourself. Now you owe your mum £49 and your dad £49. 49 + 49 = 98 + your £1 = 99. Where's the missing £1?)
Hauwezi kuchanganya maembe na vitunguu ukasema yote ni maembe.In this context hakuna missing £1
 
Yuko rafiki yangu amenitumia swali hili hapa chini; nimeliangalia naona kama halijakaa vizuri kulingana na uelewa wangu wa hesabu. Wewe unasemaje?

Any answers to this question: ( You saw a shirt for £97. You didn't have enough cash so you borrowed £50 from your mum and £50 from your dad =£100. You bought the shirt and had £3 change. You gave your mum £1 and your dad £1 and kept the other £1 for yourself. Now you owe your mum £49 and your dad £49. 49 + 49 = 98 + your £1 = 99. Where's the missing £1?)

nothing is missing.
what you have is not yours ni sehemu ya mkopo.ijumlishe kwenye 97 uliyoitumia utakuta unadaiwa 98.then check the reality! uliwarudishi 1 each of them kwahiyo kila mmoja anakudai 49 hivyo unadaiwa 98!
kufanya 49+49=98+your 1=99 ni kujifanya wewe unayedaiwa kuwa na wewe unadai 1 na kwa vile in reality you were having nothing ndiyo hiyo unayoitafuta.
usiweke vitu vya uhalisia na vya kufikirika kwenye kapu moja.hesabu ni hii: deni 49+deni 49=deni 98+2(payed back)=100!
 
Mhh nadhani nusu ya 97 = 48.50

Kwahiyo pesa iliyotumika ya wazazi kununa vazi ni 48.50 a sio 49. Kwa kuwapa 49 maana yake umejipunja senti 50 zako kwa kila mzazi ndio maana unaona kama £ 1 ina miss.

So hesabu nzima iko kwenye kugawa 97 nusu kwa nusu sababu kila mzadi alikuwa kiwango sawa.

kumbuka he had nothing!
lakini kwa kuwa ni kilaza, anazifanya hesabu za uhalisia kuwa zakufikirika matokeo yake ndiyo hayo anatafuka kitu ambacho hakipo!
49+49=98 (deni)+2(payed back)=100.kuthibitisha deni chukua moja aliyobakiwa nayo+97 alizotumia=98!
 
Hakuna logic ya kufanya £98 +£1, kwani £98 ni deni, lakini £1 umebakiwa nayo. Kwa lugha ya kihesabu £98 is -ve while £1 uliyobakiwa nayo ni +ve. Ukizijumlisha huwezi kupata £99 bali £97.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom