Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,045
- 126,063
Ila yule naye alinishangaza inamaana alishindwa kupiga ukunga.Ila hurrem alicho mfanyia princess jaman eti MTU anakidonda harafu yeye kakazana anakandamiza princess
Hivi majibu ya Sultan huwa mnayaelewa? Maana huwa anajibugi jeuri na vinachoma saa nyingine mpaka nasikiaga hasira.