Maisha haya yaani Mahidevra amebakia kuwa mshabiki sasa.Yaani nahis ungeliamsha hata LA hullem lingesubiri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi we unaona kabisa hadije zimo kweli kichwan? Me nahisi dishi lisha yumbaWacha kabisa shooo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tena chumbani kwangu ingenichukua muda kuelewa kwa kweli.
Ila iliniuma wewe yaani unaoa leo kisha jioni Mke anakufa ni uchungu sana.Yaani kwenye iyo tamthilia nampenda yule mkaka ambae mkewe amekufa kwa town Ila hawa wengine wakina gulla sijui sumbura Ibrahim sura zao wanazijua wenyewe
Hahahaa. Na kweli mwaya.Hana ujanja kashazeeka
Maana mda mwingine utamkuta kakodoma macho kama sanam mpaka unajiuliza huyu sanam auWacha kabisa shooo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tena chumbani kwangu ingenichukua muda kuelewa kwa kweli.
Mie pia sijawahi muona mzima ujue tena toka apate ndoa basi wivu uliokithiri ni wake, ukali wake basi shida tupu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi we unaona kabisa hadije zimo kweli kichwan? Me nahisi dishi lisha yumba
Hahahaaa. Umeonaeee. Kama jana anavyopigiwa kinanda.Maana mda mwingine utamkuta kakodoma macho kama sanam mpaka unajiuliza huyu sanam au
Hahaaaa. Itakuwa sio bure.Anautindio yule dada
Yaani anazubaa mpka nzi anaingia mdomon anafanya ziara ya kutosha kisha kusepa lakin hadije wetu hana hata taarifaHahahaaa. Umeonaeee. Kama jana anavyopigiwa kinanda.
Kazubaaaaa lol.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Umeua Mumy.Yaani anazubaa mpka nzi anaingia mdomon anafanya ziara ya kutosha kisha kusepa lakin hadije wetu hana hata taarifa
HaswaaaaaaaaUchagani tunawaita vishoia