Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,364
Hahahha, Wala Simtegoumeniwekea mtego?
Hahahha, Wala Simtegoumeniwekea mtego?
kuwa na rafiki kama wewe unayeikumbuka siku yangu maalum ya kuzaliwa pindi jua lichomozapo ni jambo linalonipa furaha na baraka kiupande wangu. kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu imemuongeza mwanafamilia mwengine muhimu baada ya wazazi wangu japokuwa hatufahamiani.Inahitajika Kujibuje Kwanza!?
Shuklani Chingu Kwa Kuusemea Moyo Wangu.kuwa na rafiki kama wewe unayeikumbuka siku yangu maalum ya kuzaliwa pindi jua lichomozapo ni jambo linalonipa furaha na baraka kiupande wangu. kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu imemuongeza mwanafamilia mwengine muhimu baada ya wazazi wangu japokuwa hatufahamiani.
natumai tutaendelea kuwa marafiki wenye kufaana kwa njia ya keyboard.
umenijibu vyema kuliko hotuba za barack obama, unaonaje ukaombe ajira ofisi ya raisi upate kumuandikia muheshimiwa hotuba zilizojaa maneno ya hekima na busara.Shuklani Chingu Kwa Kuusemea Moyo Wangu.
Mola Wangu Azidi Kueke Baraka Na Utukufu Wake Kwenye Maisha Yako, Yote yenye Kheri Ya Kufate Na Maovu Uyaepuke.
Ahsante Tena Kwa Kuwa Mwanafamilia Mwengine Unae Nikumbuka na Utakae Nikumbuka.
(Nimejibu Sawa!?)
Niombee Kazi Basiumenijibu vyema kuliko hotuba za barack obama, unaonaje ukaombe ajira ofisi ya raisi upate kumuandikia muheshimiwa hotuba zilizojaa maneno ya hekima na busara.
Nikutumie Vyeti Vyangu Unipelekeeumenijibu vyema kuliko hotuba za barack obama, unaonaje ukaombe ajira ofisi ya raisi upate kumuandikia muheshimiwa hotuba zilizojaa maneno ya hekima na busara.
Mpaka Muda Huu Vaga Bado Sijaiangaliaumenijibu vyema kuliko hotuba za barack obama, unaonaje ukaombe ajira ofisi ya raisi upate kumuandikia muheshimiwa hotuba zilizojaa maneno ya hekima na busara.
Inawezekana Chingu Una Undugu Na Moja ya Wafanya Kazi Wa Ikulu kwaiyo Unaeza Nisaidiaumenijibu vyema kuliko hotuba za barack obama, unaonaje ukaombe ajira ofisi ya raisi upate kumuandikia muheshimiwa hotuba zilizojaa maneno ya hekima na busara.
nilichokipanga kimekwenda tofauti.Mpaka Muda Huu Vaga Bado Sijaiangalia
Nidadavulie Basi.
naiangalia muda huu.Mpaka Muda Huu Vaga Bado Sijaiangalia
Nidadavulie Basi.
Mi Bado Sijatulia Kuiangalia.
Mishe Mishe Jmosi Leo.Mi Bado Sijatulia Kuiangalia.
Nami naungana nae kukuombea kheri na miaka mingi yenye kheri nyingi.🎂🍾🥂kuwa na rafiki kama wewe unayeikumbuka siku yangu maalum ya kuzaliwa pindi jua lichomozapo ni jambo linalonipa furaha na baraka kiupande wangu. kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu imemuongeza mwanafamilia mwengine muhimu baada ya wazazi wangu japokuwa hatufahamiani.
natumai tutaendelea kuwa marafiki wenye kufaana kwa njia ya keyboard.
Amiin na Shuklani, Ahsante Sana.Nami naungana nae kukuombea kheri na miaka mingi yenye kheri nyingi.🎂🍾🥂
ahsante sana dada yangu mpendwa, maneno yako japokuwa ni machache cha ajabu yamezidi kuifanya siku yangu iwe na baraka, laiti kama maandishi yako ningelikuwa nafanikiwa kuyasoma kila siku huenda baraka na neema zangu zikazidi muunganiko wa mlima wa kilimanjaro na everestNami naungana nae kukuombea kheri na miaka mingi yenye kheri nyingi.🎂🍾🥂
ahsante sana dada yangu mpendwa, maneno yako japokuwa ni machache cha ajabu yamezidi kuifanya siku yangu iwe na baraka, laiti kama maandishi yako ningelikuwa nafanikiwa kuyasoma kila siku huenda baraka na neema zangu zikazidi muunganiko wa mlima wa kilimanjaro na everest
==================================
ila mwenye birthday wiki mbili zijazo ni huyo ahjumma mtarajiwa wa juu hapo mwenye avatar ya ndege.
wengine tarehe zetu halisi za kuzaliwa hatuzijui (huenda tumezaliwa siku ambayo kuku wa nyama walitaga mayai )
Iyo Avatar Lol!ahsante sana dada yangu mpendwa, maneno yako japokuwa ni machache cha ajabu yamezidi kuifanya siku yangu iwe na baraka, laiti kama maandishi yako ningelikuwa nafanikiwa kuyasoma kila siku huenda baraka na neema zangu zikazidi muunganiko wa mlima wa kilimanjaro na everest
==================================
ila mwenye birthday wiki mbili zijazo ni huyo ahjumma mtarajiwa wa juu hapo mwenye avatar ya ndege.
wengine tarehe zetu halisi za kuzaliwa hatuzijui (huenda tumezaliwa siku ambayo kuku wa nyama walitaga mayai )
Nimecheka sana huishi vituko undelee kuwa mcheshi hivyo hivyo mpaka uzeeni, halafu nikiwa kama dada yako nakuonya kunizeeshea mdogo wangu Amina ukirudia tena🏹💉....ahsante sana dada yangu mpendwa, maneno yako japokuwa ni machache cha ajabu yamezidi kuifanya siku yangu iwe na baraka, laiti kama maandishi yako ningelikuwa nafanikiwa kuyasoma kila siku huenda baraka na neema zangu zikazidi muunganiko wa mlima wa kilimanjaro na everest
==================================
ila mwenye birthday wiki mbili zijazo ni huyo ahjumma mtarajiwa wa juu hapo mwenye avatar ya ndege.
wengine tarehe zetu halisi za kuzaliwa hatuzijui (huenda tumezaliwa siku ambayo kuku wa nyama walitaga mayai )
Amina amina..shukranAmiin na Shuklani, Ahsante Sana.
Na Kheri Nyingi Zije Kwako Pia InshaAllah.
Ahsante Sana Dada Maana Huaga Nazeeshwa Umu Na Huyu Kijana.Nimecheka sana huishi vituko undelee kuwa mcheshi hivyo hivyo mpaka uzeeni, halafu nikiwa kama dada yako nakuonya kunizeeshea mdogo wangu Amina ukirudia tena🏹💉....