Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Yoo Seung Ho Confirmed To Be In Talks For New tvN Mystery Drama
On October 18, tvN confirmed that the actor was in talks for the leading role in its upcoming drama adaptation of the popular webtoon “Memorist.” A representative of the network officially stated, “Yoo Seung Ho is currently in talks to star in tvN’s new drama ‘Memorist,’ with a favorable outlook.”

The source added, “‘Memorist’ is scheduled to air sometime next year. The exact programming schedule has not yet been decided.”

Based on the hit webtoon of the same name, “Memorist” will be a mystery thriller that tells the story of Dong Baek, a detective with supernatural powers who loses his memory, as he stumbles upon a mysterious case of serial murders.

===========================================================
mwaka 2020 tunauanza upya na kituo chetu pendwa cha tvN
  1. yoo seung ho = hajathibitisha ila hawezi kukataa
  2. cho seung woo = secret forest season 2.
  3. jung hae in
1571407653706.png
 
Kim Soo Hyun In Talks To Star In First Drama In 5 Years
On October 17, Ilgan Sports quoted a source from the drama industry and reported that Kim Soo Hyun will be starring in a new tvN drama titled “Psycho But It’s Okay” (literal title) that’s set to air in the first half of next year.

A source from the actor’s agency Keyeast said to Newsen, “tvN’s ‘Psycho But It’s Okay’ is one of the drama’s he’s considering.”

According to Ilgan Sports, “Psycho But It’s Okay” is fantasy romance drama about a community health worker at a psychiatric ward who lives on 1.8 million won (approximately $1,520) a month and a storybook writer with antisocial personality disorder. A man who denies love and a woman who doesn’t know love defy fate and fall in love, finding their souls and identities in the process.

1571407873820.png


================================================
na huyu mwengine japokuwa hajathibitisha ushiriki wake.
tvN oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
kidogo kidogo wakorea wanajiingiza kwenye mila za kimagharibi, sijui wanatupa ujumbe gani hawa wavimba macho.
  1. graceful family: mmoja kati ya mtoto aliyekuwa akipendwa wa kiume alikuwa ni mfuasi wa imani ya transgender.
  2. designated surivor drama: president park alishawasilisha sheria ya kuruhusu mahusiano ya jinsia moja, bahati mbaya sana akakutana na upinzani mkubwa kupitia watu wa ndani ya serikali yake pamoja na wapinzani wake wa nje.
  3. tale of nokdu: hii drama sijawahi kuiangalia, si ajabu kumshuhudia mwanamme akiigiza uhusika wa mwanamke na hivyo hivyo kwa mwanamke na mifano ipi mingi sana ya drama nilizowahi kuzishuhudia. Sijawahi kushuhudia mwanamme akimbusu mwanamme mwenzake. tuachane na hayo bwanaaaa, huyu kijana jang dong yoon kama macho yako yana makengeza kama the great conqueror unaweza kudhani ni mwanamke wa ukweli kumbe ni meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.. View attachment 1237302
aminas hii drama ni nzuri kweli?
kama ni mbaya utapata adhabu ya bakora kama za mkuu wa mkoa wa mbeya, na ameshawaambia musipotafuta wachumba mutapata adhabu.
binafsi bakora siziwezi hivyo basi wiki hii nitakuwepo kanisani kwa mara ya kwanza
hivi kanisa lina milango mingapi?

Hizo tabia zilifanya nikachukia kuangalia Movies ya Drama za Magharibi.
Tabia hizo zilinikera nilipokuwa naitazama Spartacus ( Blood and Sand).
Najua hizo ni movement za watetezi wao, wachojaribu ni kuifanya akili binadamu ione kama hilo ni jambo la kawaida. Mbali na hapo ni ku- promo ushoga ili wawe wengi si wajua watakuwa wamoja kwenye umoja kuna Nguvu. Washenzi sana hawa wahuni.
Ni vigumu kuiunganisha KOREA sababu ya Culture factor, hao wahuni wa S.Kusini wengi wanaendelea ku- adapt Umagharibi kwenye Tamaduni zao, na utamaduni siku zote ndio alama ama utambulisho wa jamii ama Taifa na Bara Husika. na ndugu zangu wa N.Korea wao kama ni muziki wa Hip hop basi ni ile Old skool rap( Ngumu) hawa bado moyoni mwao ni wa Joseon/ Wagogryeo. Watazame kuanzia lugha yao it's pure natural, mavazi yao. Hahaha hapo ndipo pataleta mgongano katika suala la Tamaduni,maana wanaume wa S.K washazoea kujipodoa wakati kule kwetu tunawaza namna ya kutengeneza Hwangseong 16.
S.K wakihalalisha UBWABWA sitashangaa maana Ni moja kati ya chakula kitamu.
 
October 30 bwana kim ju hyeok atatimiza miaka miwili tokea aondoke kwenye huu ulimwengu uliojaa raha na maudhi chanzo kikiwa ni ajali.
ulishawahi kuiangalia Gu Am Heo Joon a.k.a hur jun historical drama?

jamaa hakusoma muhimbili wala john hopkins lakini alikuwa ni zaidi ya genius kwenye ulimwengu wa tiba.
View attachment 1237077
Hiyo Drama sijaiona.

RIP
 
Hizo tabia zilifanya nikachukia kuangalia Movies ya Drama za Magharibi.
Tabia hizo zilinikera nilipokuwa naitazama Spartacus ( Blood and Sand).
Najua hizo ni movement za watetezi wao, wachojaribu ni kuifanya akili binadamu ione kama hilo ni jambo la kawaida. Mbali na hapo ni ku- promo ushoga ili wawe wengi si wajua watakuwa wamoja kwenye umoja kuna Nguvu. Washenzi sana hawa wahuni.
Ni vigumu kuiunganisha KOREA sababu ya Culture factor, hao wahuni wa S.Kusini wengi wanaendelea ku- adapt Umagharibi kwenye Tamaduni zao, na utamaduni siku zote ndio alama ama utambulisho wa jamii ama Taifa na Bara Husika. na ndugu zangu wa N.Korea wao kama ni muziki wa Hip hop basi ni ile Old skool rap( Ngumu) hawa bado moyoni mwao ni wa Joseon/ Wagogryeo. Watazame kuanzia lugha yao it's pure natural, mavazi yao. Hahaha hapo ndipo pataleta mgongano katika suala la Tamaduni,maana wanaume wa S.K washazoea kujipodoa wakati kule kwetu tunawaza namna ya kutengeneza Hwangseong 16.
S.K wakihalalisha UBWABWA sitashangaa maana Ni moja kati ya chakula kitamu.
Mkuu Silla ya zamani ilikuwa upande upi
Isijekuwa ilikuwa kusini wakati mimi na ushoga ni kushoto na kulia
 
49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom