Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,681
- 106,794
Kweli asee Hatimae leo nimefanikiwa kuipata.. nasubiria muda nikitulia niangalieCap marvel ilishatoka torrent
Kweli asee Hatimae leo nimefanikiwa kuipata.. nasubiria muda nikitulia niangalieCap marvel ilishatoka torrent
Niambie nikupataje tubadirishane.. Note. Uwe mkoa wa ukanda wa kaskazJamani ebu jaribu kuangalia hizi series za kikorea za town ni noma na utajuta kuangalia
1.innocent dependent
Tukea nianze kuangalia series zote za kizungu,kichina,Korea zijaona series Kali Kama hii inaubunifu story Safi na matukio ambayo hayatabiliki hii ni zaidi ya prison break,lost n.k ndo nikajiita hii jina nitawadithia kifupi;
Kuna familia moja ya kitajiri ilikuwa na watoto mapacha waliofanana mkubwa na mdogo,mkubwa alikuwa anapendwa Sana na alikuwa very smart ndio alipewa jukumu la kusimamia hiyo company huku mdogo alikuwa sio smart na wazazi wake walikuwa hawampendi.Na kitu pekee kilichowatofautisha ni tabia zao na life style yao.Mkubwa alikuwa mpenda wanawake lakini pia alikuwa mpole wakati mdogo alikuwa mkorofi na anayependa Sana kupigana.kuna siku moja mdogo aliweza kufanya mauaji kwa mwanamke mmoja lakini baadae aligundulika na polisi lakini polisi wakishindwa kujua aliyeua alikuwa pacha mkubwa Hama mdogo kutokana na kufanana kwao.Pacha mkubwa alijua pia mdogo wake ameua baada ya pacha mdogo kujua kaka amejua alichokifanya nimsukuma kutoka ghorofani mpaka chini ili amuue na pia kutengeneza mazingira ili ionekane kaka yake ndio alimuua yule msichana ili yeye asiende jela lakini yule pacha mkubwa hakufa pale pale aliwaishwa hospital muda mfupi baada ya tukio Hilo kutokea lakini aliyemtupa hakuonekana baada ya kufikishwa hospital polisi mmoja akata kumuhoji ambaye ndio star wa series hii before hajafa akaita jina la mdogo wake huku akimuangalia kitu ambacho kilimshangaza yule polisi na kwanini ajiite jina lake huku akimuangalia pacha wake kumbuka kwamba pacha mdogo amechukua nafasi ya kaka yake kwahiyo jina la kaka amelifanya lake na kila kitu Cha kaka yake ili watu wamjue Kama pacha mkubwa baada ya pacha kuita jina la pacha wake akafanya moja kwa moja kutokana na mashaka aliyoingia kwa huye polisi akabidi aanze kufatilie hii case Ili ajue ni kweli huyu pacha aliyehai ni pacha mkubwa?.Tukiacha upande wa pacha tuje upande wa polisi huyu polisi alikuwa ana familia yake ambayo alikuwa anaipenda Sana ila Kuna siku moja akajikuta yupo jela wakati akiamka akaanza kushangaa lkn sisi watazamaji hatukuoneshwa alifikaje jela wakati yule polisi anashangaa amefikaje polisi wafungwa wenzake wanamwambia upo humu jela miaka mitano Hadi Sasa na umeukumiwa kwa kosa la kuuwa familia yako na ukizingatia hule polisi Hana hata kumbukumbu yalichotokea.swali je yule polisi ni kweli ameua? Je Kama ameua familia yake amewaua kwa sababu zipi? Je vipi kuhusu yule pacha mdogo anaejifanya yeye ni pacha mkubwa je ataweza kumaintain status ya pacha mkubwa na challenge zipi atazokutana nazokutana nazo je ataweza kuzishinda maana si rahisi kuiba style ya maisha ya kaka yake pamoja na kuiongoza company ya kaka yake.Ili kujua yote itafute hii series hii Kali kupata kutokea na hatujuta kupoteza bando lako
2.last
Nayo hii nzuri kwel kweli pia hii nayo ni ya kikorea Ina episode 16.
Hizi series mbili nilizokutajia hapo ukiziangalia tu hautakuwa na hamu tena ya kuangalia series za kikorea za vijijini mnazozinadi humu jamiiforum.
Jamani ebu jaribu kuangalia hizi series za kikorea za town ni noma na utajuta kuangalia
1.innocent dependent
Tukea nianze kuangalia series zote za kizungu,kichina,Korea zijaona series Kali Kama hii inaubunifu story Safi na matukio ambayo hayatabiliki hii ni zaidi ya prison break,lost n.k ndo nikajiita hii jina nitawadithia kifupi;
Kuna familia moja ya kitajiri ilikuwa na watoto mapacha waliofanana mkubwa na mdogo,mkubwa alikuwa anapendwa Sana na alikuwa very smart ndio alipewa jukumu la kusimamia hiyo company huku mdogo alikuwa sio smart na wazazi wake walikuwa hawampendi.Na kitu pekee kilichowatofautisha ni tabia zao na life style yao.Mkubwa alikuwa mpenda wanawake lakini pia alikuwa mpole wakati mdogo alikuwa mkorofi na anayependa Sana kupigana.kuna siku moja mdogo aliweza kufanya mauaji kwa mwanamke mmoja lakini baadae aligundulika na polisi lakini polisi wakishindwa kujua aliyeua alikuwa pacha mkubwa Hama mdogo kutokana na kufanana kwao.Pacha mkubwa alijua pia mdogo wake ameua baada ya pacha mdogo kujua kaka amejua alichokifanya nimsukuma kutoka ghorofani mpaka chini ili amuue na pia kutengeneza mazingira ili ionekane kaka yake ndio alimuua yule msichana ili yeye asiende jela lakini yule pacha mkubwa hakufa pale pale aliwaishwa hospital muda mfupi baada ya tukio Hilo kutokea lakini aliyemtupa hakuonekana baada ya kufikishwa hospital polisi mmoja akata kumuhoji ambaye ndio star wa series hii before hajafa akaita jina la mdogo wake huku akimuangalia kitu ambacho kilimshangaza yule polisi na kwanini ajiite jina lake huku akimuangalia pacha wake kumbuka kwamba pacha mdogo amechukua nafasi ya kaka yake kwahiyo jina la kaka amelifanya lake na kila kitu Cha kaka yake ili watu wamjue Kama pacha mkubwa baada ya pacha kuita jina la pacha wake akafanya moja kwa moja kutokana na mashaka aliyoingia kwa huye polisi akabidi aanze kufatilie hii case Ili ajue ni kweli huyu pacha aliyehai ni pacha mkubwa?.Tukiacha upande wa pacha tuje upande wa polisi huyu polisi alikuwa ana familia yake ambayo alikuwa anaipenda Sana ila Kuna siku moja akajikuta yupo jela wakati akiamka akaanza kushangaa lkn sisi watazamaji hatukuoneshwa alifikaje jela wakati yule polisi anashangaa amefikaje polisi wafungwa wenzake wanamwambia upo humu jela miaka mitano Hadi Sasa na umeukumiwa kwa kosa la kuuwa familia yako na ukizingatia hule polisi Hana hata kumbukumbu yalichotokea.swali je yule polisi ni kweli ameua? Je Kama ameua familia yake amewaua kwa sababu zipi? Je vipi kuhusu yule pacha mdogo anaejifanya yeye ni pacha mkubwa je ataweza kumaintain status ya pacha mkubwa na challenge zipi atazokutana nazokutana nazo je ataweza kuzishinda maana si rahisi kuiba style ya maisha ya kaka yake pamoja na kuiongoza company ya kaka yake.Ili kujua yote itafute hii series hii Kali kupata kutokea na hatujuta kupoteza bando lako
2.last
Nayo hii nzuri kwel kweli pia hii nayo ni ya kikorea Ina episode 16.
Hizi series mbili nilizokutajia hapo ukiziangalia tu hautakuwa na hamu tena ya kuangalia series za kikorea za vijijini mnazozinadi humu jamiiforum.
Niambie nikupataje tubadirishane.. Note. Uwe mkoa wa ukanda wa kaskaz
Siwez angalia series kwenye simu mm..
Asante kwa kunisahihisha mrembo kiukwel za kijijini sinaga mizuka nayo ebu nielezee kwa kifupi hiyo series inahusu nini ninaweza kuvutiwa nayo.View attachment 1173146View attachment 1173147umekosea jina sio dependant bali defendant.
Halafu sio nzuri kuzidi za vijijini. Hebu tafuta tu hii mfano tu 100 days my prince.
Hii hapoKuna msemo unasema "Vigezo na Masharti Kuzingatiwa".
Kuendana na 'Vigezo' pamoja na 'Masharti' hayo, nadhani hii hapa chini itakuwa imefaulu huo mtihani mzito;
- King Gwanggaeto The Great
Hiyo ina 'Episodes' zaidi ya 90 kwahiyo nafikiri inafaa kabisa 'kupotezea' muda.
Wewe kama ni Ndugu yangu vile sipendi Drama za Kimapenzi Miye ni mkono( Vita), Siasa, story ya kawaida na komedy.
Asante kwa kunisahihisha mrembo kiukwel za kijijini sinaga mizuka nayo ebu nielezee kwa kifupi hiyo series inahusu nini ninaweza kuvutiwa nayo.
Duh!unafuatilia hadi wachina?mkuu unafuatilia project za wachina?
ok nimekuwekea link yake lakini haijawekwa subtitle
dramanice.movie - This website is for sale! - dramanice Resources and Information.
This website is for sale! dramanice.movie is your first and best source for all of the information you’re looking for. From general topics to more of what you would expect to find here, dramanice.movie has it all. We hope you find what you are searching for!dramanice.movie
Wee mwenyewe umepanda bei kama nini.. pm zangu hujibu sijui ndo usha leave Conv au unachunia tuMmh dogo si udownload tu. Kumbe umehamia kaskazini,ndo maana umeadimika kama MB za voda
Kama huna laptop utaangalia tuSiwez angalia series kwenye simu mm..
Bahat nzuri haijawah kua mbali namiKama huna laptop utaangalia tu
HongeraBahat nzuri haijawah kua mbali nami
..mmhhhHongera
Mbona waguna yakhee..mmhhh
Nadhani wajua namaanisha nnMbona waguna yakhee
Hata sijui mimiNadhani wajua namaanisha nn
Kwanini huoni pm??Hata sijui mimi
Naona kila PM inayoingia labda umechanganya madesa weweKwanini huoni pm??