Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hiyo fiery priest ina episode ngapi

20 Unnie...
Ila leo ndio imetoka ya 19 muda sio mrefu na kesho ndio final episode.
Ni kaliiiiiiii, Uwiiiiiiii sitaki kukuambia itafute kama unataka kuwa kichaa kama mimi nilivyokuwa ndani ya siku 2 nimeangalia episodes 18!
Ngoja nikaangalie ya 19 nirudi, hata kula siwezi mpaka niiangalie hahaaaaa.
 
20 Unnie...
Ila leo ndio imetoka ya 19 muda sio mrefu na kesho ndio final episode.
Ni kaliiiiiiii, Uwiiiiiiii sitaki kukuambia itafute kama unataka kuwa kichaa kama mimi nilivyokuwa ndani ya siku 2 nimeangalia episodes 18!
Ngoja nikaangalie ya 19 nirudi, hata kula siwezi mpaka niiangalie hahaaaaa.
Ngoja niione ila huyo bidam wako simkubali wala nini
 
20 Unnie...
Ila leo ndio imetoka ya 19 muda sio mrefu na kesho ndio final episode.
Ni kaliiiiiiii, Uwiiiiiiii sitaki kukuambia itafute kama unataka kuwa kichaa kama mimi nilivyokuwa ndani ya siku 2 nimeangalia episodes 18!
Ngoja nikaangalie ya 19 nirudi, hata kula siwezi mpaka niiangalie hahaaaaa.
Hahahaa kichaa wa Bidam kweli ww. Vipi kuna mkono humo ana uzinguaji tu
 
au akiwa anashangaa au hakubaliani nae... Ila Mishil nyoko sana ameiweka midume miwili mkononi anaituma anavyotaka..she is quite a specimen kama wenyewe wanavyosema
Mishil bonge la mwanamke alafu mrembo we acha tu. Yule akili zimejaa mpaka zinamwagika, mpaka Deokman huwa anamvulia kofia mda mwingine. Ila kakutana na kisiki cha mpingo, Deokman atamsumbua sana dogo yupo makini sana. Oooh kichaa wangu Godo na mwenzake kiwaona naandaa kicheko tu
 
Hahahaa kichaa wa Bidam kweli ww. Vipi kuna mkono humo ana uzinguaji tu

Mkono wa huko sio wa Dunia hii, naweza kusema ni wa Aliens , lol.

Mkono anaupiga huku yuko smart, vituko sasa ndio nimecheka mpaka basi.
Kuna wakati mpaka nilikuwa najishtukia nimecheka kwa nguvu usiku wa manane, dah!
Kile chuma nasema pasi na shaka kuwa ndio drama bora niliyoangalia kwa mwaka huu
 
Nimemkumbuka jamaa yako anavyo muita Mishil hasa akiwa kwenye hali ya wasiwasi ananifurahisha sana yani.

Umenikumbusha alivyokuwa anamuita halafu anaivuta... Nuniiiiiiiiim hahaaaaa
Home tulikuwa tukiwaona tu wameingia kwenye vile vikao vyao tunaanza kucheka.
Hadi leo huwa nikimuona nakumbuka ‘Nuniiiiiiim’ na zile hereni zake.

Alivyokuwa anaringa kitaa sasa, kwakweli hiyo drama inafaa ipewe tuzo ya heshima, walitisha sana.
 
Umenikumbusha alivyokuwa anamuita halafu anaivuta... Nuniiiiiiiiim hahaaaaa
Home tulikuwa tukiwaona tu wameingia kwenye vile vikao vyao tunaanza kucheka.
Hadi leo huwa nikimuona nakumbuka ‘Nuniiiiiiim’ na zile hereni zake.

Alivyokuwa anaringa kitaa sasa, kwakweli hiyo drama inafaa ipewe tuzo ya heshima, walitisha sana.
Haha usimsahau Hajong alivyokuwa anadeka kila saa 'omonyiiii' mwenzie Bojong alikuwa yupo strong sijui kwa vile alikuwa amezoea kupigana... Ila hakuna sehemu nilicheka kama ile scene Yushin anamkabidhi Kim Chunchu kwa Bidam kuwa ndio atakuwa tutor wake alivyotahayari akaanza 'look here Yushin, we have already grown fond of each other' yaani nilicheka na Bidam anavyoona hivyo anazidi kujivalisha ukauzu amtishe
 
Haha usimsahau Hajong alivyokuwa anadeka kila saa 'omonyiiii' mwenzie Bojong alikuwa yupo strong sijui kwa vile alikuwa amezoea kupigana... Ila hakuna sehemu nilicheka kama ile scene Yushin anamkabidhi Kim Chunchu kwa Bidam kuwa ndio atakuwa tutor wake alivyotahayari akaanza 'look here Yushin, we have already grown fond of each other' yaani nilicheka na Bidam anavyoona hivyo anazidi kujivalisha ukauzu amtishe
Hahahaaa Hajong bonge la kituko ile anavyo muita mama yake ndio kiburudisho tosha na kule kucheka cheka kwake, ukiwakuta na mjomba wake ndio mbavu vitakuuma mpaka basi. Hahahaa Yushin nae kwa ukauzu hajambo
 
20 Unnie...
Ila leo ndio imetoka ya 19 muda sio mrefu na kesho ndio final episode.
Ni kaliiiiiiii, Uwiiiiiiii sitaki kukuambia itafute kama unataka kuwa kichaa kama mimi nilivyokuwa ndani ya siku 2 nimeangalia episodes 18!
Ngoja nikaangalie ya 19 nirudi, hata kula siwezi mpaka niiangalie hahaaaaa.
Hizi series wenzang mna download kweny site gan?
 
Haha usimsahau Hajong alivyokuwa anadeka kila saa 'omonyiiii' mwenzie Bojong alikuwa yupo strong sijui kwa vile alikuwa amezoea kupigana... Ila hakuna sehemu nilicheka kama ile scene Yushin anamkabidhi Kim Chunchu kwa Bidam kuwa ndio atakuwa tutor wake alivyotahayari akaanza 'look here Yushin, we have already grown fond of each other' yaani nilicheka na Bidam anavyoona hivyo anazidi kujivalisha ukauzu amtishe

Hajong na Uncle wake Lord Misaeng walikuwa ‘buddies’, sitaki kukumbuka zile safari zao za kwenda kula bata na wale gisaeng hahaaaaa

Hivi ujue hii drama mara ya mwisho kuiangalia ni 2013 lakini bado nakumbuka kila kitu kwa ufasaha kabisa? Kiasi gani niliipenda...

Halafu baada ya kuangalia The Fiery Priest nimegundua Bidam ana ucomedian flani hivi wa serious.

Ila na wewe Unnie jamani! Ndio nini hata kunipa kongole kwa kukupa hii suggestion kuntu? Umesahau Damushin alivyokuwa anaiponda hapa mimi nikawa nakupa moyo? Hahaaaaa
Umeona ambacho ungekikosa sasa?
 
Haha nisamehe my dongsaeng kiukweli nashukuru kunipa moyo maana nilikuwa naitamani siku nyingi sana ila nilikuwa naziogopa zile episode 62. Lakini bado naona empress Ki bado itabaki kuwa drama bora kabisa kwangu ingawa hii pia ni fire
Hajong na Uncle wake Lord Misaeng walikuwa ‘buddies’, sitaki kukumbuka zile safari zao za kwenda kula bata na wale gisaeng hahaaaaa

Hivi ujue hii drama mara ya mwisho kuiangalia ni 2013 lakini bado nakumbuka kila kitu kwa ufasaha kabisa? Kiasi gani niliipenda...

Halafu baada ya kuangalia The Fiery Priest nimegundua Bidam ana ucomedian flani hivi wa serious.

Ila na wewe Unnie jamani! Ndio nini hata kunipa kongole kwa kukupa hii suggestion kuntu? Umesahau Damushin alivyokuwa anaiponda hapa mimi nikawa nakupa moyo? Hahaaaaa
Umeona ambacho ungekikosa sasa?
 
Back
Top Bottom