Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,240
- 1,095,568
Hazina purukushani hazina kushtuana roho,romance zimedhibitiwa vizuri. Kitu kinashuka taratiiibu kama ni weekend halafu unayo full mambo yanakua bomba
Hivi ulishawahi kuangalia movie kisha actor au actress akashtuka au kakurupushwa nawe ukashtuka moyo ukaruka sarakasi za kutosha?hizi mambo ni chache sana kwenye family drama ila sasa tatizo lake watazamaji wakinogewa director anaamua kuirefusha au kuivuuutaaa mpaka kero.
Hivi ulishawahi kuangalia movie kisha actor au actress akashtuka au kakurupushwa nawe ukashtuka moyo ukaruka sarakasi za kutosha?hizi mambo ni chache sana kwenye family drama ila sasa tatizo lake watazamaji wakinogewa director anaamua kuirefusha au kuivuuutaaa mpaka kero.
upo sahihi familia ni kama maji safi ambayo huwezi kuyaepuka kimatumizi, baadhi ya wakati unatamani uwe mbali na familia yako kwa kigezo cha kutaka uhuru at the end unajikuta unatamani tena kurudisha ukaribu na wanafamilia wenzako.
hii dhana ya familia inaonekana wakorea wameifahamu zaidi ndio maana wanapendelea kuangalia drama zenye maudhui hayo.