Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,364
Mwaka Umekuona au Umeuona..Zenj
Mwaka Umekuona au Umeuona..Zenj
Pale Kwenye Misosi Mingii Panaitwaje!? ZenjiZenj
Hahahahah! Chingu ndio maswali gani tunaulizana?Mwaka Umekuona au Umeuona..
Hahahaha Siku Kuna Ile Misemo Ya Umeona Mwaka Mpya!? uku Wadar Ndo Tunaulizana Ivyo, Nami Nakuleta Dar Mwaka Umeona Au Umekuona!Hahahahah! Chingu ndio maswali gani tunaulizana?
Umeniona! teh teh te!Hahahaha Siku Kuna Ile Misemo Ya Umeona Mwaka Mpya!? uku Wadar Ndo Tunaulizana Ivyo, Nami Nakuleta Dar Mwaka Umeona Au Umekuona!
Ntajitahidi, chingu!Mhh!
Naimn Huu Mwaka Autakuwa Mpotevu.
Kwani Unafamilia Ya Watoto Wangapi Wengine Nipunguzie Mie Nikusaidie.Ntajitahidi, chingu!
Pirika na majukumu yanafanya nikosekane humu mjengoni..
Heheheeheheehehehheheheeheheh!!!!Kwani Unafamilia Ya Watoto Wangapi Wengine Nipunguzie Mie Nikusaidie.
Ndo Nayoona Yalazima Sana kwani Ukicheka Hawatakula, Ukinuna na Kukaza Mwaka Wao Mpya kama Huu Unawapaisha tuh! Kwenye kona Za Dunia.Heheheeheheehehehheheheeheheh!!!!
Ndio majukumu unayoyajua wewe hayo?
Umenena vema, chingu.Ndo Nayoona Yalazima Sana kwani Ukicheka Hawatakula, Ukinuna na Kukaza Mwaka Wao Mpya kama Huu Unawapaisha tuh! Kwenye kona Za Dunia.
Kama peke Yako Ata Ukilala Na Njaa Aitakuumiza Sababu Unajielewa.
Mtoto Haezi Elewa.
Kwaiyo Usipotee Sana!Umenena vema, chingu.
Hahahahaha!!! Sijabanwa na yeyote.. Chingu-ya!Kwaiyo Usipotee Sana!
Mwambie Uyo Akuachie Achie, Asikubane Saaana.Kama Mwenye Nchi ya TZ
Mwaka Mpya kma Huu watu Tunaukaribisha Ndani! Lol!!
thanks noona, ngoja niwahi kukutakia kheri ya mwaka mpya kwa saa za kwetu korea.
unajua nilifikiri zile suggestion zilikuwa ni utumbo kwako wewe kwa sababu tangu nilipoziweka sijaona hata quote(nukuu) kutoka kwako, na ugonjwa wangu mkubwa siku hizi kama mtu hajafanikiwa kunukuu comment yangu haijalishi kwa njia ya matusi, au akashindwa kunipa hata like basi najihisi nimeandika upumbavu.
kumbe ulikuwa unapitia kimya kimya
mian hae
Tanzania tunawahitaji viongozi wenye maono kama ya Ryu Seong ryong.
Kissasian unaangalia online?Aigooooo, mbona like nilikupa?
Sikuweza kujibu wakati ule maana ningejibu nini? Umenipa suggestions ilibidi niangalie kwanza ndio nije na feedback kama hivi.
Nilianza kuangalia ile ya yule Dr kupitia link ya drama cool uliyoiweka mwishoni mwa ile post ila ilikuwa balaa, nimekutana na matangazo ya ajabu sipati kusema.
Nikaachia kwenye ep ya 3.
Baadae nikaanza Yi San na Jing Bi Rock kwa pamoja, Jing Bi Rock ikanivutia zaidi ndio naimalizia kisha nikaendelee na Yi San ambayo ni ndefuuuu! Uwiiiiiiii ep 70 sijui nitamaliza nini.
Kilichonifurahisha kwa Yi San imekuwa directed na director ninayemkubali aliyedirect drama zangu pendwa The Great Jang Geum na Dong Yi.
Site za kuangalia hizi mambo zetu kwangu zinamata sana, kama sio Kiss Assian siwezi kabisa, napata taabu mnooo.
Hurray KissAsian
Hivi huyu King Seonjo ambaye nimemsoma kama the best king huko Korea mbona kwenye hii drama naona tofauti? King gani hapambani yuko busy kuflee kila uchwao?
Seriously ananikera mnooo!
Au atabadilika baadae nini? Maana niko ep ya 29
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ah nilikuwa naipenda sana Kissasian kutumia kwa kudownload.Yeah
Sent from my iPhone using Tapatalk