Yaani Wewe Umeamka Na Simba Leoo!!hahahahaaaa mwenzio baada ya muda mrefu ndio nimeanza mazoezi ya kuogelea, nipo mafichoni najifua kama mikia FC.
nina mwaka wa 10 sijasafiri kwa njia ya bahari.
jambo muhimu kwa binadamu si kuwa na fedha bali kuwa na uhuru wa kuweza kujiamulia mambo yake yote yatakayomletea furaha ndani ya nafsi yake.Nimeimaliza Hymn of Death Muda Si Mwingi.
Nikjikuta Nasema Mapenzi ( Mahusiano) Acha Yaishi Tu! Ivi Vitu Sivyo Kabisaa
Ila Walichukua Uamuzi Mgumu Sana Kuumaliza Uhai Wao Vile..
Kwanini Hawakuifanya Ndefu!?jambo muhimu kwa binadamu si kuwa na fedha bali kuwa na uhuru wa kuweza kujiamulia mambo yake yote yatakayomletea furaha ndani ya nafsi yake.
msongo wa mawazo mfu ndio yalipelekea wayamalize maisha yao kwa njia ngumu.
mwanamme hakutaka kuishi akiwa nyuma ya kivuli cha baba yake na mwanamke hakutaka kuishi maisha ya kuutumia mwili wake vibaya kama ni chanzo kikuu cha ukombozi wa familia yake na kuzidi kuizamisha nchi yake.
ile project ingelikuwa ni ndefu ingelizidi kuwa maarufu.
KHERI ya KUTIMIZA miaka 3 NDANI ya JF (siku ya jana)
Teh teh teh nilitaka nijaribu kuandika kwa kiingilishi lakini nimeshindwa, naogopa wazee wa ngeli wasije kunizodoa asubuhi yote hii wakanifanya nikose hamu ya kukandamiza bakuli langu la UROJO kama meok goo anapokosa bakuli la wali na supu ya mende kwa ufadhili wa hela ya European Union.
ningelikuwa ni mtenda dhambi kama ningelishindwa kuandika ujumbe huu wa shukurani kupitia thread hii ambayo nusu ya comment zangu nimeziandika humu ndani (comment 1298)
huwezi amini nakumbuka ni kama juzi tu najaza fomu ya kujiunga na JF mida ya jioni, baadae naandika ujumbe wangu wa kwanza ndani ya thread hii baada ya kuwa msomaji wa muda mrefu, nakutana na wakorea uchwara kupitia keyboard, naanzisha utani wa ajabu haliyakuwa si tabia yangu, mara paaap nakufa kwa kucheka peke yangu.
kilaza kama mimi ninayeshindwa hata kuandika sentensi nzuri zenye kubeba haiba ya matukio husika ya sherehe muhimu basi niwatakie wakorea uchwara wote pasina kuangalia asili zetu za kiimani sikukuu ya kuzaliwa mtakatifu yule wa nazareth majuma machache yajayo.
kama kuna yeyote humu ndani niliwahi kumkera na akachukia kama wanavyochukiana mashabiki wa vyura na mikia naomba anisamehe.
jamani hapa mtaani kwetu ndani ya wiki mbili hizi wameshafariki watu 5, mamamaaaaaaaaaaa nadhani huyu malaika mtoa roho ananipigia misere kwa honda ya bajajiiiiiii na toyo.
ili niwe muhenga wa kati kati ndani ya JF napaswa nitimize miaka mingapi?
nasubiria keki zangu zilizotengenezwa kwa siagi na mayai ya maneno japokuwa wale niliowakuta wamekuwa wavivu wa kutembelea humu ndani kwa sababu zisizoepukika ila kwa mamlaka niliopewa ngoja nijaribu kuwakumbuka.
kila nitakayemtaja aitikie jana na leo kama mwalimu wa kiswahili.
hahahahahahahaaa halafu walimu wengi wa darasa walikuwa wanasomesha kiswahili, on my behalf of my self (kwa sauti ya mzee wa nyoka)
daebak, niilikuta hii thread ikiwa ukurasa wa 24 lakini leo imeshafikisha ukurasa wa 402, nawaomba munipe dawa itakayoniwezesha niache kuifuatilia hii thread tafadhali.
- Nifah = huyu ahjumma mtarajiwa baada ya miaka 27 alikuwa na nguvu kubwa sana ndani ya familia hii, naogopa kusema vyuma vimelegea kiupande wake, sijui amekutwa na time travel kama do min jooon wa my love from another star.
- Prishaz = huyu ahjumma mtarajiwa baada ya miaka 30 amekutwa na shambulio la Membe, dawa yake ni kukutana na kang ji hwan.
- Khantwe = nilikuwa namuogopa huyu ahjumma mtarajiwa kama simba, kumbe ni mdhaifu kwa watu wa JF kuliko mnyama swala (gazelle), ndio mwanadamu anayeshikilia rekodi ya kuwa na wanaume wa seoul wengi kwa njia ya ndotoni.
- mkorea, @Aipolo = hawa wote tabia zao zinafanana, wanapenda historical drama kuliko wakorea wanavyoipenda historia yao
- Katavi = huyu ahjusii ni bingwa wa kuchukua drama, hachagui project ya kuangalia.
Age is an issue of mind over matter. If you don't mind, it doesn't matter. - Mark Twain.
View attachment 969576
ahsante sana brother, tupo pamojaHahahaaah hongera mkuu kwa kutimiza miaka 3 ndani ya JF.
Na asante sana kwa kuniona kuwa mmoja wa wadau wa thread hii. Huwa naangalia siku za wikendi ninapotulia home kama leo, na zaidi napendelea zile drama zilizokamilika. Na humu katika thread hii ndio ninapopata drama za kuangalia. Na zaidi humu sijawahi kuangushwa.
Nampenda huyu dah, moyo umenilipuka kuona hi pic lolActor Jang Hyuk is turning into a real detective.daebak jang hyuk hana muda wa likizo, sasa wewe mwenzangu na mimi pangu pakavu ukipata faida ya laki tano unagonga likizo ya mwezi mzima.
kwa mujibu wa Sidus HQ , jang hyuk amethibitisha kushiriki kwenye variety show itakayoitwa City Police itakayoonyeshwa na shirika la MBC.
itakuwa ni reality variety program ambayo itajaribu kuonyesha maisha halisi ya polisi na changamoto ngumu wanazokutana nazo pindi wanapohangaika kutatua matukio ya kihalifu.
mwaka huu ameshiriki variety program tatu kwa nyakati tpfauti na hii itakuwa ni variety program ya nne kwa jang hyuk kushiriki ndani ya mwaka miwili.
MBC's "City Police" is scheduled to air sometime in January 2019.update kwa kiingilishi
hii picha imepigwa jana akielekea nchini japan kwa ajili ya fan meetings
- The National Police Agency appointed actors Jang Hyuk and Seo Ye-ji as honorary police officers
- Actor Jang Hyuk won the Best Male Actor Award at the award ceremony of '2018 Grimae Awards'' held at the KBS festival in Yeouido, Yeongdeungpo-gu, Seoul on 7 December 2018.
Actor Jo Jae-yoon joins Jang Hyuk as a second member of 'City Police'. View attachment 969641
December 20 atatimiza miaka 42 ya magharibi na miaka 44 ya korea
HuuuuuuPongezi zangu za dhati zenda kwa crews/teams nzima za hizi KDramas, hakika wamezitendea haki hadi sasa zilipofikia (episodes). (Well Done!)
The Last Empress
Less than Evil
Feel Good to Die
Na kwa sababu tofauti, nimeamua kuishia njiani/kutozifatilia hizi dramas... (Wakajipange!)
Children of Nobody
A Pledge to God
Clean with Passion for Now
Encounter
Fates & Furies
Fluttering Warning
The Smile Has Left your Eyes
Mama Fairy and The Woodcutter
When Time Stopped
Where Stars Land
Memories of the Alhambra
The Player
Ps:- Ni maoni 2..
Eeeeh Chinguya Lol!!!Pongezi zangu za dhati zenda kwa crews/teams nzima za hizi KDramas, hakika wamezitendea haki hadi sasa zilipofikia (episodes). (Well Done!)
The Last Empress
Less than Evil
Feel Good to Die
Na kwa sababu tofauti, nimeamua kuishia njiani/kutozifatilia hizi dramas... (Wakajipange!)
Children of Nobody
A Pledge to God
Clean with Passion for Now
Encounter
Fates & Furies
Fluttering Warning
The Smile Has Left your Eyes
Mama Fairy and The Woodcutter
When Time Stopped
Where Stars Land
Memories of the Alhambra
The Player
Ps:- Ni maoni 2..
Pongezi zangu za dhati zenda kwa crews/teams nzima za hizi KDramas, hakika wamezitendea haki hadi sasa zilipofikia (episodes). (Well Done!)
The Last Empress
Less than Evil
Feel Good to Die
Na kwa sababu tofauti, nimeamua kuishia njiani/kutozifatilia hizi dramas... (Wakajipange!)
Children of Nobody
A Pledge to God
Clean with Passion for Now
Encounter
Fates & Furies
Fluttering Warning
The Smile Has Left your Eyes
Mama Fairy and The Woodcutter
When Time Stopped
Where Stars Land
Memories of the Alhambra
The Player
Ps:- Ni maoni 2..
KHERI ya KUTIMIZA miaka 3 NDANI ya JF (siku ya jana)
Teh teh teh nilitaka nijaribu kuandika kwa kiingilishi lakini nimeshindwa, naogopa wazee wa ngeli wasije kunizodoa asubuhi yote hii wakanifanya nikose hamu ya kukandamiza bakuli langu la UROJO kama meok goo anapokosa bakuli la wali na supu ya mende kwa ufadhili wa hela ya European Union.
ningelikuwa ni mtenda dhambi kama ningelishindwa kuandika ujumbe huu wa shukurani kupitia thread hii ambayo nusu ya comment zangu nimeziandika humu ndani (comment 1298)
huwezi amini nakumbuka ni kama juzi tu najaza fomu ya kujiunga na JF mida ya jioni, baadae naandika ujumbe wangu wa kwanza ndani ya thread hii baada ya kuwa msomaji wa muda mrefu, nakutana na wakorea uchwara kupitia keyboard, naanzisha utani wa ajabu haliyakuwa si tabia yangu, mara paaap nakufa kwa kucheka peke yangu.
kilaza kama mimi ninayeshindwa hata kuandika sentensi nzuri zenye kubeba haiba ya matukio husika ya sherehe muhimu basi niwatakie wakorea uchwara wote pasina kuangalia asili zetu za kiimani sikukuu ya kuzaliwa mtakatifu yule wa nazareth majuma machache yajayo.
kama kuna yeyote humu ndani niliwahi kumkera na akachukia kama wanavyochukiana mashabiki wa vyura na mikia naomba anisamehe.
jamani hapa mtaani kwetu ndani ya wiki mbili hizi wameshafariki watu 5, mamamaaaaaaaaaaa nadhani huyu malaika mtoa roho ananipigia misere kwa honda ya bajajiiiiiii na toyo.
ili niwe muhenga wa kati kati ndani ya JF napaswa nitimize miaka mingapi?
nasubiria keki zangu zilizotengenezwa kwa siagi na mayai ya maneno japokuwa wale niliowakuta wamekuwa wavivu wa kutembelea humu ndani kwa sababu zisizoepukika.
daebak, niilikuta hii thread ikiwa ukurasa wa 24 lakini leo imeshafikisha ukurasa wa 402, nawaomba munipe dawa itakayoniwezesha niache kuifuatilia hii thread tafadhali.
Age is an issue of mind over matter. If you don't mind, it doesn't matter. - Mark Twain.
View attachment 969576