kuna kitu kinaitwa Doctor Prisoner ni kali nitaelezea siku nyingineNasubiria drama itakayotikisa moyo wa innocent dependant aje atumwagie gazeti la kuisifia hapa
kuna kitu kinaitwa Doctor Prisoner ni kali nitaelezea siku nyingineNasubiria drama itakayotikisa moyo wa innocent dependant aje atumwagie gazeti la kuisifia hapa
Umecheka na kunipa onyo, ngoja nimpunguzie binti korean dramas kabla hajamzidi huyu maana kwa sasa wako sawa 😅🤭
Vipi uliweza kuimaliza "My happy ending" na vipi umeionajeUmecheka na kunipa onyo, ngoja nimpunguzie binti korean dramas kabla hajamzidi huyu maana kwa sasa wako sawa 😅🤭
Labda tu nikwambie, nimemuambukiza Kim Nam Gil syndrome!
Mpaka leo drama yake pendwa ni Dr. Heo na Island zote!
Nina mtoto wa sister naona nishamfikisha huku
Hii na mimi inanitikisaQueen Of Tears itamtikisa
Nyakati ngumu zaja hasa kuanzia episode ya 7 wale wabaya ambao wana mpango wa kuiharibu Queens Group Family wameamua kumuweka mtegoni Hyun-woo ili afukuzwe maana ndio mtu anayeweza kuwa kikwazo katika mipango yaoHii na mimi inanitikisa
Wale main cast wanapitishwa misukosuko haswa adi naona nisubirie iishe kwanza mana usikute kuna sad ending
Mimi naona ntasubiri iishe kwanza mana ni kweli usemavyo kuanzia episode ya 7 mambo yatakua magumu kwelikweliNyakati ngumu zaja hasa kuanzia episode ya 7 wale wabaya ambao wana mpango wa kuiharibu Queens Group Family wameamua kumuweka mtegoni Hyun-woo ili afukuzwe maana ndio mtu anayeweza kuwa kikwazo katika mipango yao
But kwa upande wangu sad ending ina possibility kubwa hasa Hyun-woo na Hae-in wakiwa forced kuachana kwa talaka ndio basi sidhani kama wataoana kwa mara ya pili zaidi ya kurejesha ukaribu pale mbaya atapojulikana na watakuwa pamoja katika muda mfupi na kutengeneza moments za mwisho za Hae-in
Kama ndoa yao isipotikisika wasipoachana nitasimama na 1% ya muujiza kutokea kwa Hae-in kutibika tatizo lake
Nyakati ngumu zaja hasa kuanzia episode ya 7 wale wabaya ambao wana mpango wa kuiharibu Queens Group Family wameamua kumuweka mtegoni Hyun-woo ili afukuzwe maana ndio mtu anayeweza kuwa kikwazo katika mipango yao
But kwa upande wangu sad ending ina possibility kubwa hasa Hyun-woo na Hae-in wakiwa forced kuachana kwa talaka ndio basi sidhani kama wataoana kwa mara ya pili zaidi ya kurejesha ukaribu pale mbaya atapojulikana na watakuwa pamoja katika muda mfupi na kutengeneza moments za mwisho za Hae-in
Kama ndoa yao isipotikisika wasipoachana nitasimama na 1% ya muujiza kutokea kwa Hae-in kutibika tatizo lake
Queen of Tears Ukiangalia mwisho mwa episode ya 6 mwandishi anaendelea kutudokeza mwendelezo wa anguo la FL na ML,Nyakati ngumu zaja hasa kuanzia episode ya 7 wale wabaya ambao wana mpango wa kuiharibu Queens Group Family wameamua kumuweka mtegoni Hyun-woo ili afukuzwe maana ndio mtu anayeweza kuwa kikwazo katika mipango yao
But kwa upande wangu sad ending ina possibility kubwa hasa Hyun-woo na Hae-in wakiwa forced kuachana kwa talaka ndio basi sidhani kama wataoana kwa mara ya pili zaidi ya kurejesha ukaribu pale mbaya atapojulikana na watakuwa pamoja katika muda mfupi na kutengeneza moments za mwisho za Hae-in
Kama ndoa yao isipotikisika wasipoachana nitasimama na 1% ya muujiza kutokea kwa Hae-in kutibika tatizo la
Baada ya,episode ya leo nimekata tamaa ugonjwa wa Hae In umeanza kuwa serious kapoteza kumbukumbu na kumwambia Hyun Woo kuwa anampenda dah mwamba akajua tayari kushakucha akamkumbatia kwa machoziQueen of Tears Ukiangalia mwisho mwa episode ya 6 mwandishi anaendelea kutudokeza mwendelezo wa anguo la FL na ML,
Maana nafasi ya ku kutoku divorce ni 95% (Kwa kuzingatia vigezo na ushahidi feki uliopandikizwa)
Pia FL hataamini kama ML kwamba ni msaliti
Lakini ukizingatia uchunguzi anaouedeleza Aunt wa FL itasaidia kwenye muendelezo wa kufichua siri za wanaotaka kuangusha Queen Group
FL nahisi hatapona hiki ndio kinachoniwazisha sana (nakumbuka kwenye Big mouse)..
Sikumbuki vzuri mwandishi alimalizaje kazi zake za awali ila
My love from anaother star
Crashing land on you zilikuwa kazi bora sana ngoja tusubiri hii itaishaje....
Hapa ni pamoto sasa nusu ya pili ndio tutaona maujanja ya mwandishi lakini nahofia ni sudden ending...Baada ya,episode ya leo nimekata tamaa ugonjwa wa Hae In umeanza kuwa serious kapoteza kumbukumbu na kumwambia Hyun Woo kuwa anampenda dah mwamba akajua tayari kushakucha akamkumbatia kwa machozi
Yule mpuuzi Eun Sung aliiba dawa za Hae In baada ya kujua hali yake na tushajua kuwa jamaa na yule Girlfriend wa Grandpa ni mtu na mwanae
Hapo Hae In alishaweka dole gumba katika divorce papers sasa kashasahau kila kitu,kumbukumbu zikija tena bila shaka ni kivumbi
Nimemyoosha mikono kuwa 100% ni sad ending tuandae condolences mapema
Unaambiwa huwezi ijua kesho yako familia ya Queens Group imeanguka wameenda kuishi kijijini kwa akina Hyun WooHapa ni pamoto sasa nusu ya pili ndio tutaona maujanja ya mwandishi lakini nahofia ni sudden ending...
wa spoilers tuliaaUnaambiwa huwezi ijua kesho yako familia ya Queens Group imeanguka wameenda kuishi kijijini kwa akina Hyun Woo
Watu wabaya wamefaulu