Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

talnam i think nimekata tamaa kwa Dong Jin & Dahye ni muda wa bibie kumuacha jamaa aende kiroho safi,hatakuwa na majuto badala yake ataishi na historia ya loyal girlfriend miaka 13 kuspend na mwanaume mmoja ni nadra sana kutokea kwa hulka za wanawake wengi.

Nimehamia kwa Chang Jin na Yu Jung-hapa panaonekana pagumu ila soon tutakuwa tunashangilia huyo Bibie bado ana hisia na jamaa ila hasira na kinyongo cha jamaa kutomjibu meseji ya breakup akidhani atamstop ndio kinachomfanya awe cold mbele ya mshkaji na kuamua kujiweka kwa Juwon.

Anasema hataki kurudiana na jamaa halafu akimuona anacheka kwa furaha na wanawake wengine wivu na hasira vinamshika anasema eti Chang Jin is so rude to her(kwenye preview ya episode ijayo vicheko vya Changjin na Dahye vitamkosesha raha tena ataamua kukaa na jamaa waongee)

Changjin atalalamika kuhusu Yu Jung kuonesha sura tofauti kwake tangu anafika,mtoto wa kike atareact kwamba na yeye pia kaona sura za tofauti kwa jamaa kitu ambacho kimemtia wazimu,atatiririka hadi ishu ya kukosa usingizi ile siku ambayo asubuhi yake alilia sana kitendo cha kusikia jamaa anapiga story na kucheka sana na Dahye.
I think moments zao zitaanzia hapo

Kuhusu Jong Eun na Kwang Tae nitatoa views zaidi nimemuelewa sana huyu bibie wanaendana na kijana
 
Yap mkuu, achana na marekani Kuna mdada namjua mbongo ana imba na kuelewa maana ya maneno.

Kikubwa tafuta ost zao, zikiwa na English subtitles Ina saidia Sana.
Na kuangalia series yenyewe, hata uki sikia Nyimbo una Elewa Ina relate vipi
Siri kubwa ya kuelewa kikorea ni kukisoma (Hangul) ili uelewe misingi na kanuni za uandishi, kisha rudi kwenye matamshi ya maneno, fanya hivyo hata kwa youtube tutorials. Baada ya hapo engage sana page za wakorea kwenye mitandao ya kijamii.

OST na drama mara nyingi zitakupa uelewa wa baadhi ya maneno maarufu ila namna ya kuyatumia katika mawasiliano inakuwa ngumu sana.

NB: Waafrika wengi sana (wakiwemo waTz) sikuhizi wanakijua sana kikorea.
 
Ipo vizuri sana Mimi siwezi kuchukua site nyingine zaidi ya hiyo ,sasa wahuni wamevamia ukiingia chrome ukiandika dramaCool zinakuja za mchongo ni ngumu kuipata Og , mimi nikipata tabu mpaka nikurudi nyuma page fulani katika Uzi huu nikaikuta link ndio ikaja website Og.

Series ukiibofya chini inaweka na wahusika wakuu wote na ukimclick zinakuja list za movies zake na maelezo mafupi kuhusu muhusika , ukitaka unasearch mtu vigongo vyake vyote vinakuja..View attachment 2921836
Hebu weka link hapa kama hautojali, kuna drama za zamani napata tabu sana kuzipata kwenye sites nyingine.
 
Back
Top Bottom