ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,338
- 15,067
Kwanza kabisa uvumilivu siyo asili ya mwanamke, ikiwa muda haumvumilii mwanamke yeye atavumiliaje hali yoyote?Uvumilivu ni maamuzi sio sheria
Naweza kukuacha niende kwa mwingine mwenye pesa
Kaka angu mwanamke na pesa ni mapacha,hao wanaokupa wewe free k inawezekana kuna sehemu wanadanga
Yani sisi sio wa kutulia yamini kama hivyo
Ukiona mwanamke hataki hela kutoka kwa mwanaume ni miundo mbinu tu haiko sawa lakini deep down its every woman’s dream kuhudumiwa na mtu anaemtia ambayo nyie mnaona ni kuuza
Watakataa hapa kujifariji ila hakuna asietaka hio treat
Ni kwamba wachache kama mleta mada wameamua kuwa more specific huku wengine wakiugulia moyoni kimya kimya
Kitu pekee anachotaka mdangaji kutoka kwa mwanamume ni pesa(security), na zana pekee anayotumia mwanamke kuchota pesa za mwanaume ni uzuri wake(feminine sexuality).
Lakini uzuri wa mwanamke siyo kitu cha kudumu, ni perishable condition. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya miaka 19-30. Kwahiyo kwenye hiyo age mwanamke anatakiwa awe sharp ku exploit resources za mwanaume for her future and better survival.
Kwahiyo kwa kuwa muda siyo rafiki kwa mwanamke, inabidi atumie huo umri kati ya 19-30 kwa ajili ya kuandaa baadae yake. Inawezakuwa kwa njia ya kuolewa, kudanga na kupata mtaji mkubwa wa biashara au kuhonga K na kupata kazi nzuri itakayomwezesha kuishi vizuri hata pindi uzuri wake utakapoanza kupungua.
Lakini akichelewa akaenda beyond 30 bila ndoa, wala kazi ya maana, wala kipawa chochote kwenye biashara, basi huyo imekula kwake.Mwanamke mwenye 35+ anaanza kuzeeka, mitongozo inapungua na atatumia makeup nyingi ili aweze kushindana na damu changa sokoni.
Lengo langu kwenye huu uzi ilikuwa kuwatahadharisha wanaume hasa namna ya kutumia vizuri rasilimali tunazopata. Tofauti na mwanamke, mwanaume anazeeka Kama wine....yaani jinsi umri unavyosonga ndo uzuri unaongezeka na madili ya mitonyo yanakuwa njenje.... mwanamume anatakiwa kukimbizana na pesa maana kwetu hata miaka 60, 70, 80, tunaweza kuenjoy na vibinti vya miaka 20 bila shida..... mwanaume ni slightly weak biologically, hivyo kuhonga hovyo pamoja na ngono zembe ndo chanzo cha magonjwa mengi ya uzeeni pamoja na vifo vya mapema ukilinganisha na mwanamke.