Kwa wanawake tu: Mbinu za kumpata sponsor

Kwa wanawake tu: Mbinu za kumpata sponsor

Halafu wakifika miaka 30 na maisha yao hayana tena maana yapo taabani wakufuate uje uwafundishe namna ya kuondoa laana ya umalaya unayotaka waifanye. Mjaaalaana mkubwa wewe nyokoooooooooo
 
He.... Ama kweli makubwa.... Yaani malaya uliyekubuhu hadi unaanza wafundisha wenzako tena leo wauliza umalaya ni nini?!

Malaya si ndio kama hapa unaonyesha umalaya wako....
Halafu Ashera ni aina ya uchawi uliokatazwa kwenye Biblia....Wafalme II, 23:4.
 
Kwa kweli tutafanya tu,maana hata nyie mnatokwa jasho kuwahandle hao masponyo mnashinda kwa waganga mpaka dawa wanawapaka kwa kuunganisha vikoleo vyenu na vya mganga au unabisha?? Bado mnafanyiwa vitendo vizito na hao masponyo humo vyumbani,kifupi nyie ni watumwa wa ngono.Hakuna pesa rahisi dada usidanganye umma....na kuwa na mbabu Sio kwamba hutazaa kwa uchungu..unless usizae kabisa
Duh waganga tena? Kama nilivyosema hili game lina wenyewe. Ukiona linakuwia gumu then it's not for you baby
 
Halafu wakifika miaka 30 na maisha yao hayana tena maana yapo taabani wakufuate uje uwafundishe namna ya kuondoa laana ya umalaya unayotaka waifanye. Mjaaalaana mkubwa wewe nyokoooooooooo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bahati hiyo ameipata K lyn tu na hajaipata kiurahisi maana Miss Tanzania title sio kila mdangaji anayo na inapatikana kwa ushindani mkubwa pia enzi zake... na kwa seke seke lilitokea ma sponsor wamejanjaruka...

Mwanamke ukitaka maisha mazuri tumia formula ya CEO wa NMB bank dada Ruth Zaipuna ..

Wanaume wadau wameshtuka wanataka win win hata kwa mchepuko awe na kitu cha ziada.. maana papuchi kila mwanamke anayo..

Na utamu wa nchi yetu ya kibantu hii wenye hela wengi ni la saba, wajanja sana...nawaza tu mtu anaenda kumdangia Mo dewji, ama matajiri wa migodini na mabus ya mikoani. Ama waarab wamiliki wa masheli na makampuni kibao kina asas, eti unamdangia laizer
Hapa uko sahihi, wanaume naowazungumzia kwa Tanzania ni wachache. So mdada ajiongeze. Akili kumkichwa
 
Duh waganga tena? Kama nilivyosema hili game lina wenyewe. Ukiona linakuwia gumu then it's not for you baby
Hamna lolote mbele za watu mnajifanya amplay smart ila nyuma ya pazia mna Mambo makubwa...hao masponyo Kuna Mambo wanafanya wakidhani ni akili zao ila kiukweli Mungu anawaona nyie...habari zenu Munalove alishazisimulia kwa wiki mnashinda kwa waganga siku sita Sasa Hilo si nizaidi ya jasho Ashera?
 
Hamna lolote mbele za watu mnajifanya amplay smart ila nyuma ya pazia mna Mambo makubwa...hao masponyo Kuna Mambo wanafanya wakidhani ni akili zao ila kiukweli Mungu anawaona nyie...habari zenu Munalove alishazisimulia kwa wiki mnashinda kwa waganga siku sita Sasa Hilo si nizaidi ya jasho Ashera?
Hahahaha...pole mdada, kama ulikuwa unaenda kwa waganga that's so low of you. Mwanamke jua nguvu ya asili uliyonayo uliyopewa na Muumba. It's called the feminine power of seduction. Hakuna cha mganga wala nini. Kila mwanamke anayo hii nguvu you just need to activate it
 
Hahahaha...pole mdada, kama ulikuwa unaenda kwa waganga that's so low of you. Mwanamke jua nguvu ya asili uliyonayo uliyopewa na Muumba. It's called the feminine power of seduction. Hakuna cha mganga wala nini. Kila mwanamke anayo hii nguvu you just need to activate it
Usibadilishe Mambo!Mimi nafanya kazi kwa jasho langu na ninazaa kwa uchungu,nyie wapenda vya bure ndio kazi mnayo,mara mpige tunguli mara 713,huna say maana lazima ulipie ,hakuna pesa bure shangazi! Unajinadi kabisa kuwa mtumwa wa kingono,hivi uko sawa kweli?kwa Nini usitafute mmeo umseduce?kuseduce vibabu inahusu??pambaneni na vibabu vyenu
 
Usibadilishe Mambo!Mimi nafanya kazi kwa jasho langu na ninazaa kwa uchungu,nyie wapenda vya bure ndio kazi mnayo,mara mpige tunguli mara 713,huna say maana lazima ulipie ,hakuna pesa bure shangazi! Unajinadi kabisa kuwa mtumwa wa kingono,hivi uko sawa kweli?kwa Nini usitafute mmeo umseduce?kuseduce vibabu inahusu??pambaneni na vibabu vyenu
Unapenda sana matunguli wewe. Nshasema wewe fanya kazi kula kwa jasho na zaa kwa uchungu, jenga na mwanaume, msaidie pesa pale anapokwama...yani ile inaitwa 50/50 if you know what i mean. Waache wenzio wanaotaka kuzaa kwa uchungu tu kama kusudi la Mungu lilivyo. Kama unafikiri hawaolewi...pole
 
Back
Top Bottom