Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Sijafanyiwa na mtu nasema ukweli kwa sababu huku arusha watu wanasema mwanamke alikuwa anachart na kijana mtandaoni sasa siku moja huyo kaka akaja kuja watu wa home kwa yule msister wakamsii humjui usiende .
Nayeye akagoma na akaenda tomea aende hajapatikana. Kupatikana akakutwa kichwa hana wala sehemu ya juu ni kiwiliwili.
So kuanzia leo mihuku no naogopa hii taarifa imetoka leo ila tukio ni majuzi fulani.
Sasa maisha ndio hayo bora kusubiri kuliko kuforce.
Imetokea wapi hiyoo?Arusha sehemu gani?
 
Naogopa kusema nisiulizwe na polisi ila ni arusha kuelekea usa
 
NO HELL NO kabla ya mitandao mapenzi yalikuwepo na cheatings zilikuwepo, katoto kwani wewe hujawahi kuchitiwa na ex wako?? hujawahi kubreak?? so haya mambo yanaexist kote kote inside out jf

ova
 
Sijafanyiwa na mtu nasema ukweli kwa sababu huku arusha watu wanasema mwanamke alikuwa anachart na kijana mtandaoni sasa siku moja huyo kaka akaja kuja watu wa home kwa yule msister wakamsii humjui usiende .
Nayeye akagoma na akaenda tomea aende hajapatikana. Kupatikana akakutwa kichwa hana wala sehemu ya juu ni kiwiliwili.
So kuanzia leo mihuku no naogopa hii taarifa imetoka leo ila tukio ni majuzi fulani.
Sasa maisha ndio hayo bora kusubiri kuliko kuforce.
So mbona matukio kama hayo huwa yanatokea kwa victims wanaokutana mitaani pia .. au haujawahi kusikia me/ke akiwa amemuua mwenzie kisa tu masuala ya wivu wa mapenzi ... Mind you kila positive lazima iwe na upande wa pili wa shilingi ambao ni negative .. namaanisha kwamba hakuna jambo zuri litakalo kuwa ni zuri completely ni lazima zitakuwa na kasoro zake .. ni kama ambavyo tunavyo tumia vyombo vya usafiri kusafiri na kuturahisishia kuweza kuzifikia fursa mbali mbali za kiuchukuzi zinazo tusaidia katika maisha yetu ... lakini kuna wakati vyombo hivyo vya usafiri huwa vina tuua ...

Mfano mdogo ni huu ... muulize mtu yeyote humu kama hajawahi kuumizwa katika mapenzi .. swali ni je !!? Hao walio waumiza walikuwa wanatoka mitandaoni ... mitandao africa imepata umaarufu katika kipindi hiki cha muongo mmoja .. lakini kabla ya hapo watu walikuwa wanauwana kwa ajili ya mapenzi ..watu walikuwa wana danganyana na kusalitiana ... so tuache kuisingizia mitandao aisee ... mitandao ni kama sehemu tu ya ulimwengu " kuna watu wema ambao nafsi zao zimeshiba utu na kuna watu wabaya makatili " muhimu kwetu ni kuwa makini pindi tunapo jihusisha kimapenzi na watu ambao tumekutana nao humu " hii itatusaidia kuweza kuangalia vizuri sehemu ambazo tunapaswa kukanyaga hatua zetu za maisha ..


Sio una kutana na mtu tu unampa namba ghafla unaanza kujirahisha .. unaacha kukaa chini na kumsoma undani wake vyema ... jitahidi hata uwajue ndugu zake wawili watatu na marafiki pia ..ikiwezekana upajue mpaka anapoishi " Kabla hata ya kuamua kungonoka nae .. hii itamfanya akuone kuwa unajitambua unaijua thamani yako " na ataanza kuweka umakini kuhusu wewe .... (hii ni kwa wale wanao hitaji mahusiano yenye future )
 
Wapo
Mwanaume anaekufata inategemea na wewe mwanamke unavojiweka
I mean unavyojiweka ndo itadertermine ufuatwe na mwanaume wa aina gani
Unajiweka kimalayamalaya, kidangaji. Hapo lazima ufuatwe na hao uliowataja..waende wakatangaze ndoa ilhali wanajua wanamfata mdangaji?
Unajiweka kimalaya wanakuja kwa lengo la kukutumia sio kukioa
Unajiweka kitoto basi watakufata wasio serious na wenye mambo ya kitoto
Na ukiwa mtu makini serious minded utafatwa na walio serious

Jiangalie wewe kwanza.. Wanaume wa kuoa wapo
Kabisa dada aggy
 
Sijafanyiwa na mtu nasema ukweli kwa sababu huku arusha watu wanasema mwanamke alikuwa anachart na kijana mtandaoni sasa siku moja huyo kaka akaja kuja watu wa home kwa yule msister wakamsii humjui usiende .
Nayeye akagoma na akaenda tomea aende hajapatikana. Kupatikana akakutwa kichwa hana wala sehemu ya juu ni kiwiliwili.
So kuanzia leo mihuku no naogopa hii taarifa imetoka leo ila tukio ni majuzi fulani.
Sasa maisha ndio hayo bora kusubiri kuliko kuforce.
arusha pande zipi
 
Back
Top Bottom