zombi
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,620
- 1,344
Umeona eeh Kwa hiyo Mimi sio muongo nikija pm yako ujue ninataka niniNi vizuri watafune watakaojileta wahonge watakaokupendeza
Umeona eeh Kwa hiyo Mimi sio muongo nikija pm yako ujue ninataka niniNi vizuri watafune watakaojileta wahonge watakaokupendeza
Umeona eeh Kwa hiyo Mimi sio muongo nikija pm yako ujue ninataka nini
huyu dogo ana moto sana, kila siku anaimba wanaumeUnahangaika wewe...ile 60m ushapewa?
Leo naraha zangu sikujui hunijui siwezi kupoteza muda na wewe na kama nakujua merry chrismasshuyu dogo ana moto sana, kila siku anaimba wanaume
hivi utakosaje marafiki mtaani hadi utafute huku gizani..jf?Mimi siwataki nataka marafiki wakuchart nao
Sijasema jfhivi utakosaje marafiki mtaani hadi utafute huku gizani..jf?
Njoo uuzimehuyu dogo ana moto sana, kila siku anaimba wanaume
Kwani wa Jamiiforums hawaishi mtaani?Hongera kwa maamuzi sahihi ni ukweli mwanaume wanawake wapo mitaani you can't love someone who is not near u.
Mwanaume mke ni yule ambae upo karibu yake.
Unayemkubalii
Waishi mtaani ila sio wa arusha niwa miji mingineKwani wa Jamiiforums hawaishi mtaani?
mmh mbona nipo hapa mitaa ya philips lakini sijaipata hiyo ishuNaogopa kusema nisiulizwe na polisi ila ni arusha kuelekea usa
Kweli basi mimi nilienda hapa kwa fundi wa nguo nilimpelekea nguo akaniambia eti usiamini hii mitandao sana sana.mmh mbona nipo hapa mitaa ya philips lakini sijaipata hiyo ishu
umeongea point hadi nimekupa like big up sanaaa hearlySo mbona matukio kama hayo huwa yanatokea kwa victims wanaokutana mitaani pia .. au haujawahi kusikia me/ke akiwa amemuua mwenzie kisa tu masuala ya wivu wa mapenzi ... Mind you kila positive lazima iwe na upande wa pili wa shilingi ambao ni negative .. namaanisha kwamba hakuna jambo zuri litakalo kuwa ni zuri completely ni lazima zitakuwa na kasoro zake .. ni kama ambavyo tunavyo tumia vyombo vya usafiri kusafiri na kuturahisishia kuweza kuzifikia fursa mbali mbali za kiuchukuzi zinazo tusaidia katika maisha yetu ... lakini kuna wakati vyombo hivyo vya usafiri huwa vina tuua ...
Mfano mdogo ni huu ... muulize mtu yeyote humu kama hajawahi kuumizwa katika mapenzi .. swali ni je !!? Hao walio waumiza walikuwa wanatoka mitandaoni ... mitandao africa imepata umaarufu katika kipindi hiki cha muongo mmoja .. lakini kabla ya hapo watu walikuwa wanauwana kwa ajili ya mapenzi ..watu walikuwa wana danganyana na kusalitiana ... so tuache kuisingizia mitandao aisee ... mitandao ni kama sehemu tu ya ulimwengu " kuna watu wema ambao nafsi zao zimeshiba utu na kuna watu wabaya makatili " muhimu kwetu ni kuwa makini pindi tunapo jihusisha kimapenzi na watu ambao tumekutana nao humu " hii itatusaidia kuweza kuangalia vizuri sehemu ambazo tunapaswa kukanyaga hatua zetu za maisha ..
Sio una kutana na mtu tu unampa namba ghafla unaanza kujirahisha .. unaacha kukaa chini na kumsoma undani wake vyema ... jitahidi hata uwajue ndugu zake wawili watatu na marafiki pia ..ikiwezekana upajue mpaka anapoishi " Kabla hata ya kuamua kungonoka nae .. hii itamfanya akuone kuwa unajitambua unaijua thamani yako " na ataanza kuweka umakini kuhusu wewe .... (hii ni kwa wale wanao hitaji mahusiano yenye future )
Asante Mkuu " Tuko pamoja ...umeongea point hadi nimekupa like big up sanaaa hearly
kumbe bado huna uhakika sioKweli basi mimi nilienda hapa kwa fundi wa nguo nilimpelekea nguo akaniambia eti usiamini hii mitandao sana sana.
Kwa sababu mwenzenu alikuwa anasoma sijui ni chuo gani nitaenda kuuliza tena so akamfuata huyo mkijana na baada ya siku moja demu kutafutwa kila mahali akakutwa guest nikiwiliwili tu basi
Sitaki kufuatwa bure na baba jeska nikaambiwa nidhibitishe sina hata hela ya mdhamanakumbe bado huna uhakika sio
sasa wewe na hiyo id yako polisi watakujuaje kwa mfanoSitaki kufuatwa bure na baba jeska nikaambiwa nidhibitishe sina hata hela ya mdhamana
Chezea usalamasasa wewe na hiyo id yako polisi watakujuaje kwa mfano
Unahangaika wewe...ile 60m ushapewa?