Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Lakini wa mtaani si ndiyo hao hao wa JF? Na JF kuna waliobahatika humu hadi kufunga pingu za maisha. Ni kuwa muangalifu tu na kujua unataka mtu wa aina gani ukiona machale yanakucheza SEPA ila kuna watu humu wana mapenzi ya kweli kabisa na wamefanikiwa.

Aisee kweli jamani ila kwangu mimi muchumba kapatikana mtaani seriously .
 
Pole katoto kazuri, ila Amin tu kuwa jf wapo wanaume wazuri na waaminifu sana, si kama unavyodhani.
 
Huyo ni wewe. Tuache wengine tunaotaka zaidi ya kuchart..
Unajua hata watu wanasema Mungu yupo ila badhii hawaamini wengine ngoma ipo kuweni makini wengine wanakana so basi haya
 
Jamii forum kwa uchuma na mengine ni dar so humu utachezewa nautakuja kulia humu wao wameshakuweka alama.
Mwenzio mimi sijaliwagwa na mtu humu kwa sababu ninawaogopa.
 
SIUNGANI NA WW , KAMA umekutana na WATOTO NI JUU yako

NI Kama kuchota maji ukichota uchafu mwaga chota tena
MM BADO NATAFUTA MKE HOPE NTAPATA TU SO LONG AS NISHASEMA WAZI NAHITAJI MMTU WA AINA IPI
Utatafuta mpaka humu ni uongo tatizo waliooa hajapata humu au walioolewa hawajapata humu kama unAtaka michosho ndio hawa wapo ndani na sitaki kusema sana hata macritical hawawezekani na jamii humu .
Mbona unaendelea kutafuta wangapi wanataka kuolewa mbona hujatulia nao basi acha unafiki huku ni zero tu ndio wapo.
 
Nani tena kakudaganya
Wakati watu wajf wanasema wameolewa wameoa humu ila jf nope kweli mtanisamehe jf wapo watu ambao hawapo serious wako kwenye matani utoto napia wao hawajielewi wanatakaje .
Wanapotezea muda mtu isitoshe anaahidi mengi kumbe mwongo.
Anafikia kubaya sana anaahidi watu wazima jambo kumbe ni waongo.
Wanaume humu ndani wanakuwa sio wazuri asilimia zao fulani ni matapeli waongoo watakupotezea muda tu.
Nawashauri kama mnataka kuolewa kuwa na familia yenye heshima sio mwanaume wa humu.
Mwanaume ni yule unayemwona .
Anayekukubali unayemkubali anayekufia unayemfia zile feelings .
Ila humu utapoteza mb zako kutuma picha kuchart naye nausiku kumwota au kumuwaza.
So becareful mume wa kukuoa when time comes you will get married hata kama ni mwaka gani GOD IS ABLE IN EVERYTHING JUST BELIEVE IN HIM
POA JAMANI.
NIWATAKIE View attachment 976947
 
Hayaa may be sio kwangu
Mi nafikir ni kipaumbele chenu tu, ni jinsi gani mtaelewana na mtayapeleka vipi mambo yenu ili kufikia malengo, na ninachojua mimi dada anapofikia hatua ya kutafuta mme jf hata akili yake itakuwa imekomaa, haongozwi na mwili Bali anaongozwa na akili kufikia malengo.
 
Hahahahahahaha aiseee sijui kwann nimecheka hivi,.itakuwa gambe haijaisha vzr kwa head...ila hata wanawake matapeli wapo jomoniii muhimu ni kujua tuu unataka nn baaaasi😂
 
Back
Top Bottom