katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
- Thread starter
- #41
Sijui mwayaWanaume tunacomment wapi??
Sijui mwayaWanaume tunacomment wapi??
Soma uzi sio wanaume ni wanawakeSIUNGANI NA WW , KAMA umekutana na WATOTO NI JUU yako
NI Kama kuchota maji ukichota uchafu mwaga chota tena
MM BADO NATAFUTA MKE HOPE NTAPATA TU SO LONG AS NISHASEMA WAZI NAHITAJI MMTU WA AINA IPI
ooh hope watakuelewaNawataadharisha waliobaki wasipoteze muda wao muda mwingi watengeneze hela wasome wafaulu na mb zao watumie kayika kutangazia biashara zao nakutafuta nafasi za kazi sio kudangwanywa humu au facebook au popote pale ukitaka mke /mme anapatikana mitaani na sehemu za kula kunywa concerts ona mtu sio kuota mtu.
Yap ni upo sawa kula tano [emoji109]Ndo nashangaa wadau wanasema mtaani hakuna wyf material wakat wamejaa kibao kama wote kwa iyo nawasii wadau wachangamkie fursa za warembo mtaani
Nimepata naongea ukweli jamani nisisemeeKatoto kazuri hakajapata offer ya sikukuu kamekuja kudiss hapa
TrueMtandaoni ni kama mitaani sema fake life na pretenders ni wengi sana kiasi kupelekea watu kuona mitandao kama chaka la kujifichia na mambo yao
Muhimu ni kuomba Mungu tu akupe chaguo stahiki na moyo wako na mkaendana, wapo watu wanaolewa na wanaume wanatokea hum humu mitandaoni na bado wako kwenye ndoa zao
Mdogo wangu vipi?? Kimya hadi sikukuu inaishaKatoto kazuri hakajapata offer ya sikukuu kamekuja kudiss hapa
Sijafanyiwa na mtu nasema ukweli kwa sababu huku arusha watu wanasema mwanamke alikuwa anachart na kijana mtandaoni sasa siku moja huyo kaka akaja kuja watu wa home kwa yule msister wakamsii humjui usiende .Hahahaha!!
Katoto kazuri bhanaa...
Nani kakufanyia yote hata?
AmeeenNawataadharisha waliobaki wasipoteze muda wao muda mwingi watengeneze hela wasome wafaulu na mb zao watumie katika kutangazia biashara zao nakutafuta nafasi za kazi sio kudangwanywa humu au facebook au popote pale ukitaka mke /mme anapatikana mitaani na sehemu za kula kunywa concerts ona mtu sio kuota mtu.
Sijafanyiwa na mtu nasema ukweli kwa sababu huku arusha watu wanasema mwanamke alikuwa anachart na kijana mtandaoni sasa siku moja huyo kaka akaja kuja watu wa home kwa yule msister wakamsii humjui usiende .
Nayeye akagoma na akaenda tomea aende hajapatikana. Kupatikana akakutwa kichwa hana wala sehemu ya juu ni kiwiliwili.
So kuanzia leo mihuku no naogopa hii taarifa imetoka leo ila tukio ni majuzi fulani.
Sasa maisha ndio hayo bora kusubiri kuliko kuforce.
SijakuelewaUnajua sio kweli kama jf hakuna wanaume .. jf inaongoza kwa wanaume wengi pia wanawake wa jf ni wachache kwa hiyo ukiona uoelewi na wanaume wa jf jua wanapasiana mpira tu sasa mpira wa mwisho ndo atakuoa.. sasa ww mm nikufate au unikatae nitakuona mshamba sana eti kila unataka kuolewa
Mbona mi nakupenda sana katoto kazuriMimi siwataki nataka marafiki wakuchart nao
AsanteeMbona mi nakupenda sana katoto kazuri
Waje watu walionila humuUkiona manyoya