Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Unajua ukimwona mwaume anakuja kwa staili fulani ujue he wants u sasa mnasema naumizwa sijawahi lala na mtu humu ndio maana ninajiamini aje mtu aseme nililala nanani humu sijawahi my dear wataniona malaya ila ni malaya wa mdomo i will give everything not my pussy never
I dont need your pussy. I need your mind. That my problem. But hiyo ni mimi tu.
Mwongo hajifichi mama, hajifichi kabisaa yaani. Mwaume mwongo ni rahis kumjua.. tatizo you dont pay attention to matendo yao..
Muongo mpe muda.. lazima uone rangi zake. Ukimpa pussy kwanza imekula kwako.
 
I dont need your pussy. I need your mind. That my problem. But hiyo ni mimi tu.
Mwongo hajifichi mama, hajifichi kabisaa yaani. Mwaume mwongo ni rahis kumjua.. tatizo you dont pay attention to matendo yao..
Muongo mpe muda.. lazima uone rangi zake. Ukimpa pussy kwanza imekula kwako.
Kumbee basi my mind ni nice your a gentlemen sasa bossy kumbe ninavyowanyima ni sawa eh
 
Ukipata mwanamke mtandao na akakubali jua ana sura chongo au kazaa ana watt so anataka kukutupia msalaba wewe ..mie siwakubali wa mitandaoni
 
Ukipata mwanamke mtandao na akakubali jua ana sura chongo au kazaa ana watt so anataka kukutupia msalaba wewe ..mie siwakubali wa mitandaoni
Siwezi kusema no au ni kweli ila mtandaoni nikama bahati na sibu
 
katoto kazuri humu jf kuna wanaume wastarabu wenye kujielewa,ni marafiki wa kweli nyakati zote, nikisema wanaojielewa nadhani unanielewa mama...

Yani wenye heshima na wenye utu,ingawa sikatai wako wachache wasiojilewa ila ni kawaida kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani...

Wanaume wote wa jf walio kundi la kwanza hapo juu big up sana,mbarikiwe sana mpaka mshangae kwa matendo yenu mema....
 
katoto kazuri humu jf kuna wanaume wastarabu wenye kujielewa,ni marafiki wa kweli nyakati zote, nikisema wanaojielewa nadhani unanielewa mama...

Yani wenye heshima na wenye utu,ingawa sikatai wako wachache wasiojilewa ila ni kawaida kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani...

Wanaume wote wa jf walio kundi la kwanza hapo juu big up sana,mbarikiwe sana mpaka mshangae kwa matendo yenu mema....
Haya sawa valentina my mama mdomo
 
Back
Top Bottom