Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Mtandaoni ni kama mitaani sema fake life na pretenders ni wengi sana kiasi kupelekea watu kuona mitandao kama chaka la kujifichia na mambo yao

Muhimu ni kuomba Mungu tu akupe chaguo stahiki na moyo wako na mkaendana, wapo watu wanaolewa na wanaume wanatokea hum humu mitandaoni na bado wako kwenye ndoa zao
100% true
 
Pole sana... kwa yaliyokukuta...

Dunia hadaa walimwengu mashujaa...

Tatizo binadamu ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
Wakati watu wajf wanasema wameolewa wameoa humu ila jf nope kweli mtanisamehe jf wapo watu ambao hawapo serious wako kwenye matani utoto napia wao hawajielewi wanatakaje .
Wanapotezea muda mtu isitoshe anaahidi mengi kumbe mwongo.
Anafikia kubaya sana anaahidi watu wazima jambo kumbe ni waongo.
Wanaume humu ndani wanakuwa sio wazuri asilimia zao fulani ni matapeli waongoo watakupotezea muda tu.
Nawashauri kama mnataka kuolewa kuwa na familia yenye heshima sio mwanaume wa humu.
Mwanaume ni yule unayemwona .
Anayekukubali unayemkubali anayekufia unayemfia zile feelings .
Ila humu utapoteza mb zako kutuma picha kuchart naye nausiku kumwota au kumuwaza.
So becareful mume wa kukuoa when time comes you will get married hata kama ni mwaka gani GOD IS ABLE IN EVERYTHING JUST BELIEVE IN HIM
POA JAMANI.
NIWATAKIE View attachment 976947
Wengine sisi wakweli, Mimi ni kukutafuna na kukuhonga tu, future utajitengenezea mwenyewe.
 
IDs zenyewe feki sasa mtu atakuje genuine! Ingawa na nyie wanawake mnapenda Sana kukufanya wasamaria wema na kuwalaum men kwenye kila kitu,kwani nyie mna usahihi gani?
Wanawake wa kuoa jf ni 1/10000
Inaapply na kwa wanaume pia. Acha kuoa hata kuwa na mwanamke mmoja ni 0.00001%.
Cha msingi ni mtu kutojidanganya huku amepata patna wa uhakika ila ikitokea ndie wa uhakika unashukuru Mungu. Huku sio wake sio waume uongo ni mwingi kuliko ukweli linapokuja suala la mahusiano
 
Inaapply na kwa wanaume pia. Acha kuoa hata kuwa na mwanamke mmoja ni 0.00001%.
Cha msingi ni mtu kutojidanganya huku amepata patna wa uhakika ila ikitokea ndie wa uhakika unashukuru Mungu. Huku sio wake sio waume uongo ni mwingi kuliko ukweli linapokuja suala la mahusiano
Kwa kweli,huku the law of the jungle ndio inatumika Sana,eat and not be eaten
 
Mtandaoni ni kama mitaani sema fake life na pretenders ni wengi sana kiasi kupelekea watu kuona mitandao kama chaka la kujifichia na mambo yao

Muhimu ni kuomba Mungu tu akupe chaguo stahiki na moyo wako na mkaendana, wapo watu wanaolewa na wanaume wanatokea hum humu mitandaoni na bado wako kwenye ndoa zao
True
 
Siitaji tena bossy mkiniona humu nahitaji mume nisuteni kabisa malaya ni wangapi wameolewa sio shivaz humu matako bar wewe humu meti onyo meaning huku wanaume serious hawapo wapo wakupotezeana mb tu
Tupoooo bana! Mimi mmoja wapo. Tena kama yupo anaetafuta aje PM tuone kama tutafikia muafaka.
 
Mtandaoni ni kama mitaani sema fake life na pretenders ni wengi sana kiasi kupelekea watu kuona mitandao kama chaka la kujifichia na mambo yao

Muhimu ni kuomba Mungu tu akupe chaguo stahiki na moyo wako na mkaendana, wapo watu wanaolewa na wanaume wanatokea hum humu mitandaoni na bado wako kwenye ndoa zao
Well said
 
Back
Top Bottom