GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,021
- 126,443
Hahahaaaaaaaaa,,,,,,,yani wewe mtu sipati picha ulivyo
Ni mtu mmoja wa kawaida sana tu Mkuu na wala huwezi kudhania na kuamini. Hivi ilikuwaje lakini hadi ukapenda kujiita neno langu pendwa hilo la Popoma Mkuu? Huwa nacheka sana nikiona hii ID yako na najiuliza nini kilikufanya hadi ukajiita hivi. Ni matumaini yangu pia siku si nyingi kuna Mtu mwingine tena atajiita neno pendwa langu lingine la Ngumbaru.
