Mimi bado nipo nipo yangu hii hapaAmani Ya Bwana Izidi Kuwa Nanyi Ndugu Zangu Wote.
Katika Kuzidi Kuonyesha Upendo Kwa Wake Zetu Nimeona Nitoe Wazo Kuwa Kila Mdau Aweke Angalau
Picha Moja Akiwa Na Familia Yake.
Karibuni.
Huyo atakuwa ako na jina lingine la ubatizoHiv kuna wakina boniface mazwazwa hiv enhee?
MmmmhAhsante mchepuko wangu...
Unaikumbuka hii siku?
![]()
Kabisa yaan hawez kuamka na kuandika upupu hviHuyo atakuwa ako na jina lingine la ubatizo
Mamy akeeHaya wanaume mkuje huku na picha zenu za familia tuwaone
He!!!!!Mmmmh
Anza weweAmani Ya Bwana Izidi Kuwa Nanyi Ndugu Zangu Wote.
Katika Kuzidi Kuonyesha Upendo Kwa Wake Zetu Nimeona Nitoe Wazo Kuwa Kila Mdau Aweke Angalau
Picha Moja Akiwa Na Familia Yake.
Karibuni.
MarhabaaaaShikamooo Baba
ShhhiiiiiiiHaya wanaume mkuje huku na picha zenu za familia tuwaone
Hapo washafeli hata mimi ngumbalo nimewastukiaMkuu uko katika ' assignment ' maalum kabisa ya ' kuwatambua ' Members wa JF kwa ' Sura ' zao halisi ili ' Fukwe ' zetu za Bahari zifurike mifuko mingi ya Sandarusi yenye Kamba na mawe? Mnajitahidi sana katika ' zoezi ' lenu hili ambalo kila huwa mnaibuka nalo kwa njia mbalimbali.
Msamehe kakaKabisa yaan hawez kuamka na kuandika upupu hvi
Kwani veepeHe!!!!!
Mchepuko imara sanaAhsante mchepuko wangu...
Unaikumbuka hii siku?
![]()
Kwani veepe
Mim nna jicho makini....Mchepuko imara sana
Wow!!