Kwa wanaume wenye hekima

Kwa wanaume wenye hekima

hips.com

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
344
Reaction score
91
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe please.

Najua wapo waliotahoriwa wakiwa wadogo naomba wanisaidie maana Nina vidume vyangu vinaniweka njia panda.
 
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe plzzzz

Najua wapo waliotahoriwa wakiwa wadogo naomba wanisaidie maana Nina vidume vyangu vinaniweka njia panda

sio kweli wapo waliotahiriwa wakiwa watoto lakin wana mguu wa mtoto na wapo waliotahiriwa wakiwa watu wazma above15 lakn wanavibamia... Hebu muwahishe mtoto asije pata shida bure
 
Kuna tetesi kwamba ukimtahiri mtoto akiwa mdogo viungo vyake vya uzazi havikui sana ukilinganisha na waliotahiriwa wakiwa above ten. Hekima izingatiwe plzzzz

Najua wapo waliotahoriwa wakiwa wadogo naomba wanisaidie maana Nina vidume vyangu vinaniweka njia panda

Ni kweli kabisa dada hips.co.tz.Nakushauri mtahiri akiwa na miaka 13 kama mimi nilivyotahiriwa,kwakweli nina kifurushi cha maana,juzijuzi tu mama flani kanipa laki 5 kwa kumfungulia njia vizuri.
 
sio kweli wapo waliotahiriwa wakiwa watoto lakin wana mguu wa mtoto na wapo waliotahiriwa wakiwa watu wazma above15 lakn wanavibamia... Hebu muwahishe mtoto asije pata shida bure

Acha uongo wewe.ukimtahiri mdogo itabidi siku akaiongeze kwa mganga.
 
Ni kweli kabisa dada hips.co.tz.Nakushauri mtahiri akiwa na miaka 13 kama mimi nilivyotahiriwa,kwakweli nina kifurushi cha maana,juzijuzi tu mama flani kanipa laki 5 kwa kumfungulia njia vizuri.

wewe si bure...
vituo vya ushauri wa magonjwa ya akili vifunguliwe kwa wingi tz.
 
Back
Top Bottom