kama inawezekana omba likizo
ya siku kadhaa au hata wiki
mfwate mkeo,ila sikushauri utoke nje!!
mi ni mama mtu mzima nimecoment kwa
niaba ya huby wangu!!
Mkituona tuna watoto wengi mnatumaindi, ni kwamba mimi naacha mbegu tu nasepa
hata watoto wanavozaliwaga sijuwi full time niko nje ya familia yangu.
kweli humu JF mnatuchanganya, yaani hujawahi kukaa nje ya familia yako hata ezi sita?
Kama umebanwa saaaaaaaana kula hausi geli!
Kawaida miezi mitatu ya mwanzo ndio huwa migumu sana, baada ya hapo unastabilize ila inabidi usiguse kabisa maana ukijaribu tu ni kama umetibua. Pia baada ya miezi kama sita au saba hivi uneweza kuwa unapatwa na hasira hasira zisizo za msingi sana. Hapo inabidi uwe makini kidogo maana unaweza tofautiana na mtu kwa kitu kidogo sana hata hakina maana. hii hali huwa inafluctuate kuna wakati inaisha na kurudi. unaweza kukaa hata mwaka bila kufanya hivyo ila kuna kipindi utapita katika wakati mgumu sana lkn kama umeamua utaweza.
Nakutia moyo na maamuzi yako mazuri. huu ni ujasiri mkubwa sana maana kuna wakati watajileta mwenyewe na unanjaa kweli hapo huwa panakuwa patamu. Kama umenuia kweli usiruhusi mahusiano ya karibu sana na mwanamke yeyote, maana hiyo hali ya kuwa close na mwanamke au rafiki yeyote wa kike utakulainisha taratibu nautaishia kula mzigo.
Pia kutokana na msimamo huu baadhi ya wanawake watagundua kuwa huna tabia chafu na baadhi watakuwa interested kujua kama kweli kuna mtu anaweza kuwa na msimamo wa namna hiyo. Hivyo utapitia hali ya kupendwa na wanawake sana isivyokawaida kiasi ambacho usipokuwa makini unaweza kubadili msimamo wako.
kama inawezekana omba likizo
ya siku kadhaa au hata wiki
mfwate mkeo,ila sikushauri utoke nje!!
mi ni mama mtu mzima nimecoment kwa
niaba ya huby wangu!!
ndio maana nakupenda sana...............
Mvaa Tai, pole sana! Endelea kufanya mazoezi kwa nguvu na punguza mawazo juu yake. Wahi kurudi nyumbani ili uweze kuwa karibu na watoto kama mnao na pia ili uepukane na vishawishi vya nje. Kama nyumbani hakuna watoto, chelewa kutoka ofisini na ukifika nyumbani chelewa kidogo kulala kwa kupendelea kusoma magazeti,vitabu au kumalizia kazi za ofisini ambazo hukuzimaliza.
Mwisho ukiwa kama mdau wa JamiiForums, tumia muda wako wote ukiwa nyumbani baada ya kutoka kazini kusoma, kuchangia na kuanzisha mada mbali mbali mtandaoni. Njia hii imenifanya nigombane na mke wangu kwani muda mwingi niwapo kwenye kompyuta husahau kula au kuchelewa kulala na hivyo kumnyima mchezo wa baba na mama!
Umeongea kwa hisia kweli "mama mtu mzima "
Ushauri mzuri nami nakuunga mkono!
Nimekupata vema shukrani sana ndugu
Nanimimi namuunga mkono ila ni kiasi cha pesa kinachotakiwa ili niweze kufika aliko mrembo wangu
Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa.
Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata,
Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.
Hakuna mrembo zaidi ya mke wangu!!!
ukinyegeka maombi hakuna, huyo anaweza kubaka. Miezi miwili tu analialia na maukame. Mwezi watatu, wanne, watano, wa sita yani atakuwa akitembea zinamwaka. Nyangumi kakamatika. Dawa ya njaa ni kula tu. Umekula nini ndio cha muhimu.mimi siyo mwanaume ila nakushauri kama mazoezi yameshindwa kukuondolea tamaa basi nenda kwenye maombi. Ukiona una muda uko idle tafuta sehemu penye mahubiri au mafundisho ya neno la mungu ukajumuike hapo. Utarudi na mafunzo yakushinda tamaa. Chonde usijempokea mkeo na zawadi ya virusi arudipo toka safari. Inamaana hata hamskype na mkeo?
ukinyegeka maombi hakuna, huyo anaweza kubaka. Miezi miwili tu analialia na maukame. Mwezi watatu, wanne, watano, wa sita yani atakuwa akitembea zinamwaka. Nyangumi kakamatika. Dawa ya njaa ni kula tu. Umekula nini ndio cha muhimu.