Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Jamani mimi mwenzenu nimeamnua kuachana kabisa na mambo ya nyumba ndogo kwani sioni faida yake dhidi ya hasara. hapa chini ni sababu zilizopelekea mimi kuchukua maamuzi haya magumu.
1. Gharama - Wanatumia pesa nyingi kiliko mke wako na watoto
2. Magonjwa - Ndio chanzo cha kuleta magonjwa nyumbani
3. Umalaya - Wengi siyo waaminifu ukienda home na yeye anakuwa na masharubaro wake
4
6
7
1. Gharama - Wanatumia pesa nyingi kiliko mke wako na watoto
2. Magonjwa - Ndio chanzo cha kuleta magonjwa nyumbani
3. Umalaya - Wengi siyo waaminifu ukienda home na yeye anakuwa na masharubaro wake
4
6
7