Kunyamaza kwa Rais Samia sio suluhisho kwa mkataba mbovu wa bandari zetu

12STONE

JF-Expert Member
Mar 16, 2013
1,184
398
Msemo huu RAIS SAMIA ameunena katika maadhimisho ya miaka 60 ya KKKT ya Sherehe hizo zilizofamyika Tengeru -Jijini Arusha.

Ikumbukwe kwamba ni wazi kuwa msemo huu huwa unasemwa na (MTU MCHA MUNGU, ALIYEJAA IMANI NI MWAMINIFU, MKWELI, MTU MPENDA HAKI NA MTENDA HAKI), Inapotokea anasongwa na kukabiliwa na mapito au majaribu makubwa na magumu huku akisindikizwa na maneno ya kumvunja MOYO siku Hadi siku,yeye huja na kauli ''MIMI NACHAGUA KUNYAMAZA KIMYA"

Lakini haifai kutumia msemo huu wakati Pana ushahidi wa kutosha juu ya Hilo unalinakukabili na lenye kuinua laumu zenye ukweli 100%.

MAMA SAMIA, unawezaje KUNYAMAZA huku nyumba inawaka moto na my Moto wenyewe aliyeuwasha ni wewe?

Sio wewe uliyewafuata Waarabu na DP WORLD yao na mkaingia mkataba wa ovyo wenye KULETA hasara ya KUDUMU kwa TAIFA LETU?

HAPA TULIPO TUMEFIKA KWA SABABU YAKO,MSINYAMAZE KABISA!

Sijui Kama watu wako wanakula tathimini sahihi na ya kweli juu ya Hali HALISI iliyopo.Unataka uangukiwe na paa la nyumba inayoteketea kwa Moto uliouwasha wewe ndio ujue Moto inawaka kweli?

WAISLAMU WAMEKUJA JUU wao Wanaona mwislamu mwenzao anaonewa hata kama umekosea na kufanya madudu kwenye mkataba huu bado wao hawalioni Hilo.

Umetugawa wewe MHESHIWA RAIS SAMIA.Ndio Sasa Kuna Utamganyika na Uzanzibar wa wazi wazi kabisa,
Udini nao unaendelea kushika Kasi (UKRISTO NA UISLAMU)
Huoni umezalisha tatizo MBAYA na KUBWA kwa ajili ya MKATABA HUU WA OVYO NA DP WORLD?

Chode chode MAMA,
Usinyamaze!!!
Amka mwanke amka liokoe TAIFA kwenye kuingia au kudumbukia kwenye madhara makubwa kwa ajili ya hili suala la Bandari ZETU.

Usipuuze,
Amka jitie nguvu fanya maamuzi magumu ya kuachana .na MKATBA huu mbovu wenye kuliletea TAIFA hasara milele.

Wanadamu tunakosea, hata wewe ni mwanadamu. Kubali suala hili limekaa bibaya,ukisimamisha uwekezaji huu ama kuvunja mkataba huu,HESHIMA YAKO YAWEZA ONGEZEKA HATA KAMA ULIKOSEA.

Mimi ni Mkristo nimezaliwa katika ya ndugu wengi wa kiislamu na wakikristo.

Tumezoea kucheka pamoja kila pamoja hata Kama tunatofautiana Imani zetu.

Kama jambo hili linatuhombanisha na kutugawa UWEKEZAJI huo utafanyika vipi endapo SISI WATANZANIA tumefarakana pengine,Jambo hili kutuvuriga hata mpaka kuweza kuingia kwenye machafu kwa sababu ya DP WORLD ya DUBAI na mkataba huu usiofaa?

Heka hapa Ni kuachana na MKATABA HUU MBOVU TUWE NA WAKATI WA TULIVU maana bado TANZANIA hatujashindwa kuendesha au kusimamia BANDARI ZETU.

MAMA SAMIA,
RAIS WETU,
MWANAMKE WA KWANZA KUWA RAIS.

Unaweza kukomesha malumbano kwa lukata mzizi wa fitina kwa hili la BANDARI ZETU kwa kusema LIWALO NA LIWE MKATABA UVUNJWE, USINYAMAZE KIPINDI HIKI TUNAKUHITAJI UFANYE MAAMUZI.

Bahari inazidi kuchafuka simama sema neno itakuwa shwari,wengi hawautaki mkataba huu ndivyo ulivyo Sasa.

AMUA SASA.
SEMA SASA.
ITAKUWA AMANI KWA NCHI YETU.


20230804_230029.jpg
 
Kuna muda nilikaa nikatafakari, yaani nchi hii tumekaa kwa amani miaka yote hiyo, hakukuwa na ubaguzi wa dhahiri kati ya watu na imani zao, hakukuwa na matabaka ya wazi kati ya wenye nacho na wasio nacho, lilipotokea tatizo la kitaifa, viongozi wa dini zote waliungana kutoa matamko ya kuombea taifa.

Leo hii eti kuna baadhi ya viongozi wa dini wanakosoana hadharani kwasababu ya mkataba wa bandari? Kuna jambo haliko sawa mahali, tujitafakari!
Nchi ni yetu sote!
 
Nawahurumia sana Watanzania, kwanza wana Serikali ambayo haiwaogopi kabisa na pili wana Wabunge ambao hawawasikilizi kwa lolote, wapo Bungeni wanajiwakilisha wenyewe.

Nalipongeza sana Kanisa Katoliki kwa kuwasemea Wananchi. Ni aibu sana kuwa na watu wanaojiita viongozi lakini hawana wivu hata kidogo na rasilimali za Taifa hili.

Siku moja nilimsikia Rais akisema Wanasheria wa Tanzania wanashindwa kesi kimataifa kwakuwa wanaogopa macho ya blue na vingereza vya wazungu, nilisikitika sana kwakuwa niliamini hakuna mtu angeweza kumwambia Rais tatizo sio viingereza wala macho ya blue ya wazungu bali ni Mikataba inayosainiwa na viongozi wetu kama hawana macho.
 
Msemo huu RAIS SAMIA ameunena katika maadhimisho ya miaka 60 ya KKKT ya Sherehe hizo zilizofamyika Tengeru -Jijini Arusha.
Kwani wewe ukiulizwa na mkeo bikini yenye shahawa kwenye mfuko wa suruali umetoa wapi na umerudi saa 9 umelewa .usipojibu ni mtulivu au mkimya
 
Msemo huu RAIS SAMIA ameunena katika maadhimisho ya miaka 60 ya KKKT ya Sherehe hizo zilizofamyika Tengeru -Jijini Arusha.
Na kunyamaza sana huku ukijua ww ni Rais wa nchi kunawafanya watanzania waendelee kuamini kwamba kumbe mwanamke ni mwanamke tu sio wa kumpa uongozi ktk familia na Taifa lzm muyumbe,hata Mtume Muhamadi amesema,ila cha kushangaza leo hii watu wameacha mausia ya Koran tukufu eti wanajisahaulisha makusudi,UNAFIKI MTUPU unatusumbua ss waislamu tunaoingiza udini kwenye bandari.Rais akikaa kimya sio sifa kwa kiongozi wa kitaifa.Siku Taifa likiingia kwenye machafuko hata ukiongea utasaidia nn kama hautakuwa ni ujinga tu.
 
Na kunyamaza sana huku ukijua ww ni Rais wa nchi kunawafanya watanzania waendelee kuamini kwamba kumbe mwanamke ni mwanamke tu sio wa kumpa uongozi ktk familia na Taifa lzm muyumbe,hata Mtume Muhamadi amesema,ila cha kushangaza leo hii watu wameacha mausia ya Koran tukufu eti wanajisahaulisha makusudi,UNAFIKI MTUPU unatusumbua ss waislamu tunaoingiza udini kwenye bandari.Rais akikaa kimya sio sifa kwa kiongozi wa kitaifa.Siku Taifa likiingia kwenye machafuko hata ukiongea utasaidia nn kama hautakuwa ni ujinga tu.
Kaka nakubali hii .hebu tupeni vifungu vya kuran tusiwe tunatoa hewan.naona kwa mara ya kwanza tumeungana tumeweka udini nje
 
Kuna muda nilikaa nikatafakari, yaani nchi hii tumekaa kwa amani miaka yote hiyo, hakukuwa na ubaguzi wa dhahiri kati ya watu na imani zao, hakukuwa na matabaka ya wazi kati ya wenye nacho na wasio nacho, lilipotokea tatizo la kitaifa, viongozi wa dini zote waliungana kutoa matamko ya kuombea taifa.

Leo hii eti kuna baadhi ya viongozi wa dini wanakosoana hadharani kwasababu ya mkataba wa bandari? Kuna jambo haliko sawa mahali, tujitafakari!
Nchi ni yetu sote!
Na jambo lenyewe si ndio huo mkataba ama kuna kingine??

Maana yote haya yameletwa baada ya huo mkataba
 
Msemo huu RAIS SAMIA ameunena katika maadhimisho ya miaka 60 ya KKKT ya Sherehe hizo zilizofamyika Tengeru -Jijini Arusha.

Ikumbukwe kwamba ni wazi kuwa msemo huu huwa unasemwa na (MTU MCHA MUNGU, ALIYEJAA IMANI NI MWAMINIFU, MKWELI, MTU MPENDA HAKI NA MTENDA HAKI), Inapotokea anasongwa na kukabiliwa na mapito au majaribu makubwa na magumu huku akisindikizwa na maneno ya kumvunja MOYO siku Hadi siku,yeye huja na kauli ''MIMI NACHAGUA KUNYAMAZA KIMYA"

Lakini haifai kutumia msemo huu wakati Pana ushahidi wa kutosha juu ya Hilo unalinakukabili na lenye kuinua laumu zenye ukweli 100%.

MAMA SAMIA, unawezaje KUNYAMAZA huku nyumba inawaka moto na my Moto wenyewe aliyeuwasha ni wewe?

Sio wewe uliyewafuata Waarabu na DP WORLD yao na mkaingia mkataba wa ovyo wenye KULETA hasara ya KUDUMU kwa TAIFA LETU?

HAPA TULIPO TUMEFIKA KWA SABABU YAKO,MSINYAMAZE KABISA!
Sijui Kama watu wako wanakula tathimini sahihi na ya kweli juu ya Hali HALISI iliyopo.Unataka uangukiwe na paa la nyumba inayoteketea kwa Moto uliouwasha wewe ndio ujue Moto inawaka kweli?

WAISLAMU WAMEKUJA JUU wao Wanaona mwislamu mwenzao anaonewa hata kama umekosea na kufanya madudu kwenye mkataba huu bado wao hawalioni Hilo.

Umetugawa wewe MHESHIWA RAIS SAMIA.Ndio Sasa Kuna Utamganyika na Uzanzibar wa wazi wazi kabisa,
Udini nao unaendelea kushika Kasi (UKRISTO NA UISLAMU)
Huoni umezalisha tatizo MBAYA na KUBWA kwa ajili ya MKATABA HUU WA OVYO NA DP WORLD?

Chode chode MAMA,
Usinyamaze!!!
Amka mwanke amka liokoe TAIFA kwenye kuingia au kudumbukia kwenye madhara makubwa kwa ajili ya hili suala la Bandari ZETU.

Usipuuze,
Amka jitie nguvu fanya maamuzi magumu ya kuachana .na MKATBA huu mbovu wenye kuliletea TAIFA hasara milele.

Wanadamu tunakosea, hata wewe ni mwanadamu. Kubali suala hili limekaa bibaya,ukisimamisha uwekezaji huu ama kuvunja mkataba huu,HESHIMA YAKO YAWEZA ONGEZEKA HATA KAMA ULIKOSEA.

Mimi ni Mkristo nimezaliwa katika ya ndugu wengi wa kiislamu na wakikristo.

Tumezoea kucheka pamoja kila pamoja hata Kama tunatofautiana Imani zetu.

Kama jambo hili linatuhombanisha na kutugawa UWEKEZAJI huo utafanyika vipi endapo SISI WATANZANIA tumefarakana pengine,Jambo hili kutuvuriga hata mpaka kuweza kuingia kwenye machafu kwa sababu ya DP WORLD ya DUBAI na mkataba huu usiofaa?

Heka hapa Ni kuachana na MKATABA HUU MBOVU TUWE NA WAKATI WA TULIVU maana bado TANZANIA hatujashindwa kuendesha au kusimamia BANDARI ZETU.

MAMA SAMIA,
RAIS WETU,
MWANAMKE WA KWANZA KUWA RAIS.

Unaweza kukomesha malumbano kwa lukata mzizi wa fitina kwa hili la BANDARI ZETU kwa kusema LIWALO NA LIWE MKATABA UVUNJWE, USINYAMAZE KIPINDI HIKI TUNAKUHITAJI UFANYE MAAMUZI.

Bahari inazidi kuchafuka simama sema neno itakuwa shwari,wengi hawautaki mkataba huu ndivyo ulivyo Sasa.

AMUA SASA.
SEMA SASA.
ITAKUWA AMANI KWA NCHI YETU.


View attachment 2726789
Sa100 ni failure.
 
Mama anahangaika duniani huko kutafuta wawekezaji wa kuwaletea watanganyika maendeleo, lakini nyie mnaendekeza malumbano yasiyo na tija.
Oneni sasa, jirani zetu wameishamchukua huyo mnaemsema, kapewa bandari zote za nchi yake. Na hata bendera yao inapepea pale Burji Khalifa, ya kwetu haipo imeondolewa.
Huwezi kujua kitu hiki ni kizuri hadi ukipoteze.
 
Niliogopa sana Kusikia Mkuu wa Nchi, Rais, Kiongozi na Amiri Jeshi Mkuu anasema ame opt kukaa kimya hatari sana, Sasa nani atusemee sisi watanzania? Kama namba moja wetu nae yupo kwenye Uncertainties pamoja na Resources zote na Intel alizonazo bado ana amua kukaa kimya inaogopesha sana, Sasa what if ikatokea Unrest atajitokeza na Kuongea?
 
Back
Top Bottom