King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Msomome figganigga halafu utupe jibu....
kuna limits za kujilengesha bwana,siyo hadi level ya kujianika mtupu bila manyoya kama katoto ka tumbiri...lol!
babu mbona unataka kunifanya nibishe? Mie sijabisha, nimeshukuru kwa elimu tuuu. Mie nilifundishwaga kuwa hakuna free lunch, unachoona ni tip of the icenerg. Ukiparamia wafwa!
Last edited by a moderator: