Kwa wanaume tu.

Kwa wanaume tu.

Mkuu yamekukuta?
Tena yamemkuta makubwa, halafu kajidai kufikisha ujumbe kinamna namna ili asishambuliwe na wamama na wadada wa humu JF, akaandika kuwa watusamehe kwa sababu tuna ukichaa, mm naona huyo mkeo ndiyo mwenye huo ukichaa, Khaaaaaaaaaaa! Mimi sikubali kabisa. Naenda kushitaki katika mahakama ya Dunia.
 
Mi, nimgumu kuamini mambo kama haya ( yasio na tafiti yoyo te ) ila leo niseme kwahili naweza amini, maana nijana tu nime kwaruzana na "Cunhada" wenu baada ya kunitamkia kua shahawa zangu ni maji tu hamna lolote kilicho fuata namimi nikamkashfu kadri ya uwezo wangu, ila nashukuru maana tuliyamaliza fasta baada ya kila m-moja kula asali.
 
kumbe ndomana kwa mwaka huwa wanasiku moja tuu..nazilizobaki nizakwetu
Wanaume wenzangu oyee! Shwari?
Naomba wanaume wenzangu mtambue tabia za dada zetu, wake zetu na mama zetu.
Katika kila siku tatu mpaka tano katika mwezi dada zetu, wake zetu na mama zetu huwa wanapatwa na uchizi. Kwa hiyo siyo kila jibu baya litokalo kwao likuumize na pengine likufanya uchukie na kumdhuru. Tuwe na huruma kwa sababu mungu ndio alivyo umba.
Wanaume oyee!
Onyesha mfano katika jamii ya kuwaheshimu wanawake.
Jukumu letu ni kuwapenda sana wake zetu
Asanteni
 
Hapo ndio balaa kweli kweli. Upo njiani unapigiwa simu niletee mchemsho wa kuku. Ukimletea sasa ohh aina sijui nini kula mwenyewe mchemsho gani huu Aloo!!

Sina mbavu kumbe na wewe yalishakukuta.
 
Mkuu hacha tu. From no where unapata jibu ambalo ukutegemea.
Mfano wanaume wakitoka mbele wewe utatoka. Au anakuambia wewe mwanaume suruali tu.
Nivyema tuwafahamu na kuwapenda

loh!...
Huuu uchizi ni wa kutafutia tiba
 
Mi, nimgumu kuamini mambo kama haya ( yasio na tafiti yoyo te ) ila leo niseme kwahili naweza amini, maana nijana tu nime kwaruzana na "Cunhada" wenu baada ya kunitamkia kua shahawa zangu ni maji tu hamna lolote kilicho fuata namimi nikamkashfu kadri ya uwezo wangu, ila nashukuru maana tuliyamaliza fasta baada ya kila m-moja kula asali.

ama kwel kwenye ndoa/mahusiano kuna mambo !
Khaa had mbavu zinauma!
 
Back
Top Bottom