Lisa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 1,549
- 1,075
Tena yamemkuta makubwa, halafu kajidai kufikisha ujumbe kinamna namna ili asishambuliwe na wamama na wadada wa humu JF, akaandika kuwa watusamehe kwa sababu tuna ukichaa, mm naona huyo mkeo ndiyo mwenye huo ukichaa, Khaaaaaaaaaaa! Mimi sikubali kabisa. Naenda kushitaki katika mahakama ya Dunia.Mkuu yamekukuta?