Jamani mimi nikiangalia tu hizi picha, jamaa ananyanyuka huyo mpaka nakaribia kufunga goli. Hivi na nyinyi wanaume wenzangu huwa mnajisikiaga hivyo ? Au mimi network zangu zinakamata mawimbi kupita kiasi !?
Sasa kinachomnyanyua huyo jamaa ni kitu gani mbona mimi sikioni au ni hiyo sheratoni ya mtoto ndio inakupagawisha.Binafsi kama mtu sijampenda hata anijie jinsi alivyozaliwa wala sishtuki,wakati mwingine tunavyowasifia uongo namna hii hawa wapinzani wetu ndio nao wanakazana kutembea nusu uchi au uchi kabisa kama unavyowaona hawa wapuuzi katika picha ya kwanza.
Chunga sana fikra zako za masuala ya ngono, aidha umri wako una kuruhusu, yaani upo katika u"teen" na hujazidi miaka 25. Au unaathari za kisaikolojia zinazoweza kukuingiza katika moja ya haya matatu:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.