Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

ni sawa lakini pia mkuu muache tabia ya kuwasema vibaya na kutunyima raha... mkikosea lazima tuseme
Kama hamtaki tuwaseme punguza foleni na sisi tunaumia baada ya kutuacha kwenye mataa mnatutangazia ati tuna vibamia na hatujui kuzama kama wapya mnaowapata
 
Huo ni ushamba tu kwa wanaume wengi wa kiafrica....

Hawajui na hawadhamini heshima kubwa wanayopewa na hawa dada zetu, But time will tell kama hawatabadilika....
 
Kama hamtaki tuwaseme punguza foleni na sisi tunaumia baada ya kutuacha kwenye mataa mnatutangazia ati tuna vibamia na hatujui kuzama kama wapya mnaowapata

a ha ha jitahidi ukipata ufanye sawa sawa ukituacha tuseme unajua mambo... ila kuama unakibamia tusiseme?
 
Naona hujamwelewa vizuri kwa kusema

Yeye kakuchunuku na unapoteza bahati? Kaandika hivi:


Yaani hakuandika kuwa Hutagusa bali utagusa. Hongera zako

mzee wa samaki nchanga naona unataka kunipoteza kabisa ufuta umeisha tutaonana mwakani aisee nitakupiga bonge la fine
 
Unafaa sana katika jamii. Nakupa tano popote ulipo
 
Ni upimbi na ufala sana.... Yaani wakati wengine huwa tunapiga kimyaaaa , kuna wengine wanahangaika mpaka kutunga uongo huku vijiweni.
 
Me naona ni ulimbukeni na kuto kujitambua!!!!
 

Hiyo ni hulka ya wanaume wengi ila haiwahusu wanawake na yule atakaenda kuwahadisia wanawake ndo ----. mwanaume anapoadisia wenzake anaweza kuwa na maana mbili

1. wengine wasimfuatilie huyo mdada coz labda anataka kumuoa

2. wafaham kua hajatulia huyo mdada coz unaweza ukute katoka na vijana zaidi ya mmoja.


NB: Wanaume wengi humchagua mchumba kwa creteria kwamba hajatembea na waskaji au kijana zaidi ya mmoja.


unapokataa we mwanadada waskuseme haikuhusu ila kama unataka iwe hivyo bac una maana utembee na wengi kimyakimya.

WADADA BADILINI TABIA.....
 


100% 100% well said
 
kama yako nyeusi kama sura yako

unajua bora mtu ukose hela au akili ila ukikosa papuchi ya miss chagga kajimalize ni mtamu vibaya!!!
nilikuwa na ghorofa nimeuza kwa kukuhonga asaivi nimepanga tandare kwa mtogole!!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…