ngungwangungwa
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 649
- 583
Mkuu miss chagga Huenda usipate hapa jibu la kuridhisha kutokana na ukweli kwamba kila mtu anajitahidi kukwepa! Ukweli sisi wanaume ni vigumu kukaa kimya bila kueleza kabisa hata sifa chache juu ya mwanamke mrembo hasa wanaonyatiwa na wengi! Hii huwa ni hali ya kuonyesha umwamba tu kwa wengine wala haina maana kubwa! Kwa wale wanaojidai kuwa hawasemi ni waongo! Si lazima useme kijiweni hata ukimsimulia rafiki yako tu,ndo kusema kwenyewe. Kabla ya kuwa kwenye ndoa,me nimesema sana!!!Mambo rafiki
Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.
- Ni ufahari/ushindi?
- Starehe?
- Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Last edited by a moderator: