The End..
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 4,362
- 3,846
na mimi nakulilia miss chagga unipe papuchi siku ukinipa tu! nakuja kuanzisha thread kuwa HATIMAYE miss chagga AWA MIONGONI MWAO....!!!
Last edited by a moderator:
wanajitambua wenyewe
Mambo rafiki
Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.
- Ni ufahari/ushindi?
- Starehe?
- Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Kuanza mapenzi ukubwani..ndo shida kubwa..yaani kila mtu akipewa papuchi anaona ni zali kwake..utaskia mwanangu nimepata zali..ikimuuliza lipi..? Miss chaga kanipa mambo nimemsukumia nyama jana usiku..!!!!
Miss Chagga unfortunately hata madada wengine wana tabia ya kujitangazia hivyo hivyo. Umeshawahi nini sababu ya wadada marafiki kuchukuliana mabwana? JIBU:Wanataka kutest yaliyomo yamo?!
Wakati mwingine huwa ni ufahari kutangaza kama demu ni mkali..lakin kama wa kawaida huwa tunapiga kimya kimya tu
mambo rafiki
kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. Swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:
kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.
- ni ufahari/ushindi?
- starehe?
- unafurahi kudhalilisha mwanamke ? Au nini hasa
Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Hujui inaleta heshima kijiweni.
huu ndo ukweli
Utasikia nisha mvua chup yule kwan wee aja ona uchi wako
Utasikia nisha mvua chup yule kwan wee aja ona uchi wako
na mimi nakulilia miss chagga unipe papuchi siku ukinipa tu! nakuja kuanzisha thread kuwa HATIMAYE miss chagga AWA MIONGONI MWAO....!!!
Miss Chagga.
Inategemea, in Most cases ni Ufahari, its our nature, Ndio maana mwanaume hawezi ridhika kuitwa mpenzi, kama hajapewa Tunda, kabla ya kuuliza hilo, angalia namna wanaume tunavyopata shida kuwapata warembo, gharama tunazoingia, na kila kitu, ukifanya yote hayo halafu usipewe Papuchi, ww ni ----, ukifanya hayo yote kisha ukapewa Papuchi ww ndio Mwanaume.
To a Man, Sex is a Goal, he desire to accomplish, its nature, ni kama ilivyo kwa mwanamke kukataa kutoa papuchi japo wote tuna burudika.
Lakin, kukaa kijiweni na kuanza kujisifia ni Utoto, lakin pia Inategemea attitude zq huyo mchumba, kama alikuwa anajishaua yy ni wa ghali, halafu nikampata ata a cheapest cost, obvious nitakuwa nimepata cha kusimulia.
Majority ya Wanaume, we value Sex more than Love, huwezi sikia mwanaume analalamika eti hapendwi, ni nadra sana, ila utasikia ana lalamika ananyimwa Papuchi, na siku akipewa ama make sure, anaiacha ya moto kama umemwagiwa maji moto, hapo lazima atasimulia.
Nadhan hata wanawake mnasimulia, Ukimpata wa kukunja vizuri, utasimulia, Ukimpata boya asiejua kitu, uyasimulia pia. Na wanaume, tunasimulia.
Wakat mwingine, tunasimulia as defensive mechanism, yaani unasema umekula tunda, ila machalii wapunguze kumsarandia mchumba ako.
Yaaani, Fanya yote kwa mwanamke, lakin make sure anakupa Papuchi, akikunyima, unaeza kufa kwa mawazo.