kwa wanaume tu..! ikikutokea hii utafanyaje..!?

driller

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
1,116
240
hii ni habari ya kweli kabisa na ninaamini kua wengine mmeshawahi kuisikia hapa na imetokea hapa town

dereva mmoja wa taxi alikuwa kijiweni... mara akaja jamaa mmoja akiwa na mwanamke amefunga ninja(bai bui ifungayo mpaka machoni)..! na jamaa akaenda kumnon'goneza dereva wa taxi kua anaenda KUDINYA mzigo so kama anafahamu hotel yoyote karibu am-rush fasta..! maana alikua na ugwadu sana na mzigo..! so jamaa wa taxi akawapeleka mara moja na kupokea hela yake ya fasta fasta ambayo hakutegemea... well afta a long run akaja kugundua kua mwanamke aliyempeleka hotel na jamaa AKADINYWE ni mke wake..!( i mean ni mke wa taxi driver)... coz hakuweza kugundua sura kwa ajili ya lile ninja yule mama alilo vaa...!

MZEE INGEKUA WEWE UMEGUNDUA HILO UNGEFANYAJE
 
Ipeleke story yako kwa marehemu KANUMBA aitolee muvi.
 
Unamjua kenge maji? Sijui hata kafananaje ila niliambiwa nikiwa kiddo kuwa hana akili! Mkeo afu akivaa kininja humjui? RIP!
 
... mara akaja jamaa mmoja akiwa na mwanamke amefunga ninja(bai bui ifungayo mpaka machoni)..... well afta a long run akaja kugundua kua mwanamke aliyempeleka hotel na jamaa AKADINYWE ni mke wake..!( i mean ni mke wa taxi driver)... coz hakuweza kugundua sura kwa ajili ya lile ninja yule mama alilo vaa...!

Alikuja kugundua kivipi? Kwani alienda kuwachukua huko gesti baada ya kudinyana?? Kwamba akampeleka huyo mwanamke home akajikuta anasimama nyumbani kwake??

Kabla sijakupa ushauri wangu, weka wazi kwanza, huyo Mwanamke ni mkeo?? ili nikupe ushauri sawia.
 
Solution ni mi kumdinya aliyenidinyia (hata kama itakua ni kinyume na kikanuni) usiniulize ! Ikibidi nitamdinya hata atakaekua anasambaza habari ya aibu yangu hiyo.
 
Back
Top Bottom