miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ha haha kumbe walilala wote halafu akachelwa kuamka ndiyo anatupa lawama kwa demuhata mimi wala sijaelewa anamfungua juu ya kiuno asubuhi ikifika?nisaidie kumuuliza
ha haha kumbe walilala wote halafu akachelwa kuamka ndiyo anatupa lawama kwa demuhata mimi wala sijaelewa anamfungua juu ya kiuno asubuhi ikifika?nisaidie kumuuliza
Huo sasa mbona kama ni uzembe wake binafsiha haha kumbe walilala wote halafu akachelwa kuamka ndiyo anatupa lawama kwa demu
labda alitaka demu aamke sa kumi na moja amuashe .. wanaume kuwapata now days wachache kichziHuo sasa mbona kama ni uzembe wake binafsi
Kwaninani mwenye kibarua,binti au jamaa yako?jamaa yako nimzembe afukuzwe tu,maana hawezi kua makini,alarm zote hizi?anatafuta sababu ya kumuacha binti wawatuJamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
Huyo jamaa ni mwehu na nusu... anadhami mke ni alarm clock ama...Jamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
hahahahaaaa bae... mie nilirukia tu hata sikusoma heading. Ndo ujiulize mtihani wa hesabu nafanyeje kama hapa tu nimeenda OPJamani beiby hii mada ni ya Man to Man..
Mamy umetoka wap huku walitakiwa me tuulabda alitaka demu aamke sa kumi na moja amuashe .. wanaume kuwapata now days wachache kichzi
Hilo in balaaa.. Kama ndio hivyo hufai kuendesha Ndege..hahahahaaaa bae... mie nilirukia tu hata sikusoma heading. Ndo ujiulize mtihani wa hesabu nafanyeje kama hapa tu nimeenda OP
basi kosa ni ulevi. huu mkasa kama vile hauleweki vileJamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
Kuna Uzi unawakataza wanawake kukaa juu ya wenye vibamia.. Huo ndio mzuri kwako...utafute.hahahahaaaa bae... mie nilirukia tu hata sikusoma heading. Ndo ujiulize mtihani wa hesabu nafanyeje kama hapa tu nimeenda OP
lol......Kuna Uzi unawakataza wanawake kukaa juu ya wenye vibamia.. Huo ndio mzuri kwako...utafute.
hahahahaaaa kwa ndege naweza watua juu ya mlima kilimanjaroHilo in balaaa.. Kama ndio hivyo hufai kuendesha Ndege..